SAFARI YA ZANZIBAR - Sehemu ya 11





Page Bahari ya simulizi
nilianza kumchezea alooh kitu ichoo kiko ngangali yani mpaka misuli inaonekana niko tobaaa imbona nouma apo ata nyege zilipoenda sijui kudadeki mala mlango Ukagogwa Abdul nimeludi apo ndo akaja kunilushia ndege wangu kwakiasi kingine niliona kama mkombozi wangu maana nilikua ata sijui cha kufanya mzigo ni mkubwa nilikua naogopa
Weh Abdul
Eeeh na mama nakuja
Sawa lakini Tumaini umemuona maana chumbani kwake ayupo
Apana mama sijui alipo
Wewe ebu toka mama asikukute apa
Nilimtazama bila ya kujibu chochote nikatoka
Niliingia chumbani kwangu nitafakali kilicho tokea
Mmmh mbona ana dalili yoyote ya ushoga kwanini ana jieka katika ali ya kuonekana machoni mwa watu kama shoga
Wakati na fikilia iliingia sms
Alikua ni Abdul
Tuma tunaitaji kuzingumza ivo jiandae tutoke kidogo niko nje nakusubili
Nililukaluka vibaya nisiamini atimae amekuwa mlaini haa asante mungu
Nilijiandaa nikatoka nilimkuta shangazi sebleni nikamkonyeza kimtindo Alafu uyo nikatoka mpaka alipo Abdul Niliingia kwenye gar safali kaanza ilikua ni safali ya lisaa lizima mpaka nikaona niulize
Inamaana atufiki kwani tunaenda wapi
Usijali tushafika wakati ana nambia ivo mie niona eneo tulilo ni msituni alafu anasema tumefika alikunja kona tukaingia msituni zaidi
Mbona msitu uku tumekuja kufanya nini hofu ilianda kunitawala
Jamani mwenzenu naogopa kufa atali
Tulia wewe akuna atali yoyote apa upo na mimi kipenzi chako
Niliona ana nijoki uyu
Alisogeza gar mpaka eneo moja ivi apo ndo niliona taa sasa
Shuka tumefika njieeee njiee njieee ni pazuli mpaka pazuli tena kilikua ni kijumba kilicho katika ya msitu na pembeni kuna ufukwe nilikimbilia ili nione vizuli mazingila
Tuma kalibu seem yangu ya maficho
Eeh uwa unakuja uku mala kwama kwani
Ndiyo kila Nikichelewa uwa nakuja uku
Alifungua mlango tukaingia ndani
Jamani ili eneo nikama sehem ya utalii
Kalibu Tuma au niseme Tumaini
Asante Abdul kipenzi
Alicheka kizalau
Acha zako vip uko na njaa
Ndyo
Ok ubilia kidogo Nick analeta chakula
Tuli kaa kimya kwa muda
Vip atuwezi kutembea kidogo ufukweni wakati tunasubilia chakula
Ok kama unaitaji alikubali tuka toka Tulitembea kidogo tu kwakua nilikua na njaa ilibidi nikae chin
Vipi Tuma umechoka
Naomba tutulie kidogo apa alikaa pemben yangu
Unajua Tuma sijui kwanini umekua king'ang'anizi jambo ambalo linafanya mimi kuwa zaifu katika kusimamia mismamo yangu nilio jiwekea
Akuna zaidi ya mapenzi nakupenda mwenzio Abdul
Acha ujinga wewe tafuta mtu wa kuendana na wewe mimi utauweza mziki wangu
Najua ila kwakua nakuitaji wewe maishani mwangu nitavumilia
Alinitazama kisha akasogea kalibu yangu zaidi na kunikumbatia
Asante kwa mungu kuniletea wewe umekua mtu wa kalibu kwa muda mfupi niliokufaham
Abdul Naomba nikuulize maswali maana naisi sitaweza kulala usiku wa leo bila ya kuya faham aya mambo kiundani
Uliza Tuma
Kwanini unaluhusu watu wakuite shoga
Kwanini swali kama ilo lakini Tuma
Naitaji kujua maana moyo wangu akuwai kuamini kua wewe ni shoga na ndiyo maana ukakupenda
Niko na sababu lakini ni ya miaka mingi tokea nikawa na miaka kumi na mbili
jamani je ni sababu gani iyo






JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
KUIPATA YOTE NI 1000 TU
NJO WHATSAPP 0755090082
Comments
Post a Comment