Chombezo : Bambucha Sehemu Ya Nne (4)




Huyu naye alikuwa na ufundi mwingine yaani badala ya kupeleka mbele tu akawa kama anaikunjia pembeni kwa ndani.Akawa anapiga mashuti kushoto kati na kurudi kulia.Utamu ulipokolea akaacha huo ufundi sasa akawa anapiga mashuti ya kulenga goli tu.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Nikajua tayari mda mfupi atafika ili sasa tuenda sawa. Mkono wangu mmoja niliushika kwenye godoro huku mwingine nikimvutia aingize ndani zaidi.Akafanya hivyo na sasa ilikuwa ni mda wa kumaliza wote.Alinilalia kwa nguvu ishara kuwa amefika mwisho na hawezi tena kuendelea.




Ingawa yeye alikuwa akitaka kupumzika kwenye mwili wangu lakini mimi niliona na hatari hivyo nilimnyanyua na kumwaga pembeni.Nikavuta zile nguo zangu nikazivaa haraharaka na sasa nilikua tayari kwa kukimbia. “Ngoja tutoke wote”, alisema baba huyo.




Nilikuwa naona hata aibu kumwangalia usoni. Na alinambia tupite uchochoro kwa uchoro ili tufike stend. Alinambia tukipita barabara tunaweza kukutana na mama.Njiani nilijaribu kumuuliza maswali kama huyo hawezi kuniloga maana namuogopa sana.Baba huyu alicheka na kuniambia kwenye pesa hakuna uchawi na kama ungekwepo basi wachawi wangekuwa matajiri sana maana wangeweza kuiba bank.




Nikamuuliza tena vpi ni mgawie pesa kidog lakini pia alikataa kwa madai kuwa yeye haitaji pesa ila anachotaka ni kunisaidia. Alinipa namba zake na kuniambia kama nitafanikiwa kimaisha basi nisimsahau.Mda ulikuwa umeenda sana hivyo kupata gari ilikuwa nishughuli lakini kwa bahati nzuri kuna gari la private lilipita hapo na lilikuwa likihitaji abiria wa Morogoo mjini.




Hapo nikasema asante Mungu maana nilipanda na safari ikaanza.Tukisafiri salama na tuliingia mjini mida ya usiku kabisa na niliposhuka hapo nilikuwa siji hata nieleke wapi. Lakini kwa sababu nilikuwa na pesa haikuwa tabu kwangu.Niliita boda boda na kumwambia anipeleke guest ambayo iliyokuwa hapo karibu. Boda boda akaniuliza ya bei gani.Bei ya kawaida iwe ya chini sana na wala isiwe ya ghali sana nilimjibu.




Kweli boda boda hakufanya iyana akanipeleka gest iliyo karibu kabisa na hapo Msavu Stend ya mabasi.Yaani alifanya kama anashuka kidogo kufuata njia ya kwenda Dodoma hivyo kwa pembeni kuna nyumba za kulala wageni. Nilimlipa boda boda kisha nikalipia chumba na kuingia ndani.




Yaani hata boda boda alishangaa maana pesa ilitolewa kwenye mfuko wa Rambo. Sikuwa na nguo sikuwa na begi wala kitu kingine bali ni mimi na Rambo tu. Niliiingi bafuni na kuoga na hapo nilipata nafasi ya kufua lile kufuli langu maana mmmh we acha ili nilitoka nalo kule Mahenge.




Alafu alikuwa langu si unakumbuka kwa yule mzee niliondoka na khanga tu.Hili alinipa yule dada mfanyakazi wa ndani wa yule daktari ambaye pia alinipa hizi nguo ambazo nimefika nazo hapo. Nilifikiria nikaona bora nizifue tu na hizo maana bila hivyo kesho yake ningekosa ujanja.




Kabla ya kulala sijalala niliamua kuzihesabu zile pesa ili nione zilikuwa ni shilling ngapi.Hazikuwa pesa nyingi sana lakini pia hazikuwa kidogo maana zilkuwa million 3 na chenji kidogo. Nilitabasau nikapiga goti nikamshukuru Mungu kwa safari hiyo.Nililala mpaka asubuhi na nalipoamka ndo nikaanza kuchekecha akili nifanyaje ili pesa hiyo isiishe.




Nilifikiria sana na hilo tumbo langu nikaona nahitaji kwenda huko jijini Dar es salaam.Sasa nitafikaje sina hata mwenyeji?,niliwaza na kuwazua. Baada ya kuvuta kumbukumbu zangu nikamkumbuka Sabra rafiki yangu na dada yangu ambaye alikuwa akihishi Dar.




Nilimkumbuka huyu dada kwa sababu kipindi kile Napata majanga ya ile mimba yeye alikuwa form four na ndiye aliyenishauri kuwa niitoe mimba hiyo na nisikubali kuzaa nikiwa na umri mdogo. Nikajua kabisa kwa wakati huo atakuwa alikuwa amemaliza shule na kwa jinsi alivyokuwa na mambo mengi basi uenda ameshaolewa.




Yaani huyo pale shuleni alijulikana kwa ujanja na pia alikuwa akitembea na wanaume wengi sana mpaka walimu na wote walikuwa hawajui. Kwa kifupi alikuwa ni mtoo wa kikopo.Uzuri wa rafiki yangu huyu kwakuwa nilikuwa natumia simu yake nikiwa shuleni namba zake niliziweka kichwani.




Sasa nitafanyaje na nilikuwa sina hata simu yaani nipo nipo tu.Nikaona ngoja nitoke nje ili nifanye mpango wa kupata simu.Kwa kuwa nilikuwa mgeni sikutaka kujifanya shababi niliongea na mtu wa mapokezi ili anisaidie.


Nilimwambia simu yangu ilianguka hivyo nataka simu mpya ya kutumia je, anaweza kunisaidia kwa hilo maana mimi ni mgeni hapo.




Akanambia haina shida hatua chache kutoka hapo kuna duka la simu hivyo kama sitojali tuende wote nikachague ninavyopenda.Sasa kimbembe zile nguo zangu zilikuwa hata hazijakauka.Nilirudi ndani na kuendelea kukaa huku nikiwaza nini cha kufanya.




Ilibidi nitoke na kumwambia ujue begi langu lilipotea kwenye gari hivyo hata nguo sina hivyo atanisaidaije kwa hilo. “Mmmmh”, dada huyo aliguna na kuhisi labda mimi ni tapeli. Akanambai anaweza kunisadia lakini kitu cha muhimu hapo kama nitaendele kukaa nimlipe pesa ya chumba ili awe na amani.




Nikamwambai hiyo sio tatizo nikaingia ndani niatoka na pesa na nikamlipa. Yyanai hapa mda ukiisha umeisha hakuna cha siji nini wala nini ukitaka kuendelea ulipie tena.


Alichokifanya yeye ni kuchukua khanga na kunipa nijifunge na kuniambia tunaweza kwenda.Nilijikaza nikavaa ile chupi ingawa ilikuwa bado ni mbichi mbichi.




Tukaingia duka la nguo nikachagua nguo pea kadhaa kisha nikanunua na mafuta si unajua tena mtoto wa kike hata kama upo kwenye shida kiasi gani lazima uutunze uzuri wako.Niliingia pia duka la simu na kuchukua simu ndogo tu ambayo niliona inanitosha kwa mawasiliano.




Nikarudi zangu ndani na kuanza sasa kuwatafuta watu niliokuwa nawajua. Moja kwa moja nilimtafuta shombeshombe la kiarabu mtoto Sabrina.Bahati nzuri simu yake iliita.Nilianza kutabasamu hata kabla simu haijapokelewa. Iliita mpaka ikakata bila kupokelewa.




Sikukata tamaa nikapiga tena ili nione kama anaweza kunisaidia.Hatimaye alipokea simu na aliongea kwa sauti yake ile ya kitoto sauti ya mapozi kama Wema Sepetu. Alianza kwa kuuliza “nani mwenzangu?”. Nilipojitambulisha alinikikumbuka na kufurahi kusikia sauti yangu.Nilimuuliza yupo wapi na kwa bahati nzuri alikuwepo Dar es salaam hivyo nikawa nimepata pa kuanzia.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Nilimweleza mambo yangu kiunaga ubaga lakini nilichomficha ni kiasi cha fedha nilichokuwa nacho.Nilimwambai nina shilingi million moja tu na ninataka kuja kaunza maisha.


Alishangaa sana na kusema milioni moja mbona ndogo sana haitotsha kitu chochte sana sana inaweza kuishia kwenye kutafuta nyumba.




Akanambi lakini nisihofu kuna Shaangazi yake amejifungua na alikuwa anatafuta binti wa kumsaidia kazi hivyo kama nitaweza niende nifanye fanye kwa miezi kadhaa kabla ya kusoma ramani zingine na kujua cha kufanya.Nilifikiria haraka haraka nikaona mpango huo na wenyewe sio mbaya kwa maana utanirahisishia mimi kuingia jijini..




Sikujuata kuipia kile chumba hivyo niliendelea kukaa hapo.Kwa kuwa huduma zote zilikuwa zinapatikana kama chakula na vinywaji sikuona shida kupumzika na kuendelea kaungalia Tv iliyokuwa ndani ya chumba hicho. Baadaye Sabrina alinipigia simu na kuniambia shangazii yake amekubali kwa mgongo wake hivyo nisumuangushe.




Nikifika hapo nijitume kufanya kzi na kwa kuwa wanaishi karibu itakuwa ni rahisi sana kupanga mikakati mingne.Hatimaye siku ikaisha nikalala nikaamka na sasa nilikuwa ndini ya basi la Hood nikielekea Dar.Sikujua hata Dar pakoje lakini nilikuwa nashauku yakufika.




Haikuchukua masaa mengi sana nikajikuta tayari nipo Ubungo kwenye mataaa.Nilikuwa na mawasiliano ya karibu na mwenyeji wangu hivyo akanambia niingie tu Ubungo ndani yeye amechelewa kidogo atanikuta hapo.Sijui ndo mambo ya foleni maana binti huyu naye alichelewa kweli mpaka nikaona kero.Baadaye alifika na baada ya salamu za hapa na pale tukaondoka zetu.




Tuliondoka na breki ya kwanza ilikuwa ni Mwenge House of Wine. Alinambia tushuke kwanza hapo kuna mtu anataka kuonana naye.Kweli tulifika hapo na tukakuta kuna wanaume wawili wanatusubiri.






Mmoja wao alinyanyuka na kumkumbatia Sabrina kuonesha kuwa walikuwa na uhusiono wa karibu kama sio wapenzi. Yule mwingine yeye aliendea kukaa tu hapo alipokaa.Tuliketi na mwenyeji wangu akaagiza wine yake anayoipenda kuacha ile ambayo wale vijana walikuwa wakinywa.




Hapo sasa na mimi nilipatwa na kigugumizi nikajikuta naomba ile soda yangu ninayoipenda jambo ambalo liliwashangaza wengine. “Hapana dada mletee kama hii yangu”, alidakia Sabrina.Ilibidi niwe mpole kumbe huku jijini huruhusi kunywa soda. Tulikaa hapo huku tukipiga story lakini lilonichekesha ni yule kijana mwingine ambaye tulikuwa tukiangaliana alikuwa akinikonyeza na kunipa ishara kuwa alikuwa akitaka namba zangu.




Mimi nilikuwa najichekesha tu maana ni kweli alishakuwa amedata. Mbaya zaidi huyu aliyekuwa akinikonyeza na kunipa ishara ndo alionekana kuwa na uhisiano na mwenyeji wangu.Kweli huku duniani kuna mambo na ukistaajabu ya Musa utayaaona ya firauni.




Baadaye tuliama hapo na kuamia mitaa ya Sinza ambapo tulienda kula nyama choma. Hawa vijana walikuwa vizuri sana maana kila mmoja alikuwa na gari lake. Ikabidi tugawane mimi nipande kwenye gari la yule mwngine ambaye yeye hakuwa na mbwembwe sana mda mwingi alikuwa kimya tu.




Kweli simba mwenda pole ula nyama, huyu sasa na yeye akaanza uchokozi wa kuuliza eti kama nimeolewa.Nilicheka kidogo cheko langu lile ambalo huwa linamtoa nyoka pangoni. Nilimwambia mimi ni mdogo sana ndo kwanza bado nahitaji kusoma.




Hapo akauliza swali ligine “kwa hiyo jimbo lipo wazi?”. Nilitabasamu na kujichekesha maana tayari mimba yangu ilikuwa ni miezi minene lakin kutokana na mwili wangu ukiniangalia kwa wasiwasi huwezi kujua. Tulipofika eneo hilo tulilokuwa tunaenda, kabla ya kushuka aliniomba namba zangu.




Huyu sasa iliidi nimpe kwa sababu alifuata step na wala hakuonesha njaa za moja kwa mja kama yule mwenziye ambaye yupo na mpenzi wake alafu anataka na mimi.Tuliingia hapo tukaendelea kupiga vinywaji huku tukisubiri msosi huo.Tulikula na tukaendelea kukaa hapo.




Sasa watu walianza kuchangamka na hakuna aliyetakakuondoka.Mchezo ulikuwa ukifanyika ni kuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine.




Baadaye Sabrina alianza kung’ang’ania kuwa tuharishe kikao kwa sababu anataka kumpeleka mgeni akapumzike.Hapo sasa vijana wakaanza kuwa wakali kwa madai kuwa safari ya kutoka Morogoro Dar es salaam haichoshi. Pia wakasema kwa sababu tushaanza kunywa si vizuri kumpleeka mgeni kwa shangzi akiwa amelewa.




Sasa swali likawa nitalala wapi.Boyfriend wake akajibu kuwa “atalala utakapolala wewe”. Mimi nilikuwa mpole tu maana sasa mgeni hata ukiburuzwa huna cha kufanya. Walibishana bishana hapo na baadaye Sabrina alikuwa mpole kuonesha kuwa alikubaliana na matokeo.




Ilionesha kuwa huyu kijana alikuwa na pesa maana hata ongea yake ilikuwa ya dharau dharau na hakutaka sana majadiliano yeye alikuwa ni komandi tu. Toa gambe weka gambe na mimi sasa nikaanza kuchangamka na kuona kuwa nilikuwa ulimwengu mpya. Nilikuwa makini kidogo kutokana ana kiumbe nilichobeba huko tumboni. Nilikuwa makini sana nisije nikazidiwa na pombe. Mda ulizidi kwenda na hatimaye sasa walipendekeza tuende discko.




Hapo sasa Sabrina alikuwa mkali kidogo maana alidai eti siku hiyo hakuvaa nguo za club. Bado yule jamaa wake alipendekeza kuwa tutaenda hivyo hivyo.Basi baaadaye tulienda huko kula bata. “Bata batani kuku bandani, cha mtu uliwa na watu, chuma uliwa na kutu”.




Msemo huu ulionekana kutimia kwa sababubu sare sare maua kila mtu na wake mimi nilikabidhiwa yule kijana yule mwingine mpole mpole kama mlokole. Mimi kama kawaida yangu ninapoona watu wanacheza au ninaposikia mziki kwa kweli huwa nasisimka sana na nilishindwa kujizuia.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Nilianza kujiachia na kuonesha uwezo wangu wa kucheza. Niligeuka kivutio ghafla na kila mtu alikuwa akitaka kucheza na mimi.Ilifikia mahali sasa hata yule mtu wa Sabrina alikuwa bize kunibambia na kumuwacha mchumba wake. Mimi nilichukulia kuwa ni akili za pombe tu hivyo niliendelea kujimwaga mwaga.




Kitu nilicohjaliwa ni kucheza mziki hivyo niliyatumia haya mabambucha yangu vizuri kuwapagawisha.Ilifiki mahali watu waliacha kucheza wakawa waka bize kuniangalia mimi. Nilikuwa mwepesi sana na kwenye yale mambo ya pwani ndo usisema.




Nilizungsha nyonga, nilisugua kisigino,nilichezesha nyonyo yote hayo ni kujaribu kusahau yale yote yaliyonikuta. Mda ulienda sana na sasa ulikuwa ni usiku wa manene.Kila mtu alikuwa hoi hasa Sabrina na alizidiwa sana na pombe na alikuwa akiomba kitanda. Wale vijana walishauriana na sasa wazo lilikuwa ni kwenda kulala logde iliyokaribu na maeneo hayo.




Ukisikia unaliwa bila kupenda ndo leo maana tuliingia Lodge moja watu wanne.Bahati nzuri tulipata vyumba viwili na tukagawana wawiliwawili. Kitu ambacho sikutaka nikiache kwenye gari ni mkoba wangu ambao mule kulikuwa na zile pesa nilizoiba. Tuliingia ndani na nilichokifanya ni kuilaza pembeni kabisa ya kitanda na hapo kwa ujanja ujanja wangu niliitupia ile pochi yangu chini ya kitanda.




Nikajua kabisa huko hawezi kufika hivyo pesa zangu zitakuwa salama. Nililala pembezoni kabisa mwa ukutana kujifanya kama vile nilikuwa nimechoka sana. Kwa macho ya wizi wizi nilimuona akivua nguo zake na kubaki na boxer. Akaingia chooni na kutoka.Sijui alikuwa akiangaika nini maana alitoka na kwenda nje ya chumba hicho.




Alivyorudi alikuwa akilalamika kuwa hapo sehemu ni wajinga sana eti wanashindwa kuweka hata kondomu. Sasa nilitaka kucheka na nilikuwa najiuliza kwani mimi na yeye tulikuwa na makubaliano ya kuzini je, nikimnyima penzi kondomu za nini. Sikumjibu kitu mara nilimuona akiwa amevaa suruali akatoka na kuondoka.




Nikajua kabisa kwa akili zake huyo atakuwa ameenda kutafuta kondomu. Niliwaza sana juu ya mwili wangu huu ambao sasa imeshakuwa kawaida kuzini na wanaume bila makubaliano. Sasa nitamkataaje huyu naye niliwaza. Nikajikuta nasema potelea mbali ngoaja akirudi ndo nitajua hapo hapo.




Nilitamani hata kumpigia Sabrina lakini niliogopa maana angewza kuniona mimi ni mshamba sana. Nileindelea kujilaza huku nikitamani kuvua nguo kwa sababu ya joto la Dar es Salaam lakini nilishindwa maana ingekuwa ni ishara kuwa nmemkubali bila pingamizi. Alafu pia nikivua nguo atakiona kitumbo changu hivyo nayo ni tatizo.Alikuja na safari hii alionekana kuwa na furaha.




Akavua tena nguo zake na akapanda kitandani na kuanza kunitingisha kuona kama kweli nilikuwa nimepitiwa na usingizi au la.


Kama kawaida ya wengi huwa wanawehuka na haya makalio yangu hivyo alianza kwa kufanya mpapaso kwenye kijungu mchongoko changu.




Akawa bize huko nyuma huku mimi nikizidi kufunga macho maana nilijua kuna sehemu akinigusa tu lazima nitaruka na kugundulika kuwa sijalala.Kweli bwana akanigusa sehemu ya nyuma ya magoti sehemu hii huwa na msisimko sana kwa sababu huwa kuna vimishipa vya raha vinavyopita hapo alafu pia kuna kama michirizi fulani huwa imejichora kuanzia hapo kuja mapajanai na kushuka chini kwenye ujazo wa miguu yangu hii ya bia.




Alivyokuwa na papara badala ya kwenda chini yeye alipeleka juu na kufanya kile kijinguo kuzidi kunibana maana nilifanya kujipanua kidogo ili nipate raha hizo za kuchezewa. Sasa ananisogelea sikioni na kuniambia nipunguze nguo eti kuna joto sana. Sikujibu kitu ila nilishangaa ni mwanaume gani hasiyejua kuwa mwanamke ana aibu.




Yaani badala yeye kufanya kwa vitendo kunivua nguo anataka mimi nivue.Hilo siliwezi kama wapo wanawake wanaoweza hilo basi hongera zao.. Alivyoona sijajibu kitu alipitisha mkono katikati ya kiuno kutenganisha nguo ya juu na ya chini. Hapo niliruka kidogo maana alifanya kwa haraka sana yaani tayari mkono ulikuwa ndani ya kifuli langu.




Sijui kama alikuwa limbukenei wa mapenzi au ndo kudata kwake.Sasa utaanzaje kuvua ya ndani kabla ya juu. Akashika zile pande mbili za nguo ya ndani na kile kimini eti nia yake avue zote kwa pamoja. Huyu kweli kiboko. Nikasema ngoja nimuache nione lakini niLikuwa makni Asije kuutatua ule mshipi wa naniliu yangu, akaleta mapaja naniliu zenyewe ninazo chache.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Aliona nguo hizo zimekwama kwenye mshundundu wangu akataka kunigeuza. Hapo ilbidi nijinyanyue kwa haraka na kwenda kuzima taa. Sikutaka kwa kweli agundue kuwa nilikuwa mjamzito. Nilifanya hivyo kwa sababu zangu za kimsingi ikiwa na pamoja huenda nikakosa huduma wakati mwingine maana alionekana kudata sana na mimi.




Nilipohakikisha kuwa kuna giza nilipanda kitandani na kujilaza staili ile ile ya kuacha mshundundu juu kama kilima benuka. Hiyo ilikuwa ni sawa sawa na kumakabidhi fisi bucha ya nyama kwa maana alianza kufanya mbwembe zake kwenye miguu yangu.




Alianza kulichezea eneo hili wa kutumia miguu na sijiu aligundua nini akaanza kunilambalamba kwa kutumia ulimi wake.Yaani huyu kweli alikuwa amelewa yaani yeye hajaangalia hata kama miguu ya ngu ni misafi au la yeye analamba tu.


Kweli mapenzi kibko hayana uchafu wala kinyaa.




Mwili ulipata msisimko sana na sasa akapanda juu ya mapaja yangu.Akaja lile lile eneo ambalo huwa linanichetua sana ni nyuma ya magoti.Hapo akapanyonya na kufanya kama ananing’ata ng’ata na nilivyogugumia kwa raha ndivyo hivyo ilikuwa ni fuaraha yake.




Nikaanza kusikia raha, raha za machezo huo.Sasa kijana akajitoa ufahamu akaja kwenye makalio haya makubwa na kuanza kuyachezea chezea.Aliyapasapapasa kwa huba na kama hiyo haitoshi alianza kunilambalamba. Mlambo huo ulikuwa hatari sana kwa sababu ulienda mpaka kwenye ule mfereji unaotenganisha kalio la kushoto na kalio la kulia.




Jamani kuna watu hawana kinyaa huku duniani maana sijui alikuwa akitafuta nini huko.Akaingiza kichwa eti akawa anapuliza kama anapuliza moto vile. Hapo nikajibinua zaidi ili nione kama atafika kule kunako.Hakuwa na ajizi kijana wa watu pombe zilimuongoza vyema kufanya yake.




Nilijikuta natamani kupiga magoti ili kijibinua vizuri aweze kukilamba.Jamani raha hizi raha unaweza kusahau shida.Alilambalamba kwa mda kabla ya kunigeuza jambo ambalo sikufurahishwa nalo yaani mimi nilikuwa sijapata raha kamili yeye tayari aliacha zoezi.




Kumbe alikuwa na nia yake ambapo ndo ilinishangaza sana.Akaenda kwenye switchi akawasha taa kisha akatoa pipi ya kijiti. Alinitupia ile pesa hivy o na mimi sikufanya makosa nikaifungua na kuanza kuinyonya hapo alifurahi maana kumbe nia yake ilikuwa ile pipi ilainike.




Basi akanambia nilale chali nipanue miguu yangu na kuiweka juu juu kidogo kama antena mbovu. Basi akaleta mkono wake akaichukua ile pipi kutoka kwangu na kuitumia mdomo wake ili kuinyonya.Akainyonya kwa mdaa na kuilainisha zaidi.Akawa ananyonya pipi na kunifanyia romance kuaazia kwenye masikio.




Alilambalamba shingo na kunifanya nigugumie tu kwa sauti za huba. Akaleta tena ule ulimi wake kama nyoka kwenye tantalilo yangu.Sasa hapa ndo nikajua kazi ya ile pipi maana iliwekwe kwenye kinina changu. Yaani akahakikiha ile sehemu ya kunyonya ndo ikakaa hapo kwenye kinina.




Sasa hapo nilitaka kulia maana hiyo pipi ilikuwa ikisuguliwa hapo juu na mdomo wake ukiwa bize kupita sehemu ambazo pipi ilipitshwa. Yaani kama pipi ilikuwa inachafua alafu ulimi unapita kusafisha. Wewe omba tu kusimuliwa hizi raha zake unaweza kudata ukaona hii dunia yote ni yako.




Akawa anasugua lips zake eneo hilo kwenda kushoto kulia huku akitoa sifa za pango hilo.Baada ya hapo akaanza kutembez aulimi wake kwenye kininia huku pipi aliamishia kwenye malngo wa kuingili apangoni. Hap asasa nilishangaa maana ile pip iya kijiti ilingiza kwenye nanili yangu na akawa anafanya kama anaizungusha.




Mzungusho wa kile kirungu cha pipi ya kijiti ulinifanya nisisismke kupita kiasi na nakiri mwenzenu bila kutarajia nilijikojolea. Sio mkojo huu wa kawaida ni ule wa raha. Najua unayesoma hii ni mtu mzima hivyo unaelewa nianachomaanisha.Nikaanza sasa kuzungusha nyonga na kuikatikia ile pipi nikihisi labda ndo mtarimbo ushangizwa huko.




Akafanya huo mchezo na aliniachia nijisugue mwenyewe huku yeye alikuwa akivaa kondomu.Niilona kama ananichelewesha maana sasa nyege zangu zile zilishanizidi.Nilitamani tu kungonoka mwenzenu maana kinanii change klishatepweta kwa mtekenyo.Hapo sasa alikuja kwa nguvu na kuniingiza huo mtambo wake wa kusaga na kukoboa.




Aisee sijui ndo pombe au ndo ugwadu wa mda mrefu maana alinisugua kwa spidi kali sana utafikiri yule mwana riadha Husein Bolt akitaka kutetea taji lake. Ukisikia kuliwa mzigo ndo huku unaliwa mpaka unahisi labda ni chuma cha moto kimeingizwa huko.




Sijui hata alitaka nini huyu kaka maana alininyanyua na kunipeleka juu ya meza iliyokuwepo hapo. Akanikalisha hapo huku mashine ikiwa bado ipo ndani.Yeye amesimama mimi nipo juu ya meza.Nimemkumbatia kwa nguvu ili isije ikachoka na kunikata stimu za raha nilizokuwa nazo.




Miguu yangu ilikuwa imejinyonga na kuzunguka kwenye kiuno chake lakini bado hakuridhika na mkao huo. Sasa aliniweka mkao wa “V”.Hii ni kwamba miguu yangu inakuwa juu ya mabega yake, mikono yangu inashika kisogo chake na miknoo yake inanizunguka kukamndamiza miguu yangu na mgongo wangu.




Kama huna mazoezi unaweza kulia au kujamba kabisa.Eeeeh ilinichosha mwenzenu nikawa kama namsukuma sukuma na hapo akaelewa kuwa nahitaji kushusha miguu.Akaelewa akanishusha miguu akanibeba tena juu juu na kunirudisha kitandani.Bado alikuwa akitaka kunipa vitu vigumu ambavyo mimi sivielewi.




Maana alinivuta mpaka karibu na mwisho wa kitanda.Yeye akawa amesimama chini ya kitanda na kushika viwiko vya migu yangu.Ilibidi niweke mikono yangu kwenye mapaja kujipa sapoti nisiangake.Ukisikia shughuli hii nayo ilikuwa shughuli.Kijana alikua na mazoezi huyo na alikuwa akiipelekesha mpaka nilitamani kulia.CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/




Siku hii kwa keli nilichoka na nilitamani kuomba pooo.Alinipiga paipu mpaka sasa machozi ya raha yalikuwa yakinitoka. Aliponiachia nikajau tayari ameshamaliza kumbe wapi alikuwa anaichomoa ili kwanza hasimwage kwa haraka.Sasa ndo nikawekwa ile staili ya kifo cha membe kwa kweli nilikuwa nimechoka sana na nilihisi kuwaka moto huko.




Ute ute wote ulikuwa umekauka palikuwa pakavu sana. Bahati nzuri na yeye hakuwa mbali alipiga shuti na kufunga goli. Siku hata ilikuwa ni goli la ngapi nilichoangalia mimi ni kuvuta mto kujiegemeza na kulala. Hakua aliyeweza kushtuka mapaka palipopambazuka.




Yaani nilikuja kushtushwa na simu ya Sabrina na alinambia mda umeisha hivyo nijiandae tuondoke.


Mwenzangu ndo alikuwa anakoroma. Sikumwamsha kwanza bali nilichokifanya ni kuamka na kwenda bafu kuoga.Nilioga vizuri na nilkuwa nasikia maumivu chini ya tumbo.




Nilijkaza hivyo hivyo nikavaa nguo haraka haraka na kumshtua kijana huyo.Alishtuka kutoka kwenye usingizi mzito aliokuwa amelala.Nilimwambia mda ulikuwa umeenda sana hivyo afanye haraka haraka ili tuweze kuondoka.Alinangalia saa yake na kugundua kweli mda wa kurudisha vyumba alikua umepita.




Lakinii isingwezekana kwa yeye kuvaa nguo bila kuoga.Aliingia bafuni akaoga kiume ume na fasta alivaa nguo tukatoka kwenye Lodge hiyo. Moja kwa moja tuliingia kwenye magari yao na tulienda sehemu tukanywa supu. Tulivyomaliza nikajua tunapelekwa nyumbani aaaha wapi nashangaa ndo kwanza bata lliendelea na sasa tulipelekwa beach.




Ukiwa mzuri raha sana yaani mtu hakuchoki kabisa anatamani tu kuwa na weee mda wote.Sabrina naye alikuwa ni kwikwi japo yeye ni mwembamba lakni ni mzuri sana. Aliwakilisha vyema maumbo hayo. Najua wanaume wengi wanadata sana na wasichana wa aina ya Sabrina yaani wembamba lakini sura kama mdoli kiuno kama dondola.




Bataa likaendelea tukajiachia huko ufukweni na kwa kweli nikajikuta naipenda Dar kwa haraka japo nilikuwa ni mgeni. Hatukukaa sana huko ile jiono jioni waliturudisha nyumbani sehemu ambayo Sabrina alikuw akaikaa. Tuliingia hapo na yule kaka aliniachia pesa nyngi kama laki mja huku akisisitiza kuwa tuwasiliane.




Sabrina kumbe alikuwa haishi tena nyumbani kwao yaani kwa wazazi wake.Alikuwa na chumba amepanga mahali pengine. Chumba selfu na sebule.Na alinieleza kinagaubaga kuwa yeye anakaa hapo na haishi tena na wazazi na kwa sasa anajitegemea. Nikaanza kumuuliza sasa najitegea kwa kazi gani.




Akanambia mjini hapo na kama kawaida yeye anatumia akaili kuishi mjini na sio nguvu. Pia alinisifia kuwa animezidi kuwa mzuri na akasema kama isingekuwa hiyo mimba angeningiza kwenye mtandaoo. Hapo sasa sikumwelewa ikabidi nimuulize mtandao gani.




Akanambia kama nilivyoona jana hizo ndo dili zake kutembea na vigogo au watoto wa vigogo. Akasisitiza kuwa wale vijana ni watoto wa mawaziri na wapo Uganda kimasomo lakini huwa wanakuja kula bata Dar na hata wazazi wao kujua. Akanambia kwa jinsi eti nilivyo mzuri naweza kuwa tajiri kwamda mfupi na wala sistahili kabisa kufanya kazi za ndani.




Wakati akiniambia vitu hivyo mara simu yake ikaita. Alionekana kufurahishwa na simu hiyo na aliongea kwa pozi na kutoa ile sauti yake ya kuwaibia wanaume. “Dili lingine shoga yaaani hiyo mimba sijui tukaitoke tu”, aliongea binti huyu bila aibu.


Kauli hiyo ilinishangaza sana yaani mimba ishakuwa kumbwa hivyo anawaza kuitoa.Kwanza angejua jinsi hii minba ilivyoleta majanga basi kamwe hasingewezza kusema upuuzi huo.




“Shoga huyu niliyeongea naye ni pedeshee mmoja mjini ana pesa sana sasa tufanyaje na amenambia leo anataka kuwa na mimi”. Mmmh shoga yaani jana umetoka kulala na mwanaume na leo tena” ilibidi nimuulize. “Ndio kwangu mimi hakuna kinachoshindikana kwanza mimi nikilala na mwanaume huwa nambania sana kama huyu mzee anayekuja hana shoda akipiga kimoja tu chali”.




Nilitamani kucheka maana mtu aliyekuwa akisema hivyo alionekana mdogo kama katoto.Lakini sawa maana waswahii walisema wembembe wa reli treni inapita. “Kwa hiyo shost kama una mishe si ni bora unipeleke tu huko kwa shangazi yako”. “Tatatzo sio kukupeleka kule tatizo utalipwa elfu 50 mwezi mzima na utafanya kazi zote za ndani.




Kwani yule mwanaueme uliyeala naye jana mekupa shilling ngapi alinuliza swali la kizushi”.Nikajibu laki moja.Akatabasamu na kuniambai sasa wewe huoni hiyo tofauati umepewe laki moja kwa usiku mmoja alafu pia umekula bata na kufuraisha nafsi yako. Haya ndo maisha mimi ninayoyapaenda mtu unakula kwa sababu ya uzuri wako”.




“Huku ni mjni dada hakuna shamba wala hakuna kulima lakini twala”. “Sasa wewe shosti wangu mimi na tumbo langu hili nitafanyaje”.Labda kama na mpango mwingne ambao utatuwezesha kupata pesa. Mimi nipo tayari sana kufanya hayo unayoyataka lakini sio kwa hali hii .




Nitafanya hayo yote pindi tu nitakapojifungua.Hivyo hii mimba kuitoa ni uongo nishajaribu zaidi ya mara moja ikashindikana. Tena hii wewe acha tu mpaka marehemu mama yangu alinitokea na kunionya kamwe nisithubutu kabisa huo mchezo. Hapo Sabrina alivuta pumzi akafikiria kidogo akanambia “ok nimepata jibu wewe leo baki hapa ngoja mimi nikaonane na huyu mzee”.




“Mara ya mwisho alikuwa akitaka kunifungulia biashara lakini mimi nilikuwa sitaki kukaa sehemu moja. Na pia alainipa mtihani kuwa kama nataka anifungulie biashara basi nitafute kama milioni mbili yeye ataniongezea tatu ili nianze na mtaji wa kama milioni tano”.




“Lakini shosti tukubaliane kuwa utakubali kukaa mahali usimamie biashara kwa maana mimi kukaa sehemu moja siwezi”. “Kwa hilo usijali shoga yangu tena utakuwa umenisaidia sana na naamini kwa mda mfupi tunaweza kuwa matajiri”. “Siunajua mimi yatima na yatima siku zote hadeki”.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


“Sawa nimekuelewa kwa kuwa mtoko ni jioni sa hivi ngoja tupumzike”.


Basi kwei tulingia chumbani na yeye akatandia zulia na kulala hapo chini. Akanambia nisijali mimi nilale tu kitandani kwa maana yeye mgongo unamuuma.




Nilijitupa hapo kweye kitanda huku nikifurahiswa na jinsi kilivyotengenezwa. Yaani kiukweli huyu binti alijapanga na kama ni kweli uchi wake ndo uliompataia yote hayo basi acha tu kiuongo hicho kilaaniwe kama sio kubarikiwa. Sasa sio wewe msomaji wa kike ukaiga,iga ufe, gusa unate maana siku hizi maradhi yamejaa kila kona.




Na baishara hiyo inahitaji akili la sivyo utakufa kwa ukimwi kama sio kuisha kuchezewa na kukongoroka. Huyo binti alikuwa ni mdogo sana lakini mambo yake kwa kweli yalikuwa ni makumbwa sana mpaka aliniogopesha.Basi akanambia kwa kuwa tulikuwa tumechoka ngoja tu tupumzike na yeye alichukuza zulia na kutandika chini na kudai kuwa alikuwa akiumwa na mgongo.




Mimi nilijibwaga hapo kitandani huku nikikagua uzuri wa kitanda hicho.Kitanda kilikuwa kizuri unalala mapka unajihsi upo Ulaya. Kweli hakakuchuku adkaika nyingi nikapitiw an ausngiz mzito usngizi war aha usingzi ulionifanya nisahau shida zote na kuona labafda huo ndo utakuw amwanzo mzur wa maisha bora huko mjini.




Nilikuja kustuhswa na aharufu ya chps ya ambayo ilikuwa iknukia kupiata kaisai. Hapo usngizi uisa na nilipaongalia pemben sikuona shostit huyo. Ikabaidi niamk emaana na kanja akalikuwa kakiniuama. Nilienda sebuleni na kumkuata mtoto huy akaitetea afya yake.




“Eeeh una machale kweli maana ilikuwa nikimaliza hizi niahamie na za kwako” alisema kwa utani na kunionesha mzigo wangu uliokuwa ukinisubiri.Hapo sikutaka kufanya makosa nilirudi kwanza chumbani ambapo nilenda bafuni nikafungulia bomba la mvua na kuoga.




Kama kawaida yangu nilikisafisha vizuri kabisa na sikuangaika hata na kajipaka mafuta nilirudi pale sebuleni.Sinilishakwambia kwenye ishu za kula mimi sifanyagi masihara.Nilizipiga zile chipsi kama sina akili nzuri huku nikishushia na juisi ambayo ilikwua ikinisubiria.




“Ninachokupendea wewe best yangu kwenye kula tu huwa huna masihara”, ilibidi Sabrina anipongeze kwa hilo. Nilicheka tu na kumwambia asante kwa msosi huo.Hapo akawasha flat screen ambayo ilikuwa hapo sebuleni.Kininga kininga kweli mpaka utafikiri labda ni watoto wa kishua.




Kama alijua napenda movie akaniwekea movie ya “The last Kiss”.Tukaendelea kuangalia huku tukikumbushia na maisha ya shule na jinsi yalivyokuwa magumu.Sabrina alitumia tena mda huo kunipigisha story za marafiki zake.Pia akanikumbusha jinsi alivyokuwa akiwachanganya wanaume walimu kwa wanafunzi.




“Yaani shoga hizi harakati mimi nimezianza mda kweli, hapa yenyewe sijui hata kama ni mzma au la.Kuna mwanaume mmoja juzi alikuwa ananing’ang’anaiza eti tukapime mbona kesho yake nilimtafutia sababu mpaka tumeachana. Yaani mimi najihisi ni mgonjwa ninayetembea maana nishatembea na wanaume wengi sana aliendea kusimulia Sabrina”.




Mda ulienda mpaka kagiza kakaingia na Sabria aliniacha mimi nikiendelea kuangalia movie na yeye akaingia bafuni kuoga na kukipara tayari kwa mtoko.Akanambia nisiwe na wsiwasi hapo nikiskia njaa nitoke njee kuna vibanda vya chipsi naweza kuagiza tu.Au kama nitachoka niende kwa mbele kidogo nitapata chakula.




Basi akaondoka na kuanicha mimi hapo.Sikuwa na la kufanya zaidi ya kuangilia TV.Niliangalia Movie mpaka mda ukawa umeenda sana na hapo niliamua kutoka ili niende kutafuta chakula.Nilitoka mpaka sehemu hiyo ambayo huwa wanatengeneza chakula.




Nilipita kwenye chipsi lakini wakati naangaza kibanda gani hakuna watu wengi kuna mtu nilimuona.Si mwingine bali ni Athumani yule mwanaume mtoto wa yule mzee ambaye alinisababishia majannga ya mimba hiyo.Kwa kweli ilinibidi nirudi nyuma na kujibanza sehemu ya kigiza ili niweze kumwaangali vizuri. Nilimwangalai kwa umakaini sana nikagundua kuwa ni yeye.




Sasa nikawa najiuliza je niende kumsalimia au niache.Je vipi kama mama yake hakupona mimi nilivyoondoka kule Mahenge? vipi kama anakinyongo na mimi si anaweza kunitafuta au hata kunisababishia matatzo. Roho ya upendo bado ilikuwa ikinisukuma kwenda kumsalimia kijana huyu lakini bado miguu ilikataa kupiga hatua.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Kijana huyu nilimpenda sana lakni hii mimba ya baba yake ndo ilikuwa ni chanzo cha yeye kutoroka nyumbani na kujaribu kuanza maisha yake.Wakati najishauri nilimuona akiwa amefunga chipsi zake akija njia ile ile ambayo mimi nilikuwa nimejibanza kwenye uchochoro.




Hapo miguu ilijikuta ikipiga hatua yenyewe na kurudi nilipotoka.Nilitembea haraka haraka na kurudi kule nilipofikia.Niliingia ndani nikajibwaga kitandani na kumshukuru Mungu kwa kuwa hakuniona. Kiherehere cha njaa kiliisha na nilijikuta nikipanda kitandani na kulala.




Lakini baadaye niliona ngoja nilidanganye tumbo kwa kunywa juisi.Niliwaza itakuwa vipi kama kijana huyu atakuwa anaishi mtaa huo.Sikutaka kujiumiza kwa mawazo nikanywa juisi na kupanda kitandani na kulala.Kesho yake mida ya saa nee Sabrina alirudi na kama alijua nitakuwa na njaa alikuja na poti ambalo kulikuwa na supu na chapati.Nilikunywa na siku ikawa imeanza hivyo.****




Ni mwezi wa tatu sasa nipo jijini Dar es Salama kitumbo kimekuwa kikumbwa sana na sasa mimba yangu sio kificho ni dhairi kuwa nilibakaiza miezi miwili tu nijfungue. Uchungu wa maisha umepungua kwa namna moja au nyingine kwa sababu zile pesa nilizitumia vizuri tukachanganya na za rafiki yangu huyo kipenzi tukafungua duka la nguo na urembo wa kike.




Sabrina na yeye alikuwa akienda mpaka Niaraobi kuleta mzigo na mimi ikawa kazi yangu kumbwa ni kuuza duka hilo. Tulijiatahdi sana kila pesa tuliyopata kufanya jabo la maana na Mungu alitukunia nazi mambo yakawa yanatunyookea.Sabrina nay eye hakucha tabaia yake hiyo ya kutumia mwili wake kutafauta pesa.




Na sasa kila pesa aliyoipata ailitumia kuongeza mtaji. Umaarufu wa huduma yetu ukawa mkumbwa sana na tukashauriana tufungue duka lingine ambalo tutajiajiri watu wa kutusaidia.Kweli apangaye hufanikiwa.Mjini maisha mipango pia si lazima uend shule uwe na degree ndo unaweza kufanakiwa kimaisha.




Nilikuwa namshauri sana rafiki yangu atulie lakini wapi yeye na viwanja viwanja na yeye. Sasa kila mmoja aliikuwa anaju umuhimu wa mwenzake.Mimi nilimtegemea binti huyu kwa sababu alikuwa akiongeza sana mtaji kila kuitwayo leo.Na yeye alikuwa akinitegemea kwa sababu mimi niliweza kusimamia pesa zisipotee.




Hatimaye miezi tisa ilifika na ule mda wa kujifungua uliwadia. Miezi hii nayo ilikuwa na mitihani mizito kwangu mana tarehe za kujifungua zilipita bila mimi kujifungua. Sikupata uchungu kabisa jambo ambalo lilipelekea mmi kulazwa na kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.




Madakatri waliamua kuwa niche sindano ya uchungu ili kufanikisha zoezi.Bado maji hayo ya uchungu hayakusaida hivyo ilinilazimu kufanyiwa operesheni. Ninamshukuru Mungu kwa kweli nilijifungu salama toto la kiume, handsome boy mzuri kama mama yake.




Yeah ingawa alikuwa ni mwanaume lakini alaichukua sura yangu kwa asilimia nyngi huku akichanganya weupe wa yule mzee.Lilikuwa ni toto la nguvu lenye kilo tatu.Nilitoka hospitali na kurudi nyumbani kwa kuendelea na kuuguza kidonda na malezi. Sabrina kweli alikuwa hataki shida maana alitafuta msicha wa kazi.




Yaani huyu ni kiboko maana aliona bila hivyo atakuwa na majukuu mengi ya kunisadia.Mimi nlimshukuru kwa yote na nilimuomba Mungu aendeleee kunipigania ili nifanikiwe katika maisha.Nilijitahidi sana kufuata malezi yaiyobora na nilihudhuria kliniki na kufuata maelekezo yote ya ulezi.




Sikuwa mvivu kwa kweli nilinunua na vitabu vya amlezi bora kwa mtoto.


Ingawa Sabrina alinisihi sana eti nisimnyonyeshe mwanangu kwa madai kuwa nitaharibu matiti yangu lakini mimi nilikataa mpango huo nilimnyonyesha na mtoto alikuwa mwenye afya ya kuvutia.




Alichukua mwilii wa mama yake kwa kweli maana kila uitwayo leo alizid kuwa bonge.Nilimpa jina la Arsen jina ambalo lilipendekezwa na rafiki yangu Sabrina.Ingawa nilikuwa kwenye malezi lakini pia sikuacha kujitunza na kufanya niendelee kuonekana mrembo tena mrembo haswa.




Nilionana na wataalamu na walinishauri niepuke kupaka mafuta, losheni au manukato yenye harufu kali.Kwa mujibu wa watalaamu vitu hivi si vizuri sana kuvitumia kwa sababu mtoto anatumia mda mwingi kwenye mwili wa mama.Pia baada ya kuhakikisha ule mshono umepona vizuri nilianza mazoezi mepesi mepesi kufanya mwonekano wangu uwe mzuri na wa kuvutia.




Nilikuwa natumia mafuta na losheni zisizo na kemikla na pia hata kucha zangu zilikuwa fupi na niliziremba kwa mtindo huo.Nilijitahidi sana kuwa natural na kuonekana ni mrembo wa asili.Wakati huo mimi najitunza ili nirudi kwa kishindo Sabrina yeye aliendelea kupuyangapuyanga na kuangaika na wanaume mapedeshee wa mjini.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Yaani kama wewe ni mwanaume ambaye huwezi kuhonga kuanzia laki moja kwa Sabrina hata usijisumbue utabaki kula tu kwa macho au utaambulia maneno ya shombo. Mwenyewe alikuwa na msemo mmoja usemao eti “nitakuchamba kwa maneno machafu mpak ukioga maji ya maka usitakate”.Hapa ndugu zangu wa dini ya kiislamu mtanisaidia maana mimi siyajui maji ya Maka.




Kwa hiyo sijisifii mimi ni miongoni mwa wanawake wachache ambao waliendelea kubaki warembo mara baada ya kujifungua. Ni kweli kukaa na mtoto miezi 9 ni kazi.Ni kweli kulea ni kazi mana usiku unaweza hata usilale kwa kubembeleza mtoto.Na ni kweli kuna uwezekano wa kuongezeka uzito lakini hivi vyote ndugu yangu msichana sio sababu ya kujiachia na kuwa kama furushi la mkaa.




Ngoja niwashauri wanawake wenzangu hasa mlioolewa usikubali kabisa kujiachia na kupoteza urembo wako. Mtu amekuoa mwaka jana tu ukiwa bonge la mtoto, mwanamke mwenye mvuto mwanaume akawa anaona faharii kutembea na wewe kwenda sehemu yoyote ,leo umezaa mtoto mmoja umejiachia, upo upo tu kama gunia, hufanyi mazoezi, mchafu mchafu tu.




Hiyo ndoa ndugu yangu itaharibika na utajuta maana mwanaume huyo akikutana na makurumbembe makombwa mwiko kama Sabrina ujue hapo hatarudi atalala nje ya ndoa na ukicheza ndo utaachika tu. Jamani mimi sijaolewa lakini msipuuze huu ushauri wangu na kaa ukijua kuwa kuolewa ni jambo moja jukumu la pili ni kutunza ndoa yako.




Baada ya kuzaa mpe mume sababu ya kukupenda kama alivyokupenda mara ya kwanza.Kufunga ndoa ukadhani kuwa umemaliza kila kitu ni kosa, tena si kosa tu ni kosa la jinai, sumu na shubiri ya hiyo ndoa yako.Jitunze uonekane vizuri mrembo na ndoa yako idumu.




Wewe puuzia tu subiri makomba mwiko yaje huko ndo utajua.Siku zilizidi kwenda na biashara zilikuwa zinaendelea kama kawaida.Kwa kuwa kulikuwa na binti wakunisaidi malezi mimi nilianza kutoka na kwenda kwenye miangaiko ya kila siku. Nilikuta biashara imeyumba kidogo hasa ile frame niliyokuwa nikisimamia mimi iliyumba na kuliokena kuwa kabisa yule binti tuliyemweka alikuwa hayupo makini.




Alikuwa mdokoaji sana hivyo hasara za wazi zilioneka.Sikushangaa maana Sabrina yeye alichokijua ni kuleta mzigo na kuendelea na mambo yake. Hata haulizi mapato na matumizi yaani yeye akishapewa pesa ya mzigo hataki kujua faida imeenda wapi.




Ni ngumu kwa kweli na nilichukia sana mpaka nikatamani nimfukuze huyo binti siku hiyo hiyo.Nilifanya mahesabu na niliamshauri Sabrina kama tunataka kuendelea basi binti huyo tumuondoe na mimi niendelee kusimamia biashara kama kawaida. Kwa hiyo baada ya mapungufu hayo mimi nilirudi na yule binti aliondoka.




Alivuna alichokipanda kwa sababu hakula kwa akili na sasa duka lilipwaya kabisa.Siku zilizidi kwenda na mtoto alikuwa anaendelea vizuri.Sikutaka kumuachisha ziwa mapema nilimuacha afurahie vya kutosha mpaka alipofikisha miaka miwili. Hapa sasa ndo utamu ulipoanzia. Na mimi ilikuwa ndo mda wangu wa kutumia uzuri wangu vizuri.




Nilitaka kupata maendeeo ya haraka haraka ikiwa ni pamoja na kujenga nyumba kwenye kiwanja chetu tulichokinunua huko Kibamba.Kiwanja hiki kilikuwa ni kikumbwa hivyo tulikigawa katikati upande mmoja wa Sabrina na mwingne wa kwangu. Kitu cha kwanza nilichokifanya ni kujaribu kupita nja zile zile alizokuwa akipita Sabrina ila mimi nilitaka kupita kwa akili zaidi.




Sasa kitu cha kwanza nilichokifanya ni kutengeneza tumbo.Nilitaka niwe na umbo la bata mzinga umbo la Bambucha, umbo la Chura umbo ambalo litakuwa kivutio kwa kila mwanaume ambaye ataniona.Nilianza kwanza kupita kwa wataalamu na kuwaulizia njia za asili za kutengeneza hili tumb liwe kivutio.




Nilitafuta njia ya kuzifanya hizi hips ziwe mara mbili.Kila nilipoenda walinishangaa maana tayari nilikwua nimejaliwa lakini eti nilitaka zaid.Wengine walidiriki kusema nilikuwa sina shukrani na nilitaka kumkfuru Mungu lakini mimi sikujali. Ujue kwenye biashara lazima ujue sreghth zako na ukishazijua lazima utumie vizuri ili uweze kuwashinda wapinzani wako.




La sivyo utakuwa unaonekana wa kawaida tu. Sabrina alishajijua kuwa hana umbo nene hivyo akawa kila siku anatafuta mbinu za kuonekana mrembo kwa hilo hilo umbo lake na mimi sasa nilitaka hivyo.Basi katika harakati zangu hizo kuna siku nilienda kwa wataalamu hasa wa mazoezi maana nilisikia kuwa mazoezi ni muhimu sana hivyo nilienda kupata ushauri.




Nikampata Mzungu mmoja ambaye anamilki Gym moja maarufu sana hapa mjini. Sijui ni mzungu koko maana alikuwa akiongea kiswahli vizuri utazani labda alikuwa ni mzaramo.Alianza kutema cheche zake kwa kuniambia “Hakuna ubaya wowote kwa mtu kutaka kupendeza.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Swala la kuonekana mzuri au kuwa mtanashati limekuwa sehemu muhimu ya maisha ya binadamu hususani upande wa dada zetu. Si kitu cha ajabu maana tangu enzi za mababu , tunasoma katika historia jinsi mwanamke alivyosifiwa kwa uzuri na urembo wake.




Swala la uzuri na urembo wa mwanamke linajadiliwa mara nyingi katika aya mbalimbali za misahafu ya dini zetu, kuonesha ni jinsi gani ambavyo hata Mungu mwenyewe anavyouthamini uzuri na urembo wa mwanamke. Si ajabu kuona jinsi ambavyo makampuni makubwa yanavyojishughulisha na utengenezaji wa vipodozi na nguo, vitu ambavyo vinachangia sana katika kumfanya mwanamke aonekane mzuri na mrembo, yanavyotengeneza faida kubwa.




Sikatai kwamba kuna uzuri wa kuzaliwa, la hasha wapo wazuri tena wazuri utazai wameshusha kutoa pepeono. Ni dhahiri kabisa wapo watu waliojaliwa kuwa na muonekano mzuri ambao wamezaliwa nao. Na mtakubaliana na mimi kwamba kuna baadhi ya vitu katika miili yetu ambavyo hatuwezi kuvibadilisha hata kama hatuvipendi, lakini habari njema ni kwamba asilimia kubwa ya muonekano wa sura na miili yetu waweza kubadilishwa, na kuendana na matakwa yetu.




Siongelei wala sishauri utumiaji wa madawa au njia nyingine zenye madhara katika mwili wa binadamu. Bali naongelea jinsi ambavyo mfumo wa maisha waweza kukusaidia kupata muonekano unaoupenda bila kuwa na madhara yeyote ya kiafya katika mwili.




Usifikirie sana, hapa naongelea vitu vya kawaida kabisa katika maisha yetu ya kila siku visivyo kuwa na gharama yeyote zaidi ya muda. Naongelea mazoezi na lishe bora”. Hapo nilitigisha kichwa maana kwenye mazoezi na lishe bora ni sehemu ambayo nilikuwa nahitaji maana nilisikia hizi njia za mchina zina madhara sana.




Akaendelea kusema kuwa “Viko vitu vingi vinavyoelezea muonekano wa mtu. Sura na umbo la mwili ni sehemu kubwa na muhimu katika muonekano. Sasa wewe unataka nini ainiuliza huku akiniangalia machoni”. “Nikamwambia umbo”. “Safi najua wanawake wengi wanaangaka mpaka kutumia madawa wenye madahara kwa afya zao.




Ndio maana mimi nimekuja kwako sihitaji hizo njia”. “Vizuri sana na habari njema ni kwamba, huitaji kutumia madawa ambayo yanaweza kuwa na madhara kwa afya yako ili kupata nyonga na makalio ya ndoto yako. Mazoezi na lishe sahihi vinaweza kabisa kukupatia nyonga na makalio uliyokuwa ukitamani siku zote. Leo hii nitakulekeza aina ya mazoezi yanayosaidia kutengeneza sehemu za nyonga na makalio na kuzipa muonekano unaoutaka”.




Wataalamu wa mambo ya mazoezi wanasema, “mazoezi mazuri kwa kina dada ni mazoezi ya sehemu ya chini ya mwili. Hapa ninamaanisha mazoezi yanayohusisha misuli ya miguu, mapaja, nyonga na makalio. Sababu ya kusisitiza mazoezi haya kwa kina dada ni kutokana na ukweli kwamba, wakati mazoezi haya husaidia kiafya, pia yanasaidia kuzipa muonekano mzuri sehemu za nyonga, mapaja na makalio”.




Nikamwambai aende moja kwa moja kwenye mazoezi yanayokuza na kuyapa makalio na nyonga muonekano mzuri. “Sawa inaoenekana una haraka sana?”, alaiuliza. “Ndio mtaalamu maana nimefunga biashara na nimekuja hapa mara moja tu. “Sawa ngoja nipunguze maelezo.




“Zoezi muhimu kuliko yote, ambalo kwa bahati mbaya kinadada wengi hulikwepa, ni zoezi lijulikanalo kitaalamu kama ’’squarts’’ yaani kuchuchumaa kwa kiswahili rahisi. Kufanya squarts, waweza tumia uzito au waweza fanya squarts bila kutumia uzito wowote.




Unachukua uzito unaoweza kuhimili, na kuuweka mabegani (kumbuka uzito huu unatakiwa uwe umewekwa pande zote kwa uwiano sawa ukiunganishwa na bomba ambalo ndiyo unaliweka mabegani). Simama wima miguu yako ikiwa imetengana kiasi, halafu chuchumaa taratibu, na kunyanyuka taratibu.




Rudia mzunguko huu mara 6 mpaka 8, kwa kila seti, na ni vema kufanya seti tatu mpaka tano. Kumbuka waweza fanya squarts bila kuwa na uzito wowote, cha muhimu ni kuikutanisha mikono yako pamoja nyuma ya kichwa wakati wote unapokuwa unachuchumaa na kusimama. Ni muhimu kufahamu kwamba, kama unataka sehemu zako za makalio kuongezeka ukubwa, basi ni vema kutumia uzito.




Zoezi lingine ni lile la kukaa mkao wa wanyama. “Kama mnayama niliuliza kwa hamak?”. “Ndio hiyo unapiga magoti na kuweka mikono yako chini kama vile unataka kutembea kama mbwa au paka. Taratibu unarudisha mguu wako nyuma kama kwamba unampiga teke mtu aliye nyuma yako (kama ng’ombe au punda anayepiga teke la kinyumenyume).


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Unafanya hivyo taratibu na kuurudisha mguu bila kuweka goti chini. Unarudia mara 6 mpaka 12 kwa mguu mmoja, halafu unafanya hivyo hivyo kwa mguu wa pili. Ni vema kufanya mizunguko mitatu mpaka mitano ya zoezi hili. Muhimu ni kwamba, unaporudisha mguu nyuma, usiunyooshe kabisa, ili msukumo mkubwa usikike kwenye sehemu za makalio.




Zoezi hili ni zuri sana kuyapa makalio umbo na muonekano mzuri. Pia ni zuri sana katika kuondoa maumivu ya mgongo.Yako mazoezi mengi yanayosaidia kuongeza na kuyapa makalio muonekano mzuri (shape). Ila niliyotaja hapo juu ni baadhi tu ya mazoezi ambayo waweza fanya hata nyumbani.




Ila kama utakuwa na nafasi uwe unakauja hapa kuna mashine maalumu zinazosaidia kuyaweka makalio yako katika umbo na ukubwa unaotaka. Waweza tumia smith machine kwa squarts.Waweza fanya ``quadriceps curls’’, ´´leg press’’ na mazoezi mengi kwa kutumia mashine maalumu zinazopatikana kwenye gyms mbalimbali.




Ukweli ni kwamba kupata makalio yenye muonekano na ukubwa unaoutaka, zingatia mazoezi yanayohusisha sehemu ya chini ya mwili . Si swala la kujaribu, bali ni kitu kinachojulikana kisayansi na kiuzoefu”. “Sawa mtaalamu kwa kuwa nataka nitakuwa nakuja hapa kufanya hayo mazoezi”.




“Karibu sana Bambucha na pia yapo mazoezi ya kupunguza mwili na makalio bla kuoteza muonekano wako mzuri”. “Mimi hayo siyataki nataka ya kuongeza bila kupoteza uzuri”.Akatabasamau kisha kanipa mkono. Nililipia huduma hiyo ya ushauri kisha nikaondoka zangu.




Nilifikiria hayo maongezi nikajua bado kwa upande wa aina ya vyakula bado sijapata ushauri hivyo nikaona bora niendelee kutafauta wataalamu.Basi nikaenda kwa mtaalamu mmoja kupata maelekezo mengine. Huyu sasa ndo alinitisha mpaka nikaogopa kabisa.




Kwanza alinambia wazi njia zote mpaka za dawa za kupaka kuchoma sindano lakini lazima anieleze mandhara yake kwanza.“Kimsingi unenepeshaji wa kisasa wa makalio, mapaja na matiti hufanyika kwa njia ya kuweka vipandikizi (silicone implants), kupaka cream, kuchoma sindano za mafuta ya mwili kutoka katika nyama za tumbo (fat transfer injection) au kuvaa vitu vinavyotengeneza umbo linalotamaniwa na wanaume.




Matumizi ya dawa za kunenepesha makalio, mapaja na kutunisha matiti si salama kwa afya kwani zinaweza kusababisha hali ya kushindwa kupumua kutokana na mzio (allergy), kansa, kuoza kwa misuli ya makalio na miguu (gangrene), uvimbe wa misuli (lumps/granuloma), kunenepa kwa makalio au matiti bila mpangilio au ulinganifu, kupooza au kifo wakati mwingine.Dawa hizi zinaweza kusababisha kifo pale zinapoingia katika mfumo wa damu na kuharibu ini, ubongo, moyo na mapafu.




Dawa zingine kutokana na kuongezewa viambato vya steroidi, mapema au baadaye sana zinaweza kusababisha magonjwa ya vidonda vya tumbo, udhaifu wa mifupa (osteoporosis), figo kushindwa kufanya kazi na shinikizo la damu”. “Je, kuna mifano yoyote kwa mtu aliyewahi kuathirika?, ilibidi nimuulize maana nilihisi ananitisha siunajua tena wabaonge wenzetu wana vikwazo vingi tu pamoja na wivu.




Akanijibu kwa kusema “Kuna mifano mingi ya wanawake waliodhurika au kupoteza maisha kutokana na dawa hizi za urembo usiokuwa wa lazima. Mwaka 2004, mwanadada Apryl Michelle Brown mwanamitindo ya urembo wa nywele (Hair stylist) kutoka Los Angeles, Marekani alipoteza makalio, mikono na miguu yote baada ya misuli yake kuoza kutokana na kupata madhara ya sindano za kunenepesha makalio.




Mrembo wa zamani wa Argentina(1994), Miss Solange Maginano akiwa na umri wa 38, alifariki dunia mnamo mwaka 2009 katika Kliniki moja huko Buenos Aires, Argentina akiwa anapewa dawa za kuongeza ukubwa wa makalio yake.




Mwaka 2011, kulikuwa na taarifa katika vyombo mbalimbali vya habari kuwa Claudia Adelotimi, mwanadada mwenye asili ya Nigeria aliyekuwa na umri wa miaka 20 akifikiri kuwa kunenepesha makalio kungemfanye awe nyota katika ushiriki wake kwenye picha za video za muziki wa kizazi kipya wa kufokafoka, alipoteza maisha kwa kuchoma sindano hizi huko Philadephia, Marekani.


Visa vya namna hii ni vingi sana miongoni mwa wasichana na wanawake wanaopenda urembo bila kujali afya kwanza. Wasichana wengi wanapotumia dawa hizi, huwa wanafikiri kuwa wanaboresha muonekano na maisha yao lakini wanapopata madhara ya kiafya, hupoteza vyote yaani ubora wa maisha na uzuri wao wa asili na kubakia na majuto ya kudumu”.




“Kwa wasichana ambao wanaona kuwa maisha hayawezi kuwa matamu bila kunenepesha makalio, mapaja na matiti yao, ni busara kufanya hivyo kwa njia za asili zisizokuwa na madhara kwa afya zao. Sehemu hizi za mwili zinaweza kunenepeshwa kwa kutumia sayansi ya lishe bora”.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Hapo sasa nikataka kujua hiyo sayansi yal ishe bora ni ipi. Akanambia “kunywa maji mengi na mazoezi ya mwili ni siri ya urembo.Pia Kula vyakula vyenye protini ya kutosha na vyakula vyenye asili ya mimea yaani mbogamboga, matunda, nafaka zisizokobolewa na mafuta yenye asili ya mimea pamoja na kupunguza sukari na chumvi kwenye chakula, husaidia sana katika uimarishaji na unenepeshaji wa misuli ya makalio, matiti na mapaja.




Kuepuka ulaji wa nyama yenye mafuta mengi au mazao ya maziwa kama vile siagi na samli pia husaidia”.Hapo kwenye vyakula nikawa nimemuelewa na akahidi kuwa nitapewa package inayoendana na mahitaji ya mwili wangu baada ya kuchukua vipimo.


Akaendelea kutoa somo kwa kusema.




“Mazoezi ya kila siku (asubuhi na jioni) ya kupunguza mafuta katika nyama za tumbo, kufanya kiuno kuwa chembamba na kuimarisha misuli ya mapaja pamoja na makalio ni njia bora ya kumpatia msichana umbo la kupendeza na kunenepesha au kutunisha makalio bila madhara ya kiafya.




Baadhi ya watafiti na wataalamu wa mambo ya urembo wanadai kuwa, kiuno cha msichana au mwanamke chenye uwiano wa 70% ya mzunguko wa mapaja yake (hips circumference) au kipimo cha 0.7 WHR (waist to hip ratio) kinaonyesha afya nzuri ya msichana au mwanamke na kinafanya makalio na mapaja ya msichana au mwanake kuonekana kuwa makubwa.




Mazoezi yanayosaidia katika jitihada za kufikia lengo hili kwa kutumia njia za asili na kwa usalama huku yakiimarisha afya ni pamoja na kuruka juu, kupanda ngazi za nyumba (stair climbing), kuinama, kuchuchumaa pamoja na kuminya au kuchua misuli ya makalio (massage) kila siku.




Ili zoezi la kuchuchumaa lilete matokeo yanayokusudiwa fuata kanuni zifuatazo: Kwanza tambua kuwa lengo lako ni kubadilisha muonekano wa umbo lako kwa njia salama, hivyo basi ni lazima ujitume kufikia lengo hilo. Anza mazoezi ya kusimama wakati miguu yako ikiwa imeachana kiasi cha upana wa kifua chako kisha taratibu kunja miguu yako kwenye magoti ili kuchuchumaa hadi mapaja yawe sambamba na sakafu au ardhi kwa dakika kadhaa kisha panda juu taratibu ili usimame kama mwanzo.




Fanya zoezi hili angalau mara ishirini kabla hujapumzika au kubadilisha mtindo wa zoezi.Fanya mtindo mwingine wa zoezi la kuchuchumaa wakati miguu ikiwa imepishana, weka mguu mmoja mbele kiasi cha umbali wa hatua moja na mguu mwingine uwe nyuma kisha chuchumaa kwa kukunja magoti yote, mguu wa mbele ujikunje na kutengeneza kona yenye 90° digrii na mguu wa nyuma uwe chini kiasi cha nchi 2 hivi juu ya sakafu.




Kisha simama na kubadilisha mguu uliokuwa nyuma uwe mbele na kurudiarudia zoezi mara kwa mara.


Zoezi jingine ni lile la kuweka magoti yote na viganja vya mikono yote sakafuni kama mtu anayetaka kusujudu, kisha inua mguu mmoja kwa nyuma wakati goti moja na mikono ikiwa sakafuni.




Badilishabadilisha mguu wa kuinua na fanya hivyo kwa dakika 20 kila siku asubuhi na jioni. Lakini pia unaweza kusimama wima na kunyoosha mikono yako yote mbele usawa wa kifua chako kisha ishushe taratibu hadi uguse vidole vya miguu yako kwa mikono yote miwili.




Baada ya hapo inuka taratibu hadi usimame wima kama mwanzo na urudierudie zoezi hili kwa dakika 20.Zoezi jingine linaloweza kusaidia ni lile la kuchua au kiminyaminya misuli ya makalio (massage) kwa dakika 30, asubuhi na jioni kila siku. Zoezi hili huimarisha misuli na kuongeza kiasi cha mzunguko wa damu katika nyama za makalio. Zoezi la kuchua misuli pia linaweza kusaidia katika utunishaji wa matiti kwa wale wanaohitaji matiti makubwa yaliyojaa.




Fanya massage ya matiti kwa kutumia vikanja vyako kila siku asubuhi na jioni na kuchezea chezea chuchu kwa dakika 30, hii itaongeza mzunguko wa damu katika matiti na kupunguza damu ya hedhi lakini pia itasababisha ongezeko la kichocheo cha prolactin na kuimarisha misuli ya matiti.




Ili mazoezi haya yalete matokeo yaliyokusudiwa ni lazima yawe endelevu na yaende sambamba na kanuni zingine za afya na urembo kama vile lishe bora, kunywa maji ya kutosha na kuwa na mtazamo chanya katika maisha”.Kwa maelezo hayo niliona kabisa hakuna haja ya kuchoma sindano zaidi ya kutumia njia za asili.




Lengo langu la kuwa msichana mwenye mvuto zaidi mjni.Nilirudi zangu kwenye biashara yangu na sasa nilikuwa nimepata taarifa ambazo mimi niliona zinajitosheleza.Niliamua kwa dhati kabisa siku inayofuata nianze mazoezi na pia kabla ya kufanya hivyo nilimua kwenda kupima afya ya mwili mzima.




Nilianza mazoezi rasmi huku nikitumia mchanganyko wa vyakulaa ambao ungesaidia kuendana na mzoezi hayo na kufanya mwili wangu uwe wa mvuto


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Sikutaka eti nifanye mazoezi alafu nikomae niwe na vigimbi kama mlima magimbi. Mimi nilitaka nifanye mazoezi alafu niwe nyonyoro umbo lenye mapangilio sio makalio makumbwa yasioendana na mwili wangu. Kupanga ni kuchagua na hata kama umezaliwa mbaya ukiamua kuwa mbaya zaidi unaweza.




Ila hata kama ulinyimwa vitu fulani ukiamua kuwa mzuri unaweza.Kweli kadri siku zilivyokuwa zinaenda ndivyo hivyo nilivyoongeza juhudi katika mazoezi.Katika miezi kadhaa tu mabadiliko yalianza kuonekana.Mshundundu ulianza kuongezeka hapo kiunoni ndo usiseme.




Matiti nayo kuna jinsi niliya boost kimtindo.Ukisikia namba nane hiii sasa ndo ilikuwa namba nane. Nikipita njiani watu walikuwa wakihaha na kuumiza shingo zao.Si wanaume mpaka wanawake walishindwa kujizuia na kuniangalia. Sijui na wao walikuwa wakipenda nini.




Arsen mwanangu handsome boy na yeye alishaacha kunyonya kwa hiyo mimi ilikuwa ni kujiachia tu.Na hivi alikuwa anapelekwa baby care, aahaa nilipata mda wa kufanya fujo mjini. Tamaa ya pesa za haraka haraka ndo ilianza kuniponza maana nilianza kuambatana na shoga yangu Sabri aviwanja mbalimbali.




Siku moja nikiwa zangu ofisini kwangu nikifungafunga mahesabu yangu Sabrina alinipigia simu na kuniambia kuwa kuna dili limetokea nimkute hapo Samaki Samaki. Sikujua ni ishu gani basi mimi nilifunga na kueleka sehemu hiyo maarufu kwa kula bata. Nilivyofika hapo nilimkuta akiwa mwenyewe kabisa huku akiwa anakunywa maji tofauti na siku zingine kabisa.




Swali la kwanza nililomuuliza vipi anaumwa au ndo swaga.Hakunijbu kitu alitabasamu tu na kuniambia kuna kazi anataka nimsaidaie.Nilimuuliza kazi gani akanambai nisiwe na mchecheto ebu niagize kitu nilichkuwa nataka kunywa. Niliagiza wine nyekundu kama kawaida yangu na kutegea sikio na kumsikiliza.




"Umeona wale wanaume pale mbele” Sabrina alianza kwa kuniuliza. Basi na mimi nikawaangalia kwanza na kusema “ndio alafu mbona kama washambawashamba”. “Sio washamba hayo makoti makumbwa waliovaa yasikufanye uwazarau”. “Hao mabwana wamefikia hotel moja ambayo ipo karibu tu kutoka hapo.




Hapo mabwana ni wafanyabiashara wa madini na wameingia mjini kwa ajili ya kuuzani machali wa kutoka Arusha. Sasa nataka tuwaingize mjini tuwaibie lakini kwa kutumia akili. “Jamani Sabrina wewe watu wa Arusha si nasikiaa huwa wanatembea na bastola huoni ni hatari”. “Ni kweli kabisa lakini sisi wenyewe tumebeba bunduki kwenye miili yetu yaani hawa ni kuwadatisha kimapezi kisha tuna wawekea madawa hivyo tunawaibia”.




Sikutaka kuamini kama kweli hizo ndo kazi anazozifanya Sabrina na kunileta pesa za kuendesha biashara. “Sasa unachoogopa ni nini wakati wale wapo wawili na sisi tupo wawili cha msingi ni kutumia akili kuliko nguvu. Wapo wanaotumia nguvu kutafuta pesa hizo sisi tunatumia akili zaidi”.




“Sasa tutatumia mbinu gani mpaka tuwe nao”, ilibidi niulize. “Ndio hapo sasa shosti ndo maana nimekuita hapa tujadiliane najua kwa jinsi wewe ulivyo ni rahisi sana”. “Kwa hiyo ninachotaka hapa tufanyae kitu chochote ambacho kitafanya wajue kumbe kuna wanawake wa nguvu hapa”.




“Ni kweli lakini ngoja nikuulize wewe nani alikutonya huu mtonyo”. “Aliyenitonya huu mtoyo ni rafiki yangu mmoja yeye kwa sasa ni muhudumu wa ile hotel waliyofikia”. “Basi kama ni hivyo hawa watakuwepo hapa kwa mda mrefu hivyo hatuhitaji papara naomba nipe nusu saa tu niende nyumbani nikatupie vile vitu vyangu vya kibata mzinga nikija kwa mara ya pili tu wenyewe watatufuta”.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/


Sabrina alaitabasamu kidogo kisha kuniambia “sawa ila nisicelwe sana”. Niliondoka kupitia mlango wa nyuma na nilipotoka nje nilichukua bodaboda na kuwahi nyumbani.Akili siku hiyo ilikuwa inafanya kazi kupita maelezo.


Nilivyofika nyumbani kitu cha kwanza ilikwua nikumsalimia mwanangu na kumpa maneno yenye nguvu kisha nilingia ndani na moja kwa moja niliingia bafuni.




Nilioga vizuri kwa kutumia shower jelly ambayo huwa inanukia vizuri sana.Basi nilivyotoka nilikaa kwenye dressing table yangu na kujikwatua.Nilijipara vilivyo kisha nikachukua lile wigi langu la bei ghali kabisa ambalo huwa nikilivaa mtu hawezi kujua kama ni wig anaweza kufikiria kuwa ni nywele zangu.




Nikavaa kimini ambacho kilinibana kupita maelezo na lengo ilikuwa wowoo na hips zionekane.Juu pia nilitupia kidude ambacho kiliacha mgongo wazi na kwa mbele haya matiti yangu niliyoyaboost kwa mazoezi sehemu kumbwa yalikuwa yanaonekana. Sikutanii kama uliniona usiponitamani wewe mtoto wa kiume basi nenda hospitali kapimwe huenda ni hanisi kabisa..




Sasa nilifikiria pale naingia na mbinu gani ambayo itawafanya watu wote watambae uwepo wangu.Ilitakiwa nifanye kitu ambacho kitawafanya watu wote waniangalie. Niliamua kujipulizia marashi yangu fulani hivi ambayo hayo nikipulizia ni lazima mtu yeyote atashtuka.Nikaona sasa itakuwa ni aibu kupanda bodaboda. Nikampigia dereva wangu wa tax ambaye huwa yupo standby. Kweli alikuja na kunipakia na kunipeleka hiyo sehemu.




Sasa ilitakiwa niingilie mlango wa mbele ambapo wale jamaa wataniona.Ujue kule tulipo kaa mwanzo walitupa migongo hivyo ilikuwa ni rahisi sana. Hapo nikampigia simu Sabrina na kumwambia kuwa nikifika hapo mlangoni aje huku akikimbia aje anikumbatie na hiyo ni mara baada ya kuwasaliimia wale vijana.




Swaga zitakazo tumika ni kuongea kama umenimss sana na huamini kuwa mtoto wa waziri anaweza kuja eneo hilo. Basi viatu nilivyovivaa vilikuwa ni virefu sana hivyo hatua mbili tatu vilifanya watu wote wageuke. Nikailenga ile meza ya wale vijana huku Sabrina na yeye akitoka kule alipo na akawa anakuja.




Nikapunguza hatua na kuhakikisha kuwa tunakutana karibu kisa na kwenye ile meza ya wale vijana.Hapo Sabriana alinirukia kwa nguvu na kuanza kuniia mabusu yaani wao wao waoooooooooo mpaka watu walishangaa. Yaani sikuamini kama kweli unaweza kutoka Marekani mtoto wa waziri wewe na kuja moja kwa moja kuniona badala ya kwenda nyumbani.




Wacha tu shosti kwa jinsi nilivyokumiss imenibidi nichukue tu chumba hapo….nikilitaja jina la ile hotel ambayo niliambiwa wale vijana wamefikia. Kwa jicho la wizi niliweza kuona wale vijana walinikodolea macho yaani macho kodo. Basi muhudumu alikuwa akienda kuwaongezea vinywaji wale vijana na hapo hapo nikaona bora nichukue point kwa kusema kwa ngumu muhudumu utawaongeza hao wakaka kwa bili yangu alafu uje unisikilize na mimi.




Hapo ndo nilizidi kushangaa wakajua kweli huenda mimi ni mtoto wa waziri maana hizo zinaitwa nyodo za pesa. Alafu niliwapa ishara kuwa nawasalimia.Walitabasamu na sisi tukaenda kukaa kule mwisho.




Muhuduu alikuja na mimi hapo niliagiza vinywaji vya kitajiri.Kwa wanywaji mtakuwa mnavijua. Si hivyo hata sauti imebadilisha naongea kama mtoto wa waziri.Yaani kwa mapozi hapa ndo kwake.“Dili done”,nilimwambia Sabrina huku nikimwambia amwagize yule muhudumu ambapo hao vijana wamefikia atuwekee chumba kimoja.




“Mmmh chumba cha nini sasa best na vipi dili likikwama”. “Usijalia toa pesa utoe pesa hasara roho pesa makaratasi”. Sabrina alitabasamu na kunyanyua iphone 6 yake na kumpigia huyo muhudumu. Waliongea na kwa bahati nzuri vyumba vilikuwa bado vipo.




Kwa kuwa zilikuwa ni kazi za kirafiki akamwambia ahakikishe kuwa iibaki room moja haitoshi maana dili linakaribia kukubali. “Kwa hiyo mpango wako ni nini?”, aliniuliza Sabrina. Mpango wangu ni kunywa vinywaji mpaka tulewe wasipokuja wenyewe tutawafuata.




“Aaaaaah mnakuja ua niwafuate”, Sabrina alikazia msemo huo ambao tulikuwa tunaupenda kuutumia kipindi tukiwa tunataka jambo kwa haraka. Mara tuliona tunaongezewa vinywaji bila kuagizwa. “Vimetoka wapi? ni kwenye ile meza ya wale vijana wamejibu mapigo”.


CHANZO:  https://deusdeditmahunda.blogspot.com/




ITAENDELEA

Comments

Popular posts from this blog

Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Pili (2)

Leyla binti bikra -01

SEHEMU YA 06---10