SAFARI YA ZANZIBAR - Sehemu ya 09



🤸🤸🔥😍😍

Page Bahari ya simulizi

Walitoa zawadi kwa pamoja si unajua watu wenye pesa yani walimwaga pesa tuu

Baada kumaliza tulipata chakula Abdul yeye akula na tokea ameludi ajaongea chochote Shangazi alienda kuaga ili tupate kwenda mimi na Abdul tukawa tuna msubilia wakati nataka kumongelesha kipenzi changu cha muda 😁 kihelehele Aliyah oyo haaa jamani uyu nae katokea wapi niliongea kwa sauti ya chini Lakini Abdul alinitazama nikajua atakua ajasikia

Bas Aliyah alifika na kusimama mbele ya Abdul

Nikaona ngoja niwape nafas nilisogea pembeni kidogo

Wakati huo sim yangu ikaita kutazama ata kuwa nani mbona usiku sana

Alikua ni mangi mmh jamani utamu wangu😋 aliongea baada ya kupokea sim

Vipi mbona usiku huu

Nimekumis tu jamani sijakuona miezi miwili upo wapi nipo ila usinipigie sim tumeachana kwa muda

Nilikata sim wakati uku Abdul amemuacha Aliyah na kuingia kwenye gar

Baada ya muda shangazi akawa analudi Lakini kuna mdada wa makamo alimsimamisha

Ebu subili kidogo we mwanamke mwenye kizazi cha luti

Unataka nini kwangu kwani eeh

Nitake nini tena wakati mume ninae shoga angu

Sasa kama mume unae mbona bado unanifatafata

Aaaah jamani nilikuja kukujuza kua nina ujauzito mwingine na ivi kalibuni tuna pata mtoto wetu wa pili na mume wangu kipenzi

Ongela na nakuombea heli daima muzae sana mpaka mujaze dunia

Shangazi alimuacha yule mdada na kuja nilipo

Vipi yupo wapi Abdul

Yupo kwenye gar shangazi wakati uwo Aliyah alikua kashaondoka

Tuliingia kwenye gar safali ya kuludi nyumbani

Tufika na kuingia ndani shangazi akaenda chumbani kwake
Tukabaki wawili tu talatibu nasie tukapandish kuelekea vyumbani kwetu

Wakati Abdul anaingia chumbani kwake namie nikaingia uko uko leo nitajua mbichi na mbivu

Weh mbona chumbani kwangu vip eeh

Jamani kipenzi si nilisha kwambia kuwa ninakuitaji usiku huu

Ebu acha ujinga wewe nenda chumbani kwako

Nitaenda lakini mpaka unipe kwanza

Alinitazama alafu nais ata akunimaliza aka kaa chini

Sijui kwanini nimekuwa mpole na nimekuwa siwezi kukukasilikia wewe Tuma lakini nataka ujue kuwa mimi ni shoga ivo siwezi kukupa chochote naomba utoke

Ina maana ni kweli nili muuliza bila ya kusita

Ili jambo sio la sili Tuma ata watoto wanajua

Lakini mimi nakupenda Abdul siwezi kujizuia ety kisa wewe ni shoga kwangu mimi wewe ni mwanaume kamili

Niliamua kumuigizia mapenzi maana niliona ndo mbinu iliyo fanya kazi kilais

Ebu toka katika maisha yangu tafadhal Tuma

Siwezi Abdul nakupenda yani apo nisha msogelea na kuanza kumpapasa

Alijitoa alaka nimesema toka kabla sijafa kitu cha kijinga Tuma

Ina maana unanichukia namna iyo sawa nilitoka uku najifanya nimekasilika lakini ata akunizuia
Niliingia chumbani kwangu
Ina maana nikweli sasa inabidi ni jalibu kufanya nae mapenzi au nifanye je mimi Tumaini mkaka mzuli huyu Jamani amealibikiwa
Nilipitiwa na usingizi palepale yani ata kuoga sijaoga

Asubuh niliandaa chai kwakua ilikua j pili
Baada ya muda shangazi aliamka pia

Tumaini unaendelea je
Niko salama vip wewe shangazi niko vizul sawa chai ipo tayali
Sawa bas tuka tupate chai kwa pamoja

Nakuja shangazi nisubili kidogo nilitoka nikaenda chumbani kwa Abdul kugonga

Ingia vipi mbona asubuh yote ii kulikoni

Nataka tukapate chai pamoja kama familia

Sina njaa saiz we nenda tu ukaendelee

Abdul umesema uwezi kuwa na mimi nimekubali je uwezi kunifanya nipate fulaha tu ya kuwa kalibu na wewe naitaji tuwe ata malafiki wazuli tafadhal

Wakati anafikilia nilimshika mkono aligomagoma mwishoe akalegeza tukashuka pamoja sebleni shangazi alifura kwambali maana kilichotokea Sasa uwiiiiiiii😳😳😳

#everyone

JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
KUIPATA YOTE NI 1000 TU
NJO WHATSAPP 075509008

Comments

Popular posts from this blog

Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Pili (2)

Leyla binti bikra -01

SEHEMU YA 06---10