SAFARI YA ZANZIBAR - Sehemu ya 14 na 15



Page Bahari ya simulizi

.mtanisamehe kulikuwa na tatizo la umeme ivo sikuweza kuandika ndefu Ila simulizi ipo kamili WhatsApp 0755090082 kwa 1000 TU

Tusonge mbele
Nje alikua kaka ana msubili hasani yupo mmh jamani kaka ameludi lini nilijiuliza maana sina taalifa za kuludi kwake

Tulisalimana pale kisha ao wakaondoka tuliludi ndani na shangazi

Shangazi sasa wacha nikuambie kuusu mwanao nilisimulia kila kitu kutokea mwanzo na sababu yani alishukulu huyo atali

Tumaini ina maana mwanangu ni lijali

Ndiyo shangazi asante sana sana sana Tumaini

Nilikaa kama wiki na shangazi alinimalizia pesa yangu na akanipa ya ziada nikiwa na jianda na safali ili Abdul akiludi asinikute alinipa matv na maflig yani nilikua na mzigo wa maana

Siku ya kuondoka alinisindikiza mpaka nikapanda boti nyie ndo zanzibar na iyaga ivoo na ludi bongo

Nilimpigia mama kumpa taalifa atafute keli ya bei lais aje kunipokea

Baada ya lisaa nilifika na nilimkuta mama na wifi wakinisubili ilipakiwa mizigo na makuli

Tukafika nyumban lakini apa kua kule nilipo pazoea ilikua ni eneo tofaut

Kalibu makazi mapya

Mama mumeama lini
Acha maswali kama unaondoka sasaivi ebu tulia ndo kwanza umefika ebu kaoge kwanza upate chakula
Nilikabiziwa chumba changu
Nilijiandaa na baada muda nikatoka ili nipate chakula na pia nilimsi sana mama Tuma

Nambie mwanangu kazi ilienda poa

Ndiyo mama nitaku simulia baadae

Vipi mwanangu kazi ilienda poa ndiyo mama Nitakusimlia baadae ila kwa sasa wacha nile mzazi wangu

Nilikula pale baada ya muda ndo nikapata nafas ya kumwambia mama kila kitu

Sawa mwanangu ila inatakiwa uwepushe lawama

Kivp sasa mzazi wangu

Vunja au weka pembeni kwa muda iyo laini maana lazima atakutafuta

Nililikubali wazo la mama nikaiweka pembeni ile lain ili jioni baba akiludi nimuombe anisajilie lain mpya

Jioni baba aliludi nilimuomba akakubali nilibadili namba

Baba naitaji uache kazi sasa

Mwanangu kwanini
kuna kias kama milion kumi apa baba
naomba ufungue duka baba angu upumzike sasa
Nilimkabidhi baba ile pesa na baba alishukulu kwa kupata japo watoto wawili kati ya wanne ambao wana jali kuusu wao na apo ndo nikajua kua iinyumba itakua amenunu kaka hasani kwajili ya wazaz wetu

Baba ina maana iinyumba

Ndiyo ivo ivo unavo waza kaka yako ametununulia apa

Niliisi fulaha ya ajabu moyoni maana ilikua ni ndoto yangu kuwatoa wazazi katika maisha ya kupanga

Zilipita kama wiki mbili iv

Tuma eeeh sim ii kaka yako anataka kuongea na wewe
Alikua ni wifi nilipokea sim

Alooh eeh vipo dogo poa tu kaka nambie mbona kama unahof kuna nini kaka

Yani dogo acha tu apa ndo tumeludi jana na Abdul ana mchachafya mama yake atali yani amekua mbogo ana kutaka wewe yani anachofikilia uwenda mama yake amekufukuza kazi na ni bola ulivo zima sim
Dogo

Kaka unazani ilijambo alitokua baya kwa baadae maana tulifanya bila ya kufikilia mbele unajua mi naogopa sana

Eeebu tulia kwanza maan ata mimi naogopa akijua wewe ni mdogo wangu nitakua nimeisha maana kila wakati ana naangalia picha zako

Saw kaka wacha tumuachie mungu tu na asante kwa nyumba kaka

We mjinga kweli ebu uwolewe nyumba ni kwajili ya wazazi

Aya bhn nitaolewa mke wapili na shemeji yako mangi

Aaah we dogo bado upo tu na uyo mbaba

Kumbe jee niende wapi mie

Bas tuliongea mno baada ya muda nililudisha sim

Kesho itabidi nilud kaka yako kasema
Sawa wifi aina shida nitakusindikiza

UPANDE WA ABDUL

Mama nataka unambie yupo wapi Tuma

Mwanangu tuma Aliacha kazi pekeake niamini

Sasa sitaludi apa nyumban mpaka pale nitakapo mpata Tuma

Usifanye ivo Mwanangu unajua sina mwingine zaidi yako

Kama auna mwingine na mimi sina mwingine zaidi yake
Namuitaji awe apa

Ina maana unampenda Tumaini mwanangu

Ilo ni jibu mama

Mungu wangu nitafanya nini sasa

Una maana gani kusema ivyo mama

IIsiyo sawa kabisa mimi kukuambia ili swala lakini

Lakini nini mama si useme

Lakini Tumaini alikua apa kwa kazi maalum na kazi yenyewe ni wewe nilimtumia ili kufaham kama wewe ni lijali mwanangu au au ðŸ˜­ðŸ˜­

Haaa mama ina maana Tuma alikua ana niigizia muda wote apana siyo kweli mama niliona upendo machoni mwake
Nitamtafuta ili anisibitishie mwenyew kama kweli alinifanya mimi kama biashala na yale yote tulio yafanya ni moja wapo ya kazi yake

Wakati nawaza hayo gafla nashangaa😳😳😳😲

😜😜#everyone

JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
KUIPATA YOTE NI 1000 TU
NJO WHATSAPP 0755090082

Comments

Popular posts from this blog

Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Pili (2)

Leyla binti bikra -01

SEHEMU YA 06---10