Kazi ya mochuari-02

 


KAZI YA MOCHUARI

EPISODE 2 

0699286085

Nilipokuwa nyumbani niliwaza kweli sisi wakufanya kazi mochuari  na kama stori zenyewe ni hizo za mzee komba kweli tutakaa muda mrefu pale  "


Nilijiuliza ila mwisho wa siku nikasema " mwanaume hachaguwi kazi lakini naogopa mimi tusije tukateseka au kupoteza maisha basi tulilala vizuri nakumbuka hiyo ndo siku ambayo ilikuwa ni mara ya mwisho kulala usingizi wa kuenjoy  lakini tulipoanza kazi yaliyoyukuta shahidi ni mungu tu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭ndiyo duniani kuna kazi ila kuchagua kazi ya mochuari  haikua kazi nzuri kwetu ukichukulia watu tumesoma  na tumefaulu vizuri tu lakini haya ndo tuliyoyavuna kufanya kazi mochuari  nilijikuta nikilia kama mtoto mdogo "


Kesho yake jioni, tulifika kazini tukiwa na ari na furaha ya kufanya kazi kwa nguvu zote. Moyo wetu ulikuwa na matumaini makubwa ya kuanza maisha mapya katika mkoa wa Njombe. Tulijua kuwa kazi yetu katika mochuari ingekuwa ni changamoto, lakini hatukuwa tayari kwa kile ambacho kingetokea usiku wa kwanza.


mida ya saa moja  hadi saa sita kazi ilikuwa supa sana hadi tukawa tunajadili walisema ma oooooooh kuna  tisha oooooh majini oooooob maiti kiko wapi  tena tukaanza kusema  walisema hatuajiliwi hapa ni wapi πŸ˜…πŸŒ§️πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…huku tunagongesha tochi zetu na kucheka sana  ujuwe mi na rashidi ni marafiki wakubwa sana   ko utani kwetu ni furaha kwanza maisha mafupi haya 

 


LAKINI Ilipofika saa 7 usiku, hali ilianza kubadilika upepo ulivuma kana kwamba kuna mvua . Tulikuwa tumeketi katika ofisi ndogo ya mochuari, tukitafakari mambo yote tuliyokutana nayo wakati wa mahojiano yetu. Kelvin, akiwa na wasiwasi, alichungulia dirishani, akitazama giza lililojaa giza la kutisha. "Rashid, unadhani kuna mtu atakuja hapa usiku huu?" aliuliza, sauti yake ikiwa na mtetemo.


Nilimkatisha, nikimwambia, "Tujiandae kwa lolote. Hii ni kazi yetu, na hatuna budi kuikubali." Hata hivyo, sikujua jinsi hali ingekuwa mbaya. Giza lilipofika, tulianza kusikia sauti za vicheko, lakini si vicheko vya kawaida. Vicheko hivyo vilikuwa vya maiti,  πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€–πŸ€–πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€–πŸ€–πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£ Kila sauti ilikuwa inakuja kwa mawimbi, kama vile maiti zikiwa zinaangalia matendo yetu.


nikajaribu kumuuliza kelvina " unasikia hiyo"

akanijibu "naisikia kwa ubora wa HD "

YaanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚i  kelvin acha masihara  nilimwambia kelvin  akajibu nasikia kaka  nilijua nawewe hujasikia 


Tulijaribu kujizuia na kuangalia kila kona ya mochuari, lakini vicheko vilionekana kuja kutoka sehemu tofauti. Kelvin alijikuta akitetemeka, akijaribu kujificha nyuma yangu, maana sasa  sauti zilikuwa nyingi na nzito za kutisha sana .


macho yake yakiwa na woga wa wazi. "Rashid, siyo vicheko vya kawaida hivi," alizungumza kwa sauti ya chini, akionekana kama mtu aliyejawa na hofu.


Mimi pia nilihisi mwili wangu ukitetemeka; aise, huwezi kuamini, nilijikojolea. Jasho lilianza kumwagika kama mvua, na kila sauti ilionekana kuwa na uzito wa kutisha. Nilihisi kama dunia yangu ilikuwa inakumbwa na giza la kutisha, na kutokuwa na uwezo wa kujua ni nini kinaendelea.


"Ni vicheko vya maiti," nilimwambia Kelvin, nikijaribu kujitunza. Tulijua kuwa hatukuwa peke yetu; sauti hizo zilionekana kuwa zinatoka kwa maiti za ndani ya mochuari  Kila sauti ilionekana kuwa inatuambia kwamba, ndani ya giza hili, hatukuwa salama.


Tuliposogea karibu zaidi na mlango wa  mochuari  tukasikia watu wakisema " kwani hao walinzi wapya hawajalala tu tuanze mizunguko " mara tukasikia mtoto analia  mama yake akasema wewe mpe nyama mwenzio "

hali ya wasiwasi ilitukumba na nilijihisi kama  vile napoteza maisha. kwa upande wa kelvin yeye naye  alizidi kunisisitiza tukimbie lakini hata tungekimbia  isingesaidia kitu 


Tulipofika karibu na eneo liliposikika vicheko, tuliona mwanga wa taa   hii ni baada ya kuofungua ile mochwari kulikuwa kimya kana kwamba kulikuwa hakuna sauti ya vicheko tena .kelvin akasema si tumesikia watu wakicheka humu ndani au yalikuwa marue marue.mara tukiwa tunabishana maiti moja ikapita pale ikiwa imevaa sanda  inayovuja damu mmmmmmmh weeee tulifunga mlango. 


mapigo ya moyo puuuuh puuuh puuuuuh puuuuh puuuuuh yaaani nguvu ziliniisha baada ya hapo  kulikuwa kimya sana  muda huo tumeshachanganyikiwa basi  hatimaye asubuhi ilifika tulishukuru mungu  na tulirudi nyumbani na kupumzika 


hakika ule usiku ulikuwa ni wa moto sana maishani mwetu lakini tulisema tutapigana mpaka mkataba uishe ila yakitushinda  tutaacha kazi kwani shi ngapi ???


USIKOSE  SEHEMU YA TATU


KUPATA FULL NI 1500

0699286085

Comments

Popular posts from this blog

Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Pili (2)

Leyla binti bikra -01

SEHEMU YA 06---10