SAFARI YA ZANZIBAR - Sehemu ya 07





Page Bahari ya simulizi
Tusonge mbele ......
Ya nini lakini kaka alivyona maswali mengi aka ni pola kiswaswadu changu akaandika namba zake na kuji bp
Sevu namba zang maana nitachelewa kuludi sitaweza kugonga dilisha tena
Lakini mala ya mwisho ukusema ata asante unazani nitakufungulia tena
Siyo msaada bali nitakulipa sawa
Kwaiy mimi ni mlinzi sasa nimekuwa
Uta jua mwenyew
Akaondoka yani ni mjeuli kweli uyu
Ilipita miezi miwili nililipwa na mshahala wangu wa kua kama mfanyakazi wandani apo niko na laki sita
Ilikua ni wikiendi moja ivi nikaenda malamoja kwa kaka kupeleka ela ile maana kaka alichukua likizo ya wiki anaenda nyumban na familia
Baada ya apo nililudi lakini nje niliikuta ile gar tena ya yule mkaka anaeitwa Nick uyu tena yani uyu ndo anafanya kazi yangu kuwa ngumu nilijikuta nimekasilika nikaingia ndan moja kwa moja chumban kwa Abdul bila ya odi niliwakuta wanafanya kazi za ofisi mafail kibao tena wako mbali mbali
Wee mbona bila ya odi eeh
Nilikosa cha kujibu maana ni kama nimeumbuka ikabidi nijizime data
Nilimsogelea talatibu na kukaa bembeni yake
Wakati nime kaa yeye akasogea na mie nikasogea bas kikawa kimchezo cha sogea nisigee
Aah boss wacha nikupishe yule Nick aka beba vilago vyake na kuondoka
Kwanini wewe ni msumbufu lakini Tumaini
Aliuliza uku anitazami na nilikua nimegundua uzaifu uwo yani awezi kumuangali mtu machoni ana jifanya mbabe lakini anaonekana ni mtu mwenye aibu sana
Nakupenda Abdul Nilimwambia siwezi kuvumilia zaidi et nioneee uluma mwenzio leo nimebanwa na nyege nilikua na ongea uku na mpapasa kimahaba
Aliinuka alaka na kuninyanyua kwa asila na kunisukuma nje nikawaza mmmh leo na mimi nitafukuzwa kama Aliyah nini maana niliona kiasi fulan amekasilika kweli
#everyone
JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
KUIPATA YOTE NI 1000 TU
NJO WHATSAPP 0755090082
Comments
Post a Comment