SAFARI YA ZANZIBAR - Sehemu ya 16

 




Page Bahari ya simulizi

Tusonge mbele......
Nani alimleta apa Tuma mama nakuuliza
Ustake nikuchukie

Lakini mwanangu

Mama nani alie mleta Tuma apa nakuuliza kwa mala ya mwisho

Alikua ni hasani

Hasani uyu mfanyakazi wangu

Ndyo

Alitoa sim na kumpgia kaka hasani

Alooh eeeh boss
Hasani niambie ulipo nataka kukuona mda uu

Boss niko nyumban

Saw nitakua apo baada ya dakika kazaa

Alitoka bila ya kumuaga mama yake

Mmmh vipi mume mbona una wasi wasi

Boss Abdul anakuja tena anaonekana ayupo sawa naofia madam uwenda atakua amenitaja sijui itakuwa je

Baada ya muda Abdul alifika nyumban kwa kaka

Kalibu boss

Nataka kujua ulimpatia wapi yule bint Tuma

Boss wanini kwani maana waliondoka mabint wengi kwanini Tumaini awe na umuimu ivyo

Siyo jukumu lako kujua mimi nataka nimpate nina maswali kazaa kwajili yake

Mpigie sim

Apatikani alafu ngoja ina maana na wewe ulikua unajua kazi ya yule bint eeeh na kuuliza hasani

Ndyo boss najua ila Nisamehe boss

Haah yani mtu ninae kuamini tena nakuchukulia kama lafiki unaweza kunificha jambo zito kama ili yaan ata siamini kama watu wangu wakalibu ndo wamefanya leo napata maumivu kama aya

Nisamehe boss nisinge weza kuipinga kauli ya madam
Naataivo ilikua ni kwajili yako maana Tunaitaji kukuona na fulaha ilibidi tu kutumia mbinu chafu ili tufanikiwe

Daah mumefanikiwa kuniumiza na kuanzia leo siitaji kukuona mbele yangu auna kazi

Boss apana usifanye ivo boss

Kama unaitaji kazi yako mlete Tuma kwangu

Alafu uyo akaondoka

Mume wangu unaitajika kufanya jambo

Kwaupande wangu nipo na baba maana tulisha fungua duka la jumla na leja ile milioni kumi yote niiliiwekeza katika fulaha ya wazazi kwaiyo tukawa tuna shinda dukan

Sim yangu ili kua inaita akuwa mwingine ni kaka hassan

Eeh kaka nambie

Tumaini imekua mbaya mdogo wangu

Kivip tena

Yani uyu mtu ni kichaa tena ata sijui umempa nini amekua mbogo anachotaka ni kukuona tu naapa ninavoongea ametoka apa sasaivi na amesha nifukuza kazi mpaka pale nitakapo kupata na kukupeleka mbele yake

Mungu wangu sikujua kama itakua mbaya na mna ii sasa itakuwa je kaka

Ata mimi sijui dogo ebu subili nitafute cha kufanya kwanza nita kupigia

Eeeh mungu nisaidie tu maana atasijui atakua ana asila kiasi gani uko aliko

Nilijawa na hofu maana akinikamata sijui ata nitafanya nini mtu mwenyewe kichwa kibovu yule

Niliamua kupotezea tu maana nimefanya kilakitu kwajili ya pesa
Nikaacha maisha ya endelea tu

Mmh mama atasijisikii kuamka mapema leo we nenda tu nitakuja baadae
Wee niwiki sasa umekuwa mvivu mvivu kweli au una mimba wewe

Mama mimba tena nimeipata wapi

Mjing kweli wewe mtoto ina maana wewe ni bikla eeh

Amana mama bana sina mimba ni uchofu tuwa kazi

Kazi gani inamchosha kijana kupita wazee ebu subili apo nakuja

Aliludi na kipimo aya kapime kwanza tujue

Mama bana

Eeh na wewe uwache ubishi inuka alaka

Niliingia choon nikapima sikuamini mijicho yangu🙄🙄 imooooooh
Nilitoka nikiwa mpole

Vipi ebu nipe icho kipimo

Mama alikichuka na kukitazama
Nilijua tuu kikowapi sasa iini kubwa ii itakua umeludi nayo ii ina maana ulitembea nae bila ya kinga

Unaongelea nini mama

Alinivuta sikio
Ebu ludisha ufaham wako mjinga wewe
Kazi ime zaa kazi sasa iini kubwa ina mwezi na kitu ii mtoto mjinga wewe yani uliisahau ata kondom

😜😜#everyone

JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
LEO NDO LEO NAMWAGA OFAAA
KUIPATA YOTE NI 800 TU
NJO WHATSAPP 0755090082
UKIFIKA SEMA NATAKA OFAAAA

Comments

Popular posts from this blog

Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Pili (2)

Leyla binti bikra -01

SEHEMU YA 06---10