SAFARI YA ZANZIBAR Sehemu ya 08
Page Bahari ya simulizi
Tusonge mbele ......
Nilienda jikoni kujishugulisha maana sikuwa na chakufanya nilimpiga kaka ilikujua kama amefika
Baada ya kutimiliwa chumbani kwa Abdul niliamua kwenda jikoni kuongea na kaka ili kujua kama amefika salama
Alooh kaka
Nambia dogo
Vipi umefika
Ndiyo tumefika mda si mlef niliongea na mama pale alifulai kupokea ugeni mwenyew daa kweli fulaha ya mzazi ni watoto
Baada ya muda aliludi shangazi
Tumaini unafanya nini jikoni wikiendi yote ii amna naosha vyombo tu naona vimekaa mda mlefu kabatin
Abu achana navyo kajiandae tutoke alinipa mfuko kulikua na nguo
Nilienda kujiaandaa baada ya mda nililudi nilimkuta Abdul na mama yake wakiwa tayali
Abdul ananitazama jicho la asila vibaya
Nilisogea kalibu yake na kumshika mkoni kidogo kiuchokozi
Tunaweza kwenda sasa alisema shangazi
Safali ilitupeleka katika jengo moja lilipo pemben mwa mji kalibu wifi tulikalibishwa na kupewa siti
Baada ya mda alikuja Aliyah ooh kalibu Jamani alisalimana shangazi yake palikua ni nyumba kwao kumbe alisogelea Abdul au tuseme bby wake maana mwenyew ana mpenda kufa
Mambo mpenzi punguza shobo alimkata makavu aah Jamani nauyu nae si angetulia tu ana mchokoza Abdul mbele za watu
Aliona aibu akaondoka
Kwambali ilionekana familia inakuja lakini Abdul alipani gafla akainuka na kuondoka mimi na shangazi ili bidi tumfuate
Abdul ebu subili
Nini mama ulisema uyu mzee ato kuja na ndo maana nikakubali kuja na wewe mbona yupo apa
Ata mimi sijui mwanangu
Kama aujui bas wacha niende zangu siwezi kubaki kama yupo
Aliondoka kuelekea kwenye gar
Shangazi wacha nikaongee nae
Nilimfata nikamshika talatibu kama kawaida yangu
Chaajabu akugeuka lakini alisema nini sasa Tumaini
Nilishangaa kajuaje kuwa ni mimi
Naitaji tuongee kidogo prizi ebu punguza jazba kipenzi
Sema yani kwa mala ya kwanza Alikuwa mpole na akakubali kunisikiliza
Full kuji tongozesha yani daah ety kipenzi sijui kwanini unaasila na baba yako lakini leo siyo seem sahihi apa alafu kama unaugovi na mtu utakiwi kimkimbia atakuona wew ni zaifu na wakati wote ata shida
Ili kuwamini ilo muangalie shangazi yani na maanisha mama yako wanaugovi pia lakini agopi kumfes
Na wewe kuwa jisili bas
Tafadhal naomba ubaki
Nilimpa maneno ya kumtia ujasili
Alafu nikamuacha aamue pekee yake
Nikaludi mpaka alipo shangazi
Tumaini vipi amegoma
Ndiyo shangazi naisi itakuwa kashaondoka
Ilikua ni shelehe ya kumaliza chuo ya mdogo wake Aliyah
Muda wazawadi ulifika shangazi akanyanyuka akaenda mbele kutoa zawadi
Haaa saangapi na Abdul asiludi ile nageuka kidogo na muona na yeye uyo anaelekea mbele alipo mama yake mara gafla




#everyone
JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
KUIPATA YOTE NI 1000 TU
NJO WHATSAPP 0755090082
Tusonge mbele ......
Nilienda jikoni kujishugulisha maana sikuwa na chakufanya nilimpiga kaka ilikujua kama amefika
Baada ya kutimiliwa chumbani kwa Abdul niliamua kwenda jikoni kuongea na kaka ili kujua kama amefika salama
Alooh kaka
Nambia dogo
Vipi umefika
Ndiyo tumefika mda si mlef niliongea na mama pale alifulai kupokea ugeni mwenyew daa kweli fulaha ya mzazi ni watoto
Baada ya muda aliludi shangazi
Tumaini unafanya nini jikoni wikiendi yote ii amna naosha vyombo tu naona vimekaa mda mlefu kabatin
Abu achana navyo kajiandae tutoke alinipa mfuko kulikua na nguo
Nilienda kujiaandaa baada ya mda nililudi nilimkuta Abdul na mama yake wakiwa tayali
Abdul ananitazama jicho la asila vibaya
Nilisogea kalibu yake na kumshika mkoni kidogo kiuchokozi
Tunaweza kwenda sasa alisema shangazi
Safali ilitupeleka katika jengo moja lilipo pemben mwa mji kalibu wifi tulikalibishwa na kupewa siti
Baada ya mda alikuja Aliyah ooh kalibu Jamani alisalimana shangazi yake palikua ni nyumba kwao kumbe alisogelea Abdul au tuseme bby wake maana mwenyew ana mpenda kufa
Mambo mpenzi punguza shobo alimkata makavu aah Jamani nauyu nae si angetulia tu ana mchokoza Abdul mbele za watu
Aliona aibu akaondoka
Kwambali ilionekana familia inakuja lakini Abdul alipani gafla akainuka na kuondoka mimi na shangazi ili bidi tumfuate
Abdul ebu subili
Nini mama ulisema uyu mzee ato kuja na ndo maana nikakubali kuja na wewe mbona yupo apa
Ata mimi sijui mwanangu
Kama aujui bas wacha niende zangu siwezi kubaki kama yupo
Aliondoka kuelekea kwenye gar
Shangazi wacha nikaongee nae
Nilimfata nikamshika talatibu kama kawaida yangu
Chaajabu akugeuka lakini alisema nini sasa Tumaini
Nilishangaa kajuaje kuwa ni mimi
Naitaji tuongee kidogo prizi ebu punguza jazba kipenzi
Sema yani kwa mala ya kwanza Alikuwa mpole na akakubali kunisikiliza
Full kuji tongozesha yani daah ety kipenzi sijui kwanini unaasila na baba yako lakini leo siyo seem sahihi apa alafu kama unaugovi na mtu utakiwi kimkimbia atakuona wew ni zaifu na wakati wote ata shida
Ili kuwamini ilo muangalie shangazi yani na maanisha mama yako wanaugovi pia lakini agopi kumfes
Na wewe kuwa jisili bas
Tafadhal naomba ubaki
Nilimpa maneno ya kumtia ujasili
Alafu nikamuacha aamue pekee yake
Nikaludi mpaka alipo shangazi
Tumaini vipi amegoma
Ndiyo shangazi naisi itakuwa kashaondoka
Ilikua ni shelehe ya kumaliza chuo ya mdogo wake Aliyah
Muda wazawadi ulifika shangazi akanyanyuka akaenda mbele kutoa zawadi
Haaa saangapi na Abdul asiludi ile nageuka kidogo na muona na yeye uyo anaelekea mbele alipo mama yake mara gafla





#everyone
JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
KUIPATA YOTE NI 1000 TU
NJO WHATSAPP 0755090082
Comments
Post a Comment