SAFARI YA ZANZIBAR Sehemu ya 01
Unajua leo nilikua na ham na wewe TUMAINI lakini sina pese apa kwaiyo utakuja kuchukua baadae dukani
Haaa ina maana umenila bule yani kiufupi umenikopa eeh siku zote nakwambia sitaki mkopo unajisahau eeh
Lakini TUMAINI mimi na wewe ni wapenzi wa mda mlefu sana uwezi kunambia maneno makali kama hayo ina maana una niuzia au
Bwana eeh utajua mwenyew mie ninachotaka pesa kwajili ya kuitunza familia yangu maana ata wewe una familia yako pia
Nilivaa nguo zangu na kutoka ilikua gest
Yani uyu mbaba mjinga kweli si angenipa mimi ii ela ya gest tungeenda ata mjumban nili kasilika sana japo siku zote uwa ananipa pesa
Jamani mimi ni TUMAINI ramadhan bint wa pekee katika familia yenye watoto wa kiume watatu kaka zangu wawili ni mapacha hassan na hussein na uyo mwingine anaitwa mohammed na dada yao ambae ndo mimi kichwa kibovu TUMAINI jina la tumaini silipendi ila mama na baba wana lipenda kwa maana lilikua ni tumaini lao kupata mtoto wa kike baada ya kupata wakiume watatu kuna wakati nilitaka kubadili lakini wazazi walikua wakali na kufikia kunambia nikibadili jina nibadili na wazazi pia
Bas nililudi nyumban nikiwa na hasila mno yani nime liwa mchana wa jua kali alafu nimekopwa vilevile ivi isha wai kuku kuta iyo yani unaenda kuliwa ikiwa ushapanga ela ukimpata utafanyia kitu flani alafu unalud holaa ndo kilicho nikuta mimi maana tuna daiwa kodi na pesa imekua ngumu baba ajalipwa na boss wake mwezi wa pili
Kaka zangu hussein na mohammed awana abali kabisa yani toka wameowa wamekua bola kwa familia za wake zao mtu pekee ambae ana saidia familia ni mimi na kaka hasani
Niliingia ndani nikiwa nimechoka nikamkuta baba na mama wame kaa tu na siyo kawaida baba kuwa nyumban mchana maana anafanya kazi ya ulinzi na hua wanapeana zam na mwenzie
Baba mbona upo apa muda uu kuna usalama
Apana mwangu boss amenilipa mshahala ndo nimemletea mama yako Apunguze deni la kodi si unajua na kinacho baki aongezee kwenye biashala zake
Saw nili jilaza kwenye kiti yani niko na stres za kutosha baba aliaga na kutoka nikabaki na mama
Mala sim yangu ikaita eeh alooh alikua ni kaka hassan
Nambie kaka yangu sasa mdogo wangu wewe si mtoto wa mjini kuna kazi apa lakini ni ya watoto wa mjini ninapo sema ivo na maanisha
Mmmh kaka kazi gani iyo kazi kaz kweli kweli ila ndoivo tena siwezi kukufafanulia kwenye sim
Nitakutumia ela ya nauli kesho dandia boti uje ZANZIBAR tutaongea ukifika huku sawa
Sawa kaka akuchukua mda muamala ukasoma laki tatu mmmh jamani yani kaka yangu toka aondoke nyumban ajawai kutuma pesa nyingi ivo inawezekana kayapatia nini uko
Alipiga tena sim sasa iyo pesa itabidi uchukue elfu hamsini tu na itayo baki uwaachie ao wazee sawa ok broo nimekusoma
Nilimpa sim mama akaongea nae kilakitu na mama akatia balaka safali yangu
Usiku nilienda kutoa pesa nikapitia dukani kwa mangi kuchukua changu sitaki utani kabsa nilimkuta na mkewe
Sasa huyu saizi yupo na mkewe itakuwa je apa
nilijiwazia kimya kimya uku natafuta plan ya kuipata ela yangu

Zasaiz nilisalimia kiupole waliitikia mangi naomba ule mzigo aaah sawa akatoa pesa na kunipa yule mkewe katulia tu nilichukua ela mie huyo ata sijui kilicho endelea maana niliamua kujivesha mabom
Nililudi nyumban kwajili ya kupumzika baba aliludi niliongea nae na yeye akua na iyana
Nenda bindi ila uwe makini uko na usije kubadili jina lako mwanangu sawa baba
Niliingia kulala na asubuh mapema baba aliniamsha na kunisindikiza mpaka posta nikapanda bot
Siyo mala ya kwanza kuja zanzibar nilikuja mala kazaa kumtembelea kaka yangu tunae fanana akili yani sisi ni wazee wa pesa mbele nilifika na wifi alikuja kunipokea
Kakae alisha owaga pia na mungu amembaliki mke mzuli na mtoto wa kiume tulifika mpaka katika nyumba anayo kaa mmmh
Lilikua ni eneo geni kwangu mala ya mwisho alikua amepanga chumba lakini leo nimeletwa katika nyumba
Je nini KITAENDELEAAA
OFAAAA FULL MPK MWISHO KWA 1000 TU
WAHI WHATSAPP 0755090082
Comments
Post a Comment