SAFARI YA ZANZIBAR Sehemu ya 12



Page Bahari ya simulizi
WhatsApp 0755090082

Nilikua na mchumba shule nilikua nampenda sana sana sana upendo wangu kwauyo bint aukua ni kama utoto bali nilitalaji mengi kati yetu siku moja tulijifungia makta ili tufanye yetu kwa mala ya kwanza

Lakini iyo siku ndo imeadhil maisha yangu mpaka leo
Maana wakati tushavua nakuanza mambo yetu maumbile yalikua makubwa ila tulazimisha ivoivo kitendo kile kilipelekea yule bint kuzimia ilikua ni tahaluki sana kwangu maana nilijua nimesha uwa nililia na kulia mpaka nikaweka ahadi kama uyo bint ataamka basi sitakuja kufanya tena ilijambo maana ni kitu ambacho kina mazala kwa wanawake
Baada ya msaa mawili ndo aliam
Nilimshukulu mungu na ndo ikawa mwanzo na mwisho mimi kua na mausiano maana ata yule bint alinikaataa kuanzia siku iyo

Duuuh yani kwasababu iyo ndo ukaishi maisha yako yote kama mtuumiwa
Ina maana siyo kweli kila linalo semwa kumbe wewe ni mwanaume kamili

Ndiyo Tuma sijawai kujiusisha na ayo mambo katika maisha yangu

Nilijikuta nasema asante mungu kwa sauti ya kumaanisha mpaka Abdul akazani ni kwasababu na mpenda na nimegundua siyo shoga kumbe mie nilisema kwa jili ya mama yake maana zitakuwa ni taalifa njema izi

Tuma ina maana unanipanda kiasi icho

Ili bidi nikubali tu mwali wenu
Abdul sijawai kutania nilisema nakupenda na maanisha

#everyone

Abdul sijawai kutania nilisema nakupenda na maanisha
Nilizidi kugongelea msumali katika imani yake na sijali lolote ninachotaka ni kuwa na wew
Tafadhal nipo kee

Kabla ajaju chochote tukasikia mtu anaita

Bos bos

Aah twende sasa
Nick amefika

Samahan boss kwa kuchelewa

Aina shida nick unaweza kwenda sasa

Poa boss

Nick akaondoka
Tulikula kimya kimya kila mmoja wetu akitafakali mambo yake kichwani

Baada ya kula sasa tulikaa pamoja tunacheza gem yani nilishangaa kumuona Abdul anainjoy sana uwepo wangu

Tuma asante kwakuja katika maisha yangu ambayo ayana fulaha

Mmmmh siyo kweli unamjua mama yako anakupenda sana na anaumia kwa maneno ya watu ebu muondolee mama yako aibu

Najua Tuma kama mama ananipenda sana tena ameamua kuitelekeza ndoa yake kwajili yangu Lakini baba ajali kabsa kuusu mimi ili jambo linazidi kuniumiza maana mimi toka mdogo nilikua nampenda baba kuliko mama naumia sana kuwa mbali na baba

Pole ila inabidi umfungue fikla baba yako aache kuamini maneno ya kuambiwa na
Apo ndo pakuwafunga
midomo sasa wote walio kuzalau

Nilianza kumsogelea kalibu zaidi
Aaah aaah Tafadhal usifanye ivo mi naogopa usipate matatizo
Mara gafla nashangaa ðŸ˜²ðŸ˜²ðŸ˜³ðŸ˜³ðŸ˜¯

😜😜#everyone

JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
KUIPATA YOTE NI 1000 TU
NJO WHATSAPP 0755090082

Comments

Popular posts from this blog

Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Pili (2)

Leyla binti bikra -01

SEHEMU YA 06---10