SAFARI YA ZANZIBAR - Sehemu ya 18

 






Page Bahari ya simulizi
WhatsApp 0755090082

Tusonge mbele......
Mama ebu twende walitoka moja kwa moja mpaka kwa kaka hasani

Ooh kalibu Jamani asante

Kuna nini tena mbona jioni

Hasani Naomba unambie ukweli Tuma yupo wapi naa akika unajua maana ni dada yako

Kaka alishangaa uyo uuuunasemaa

Usishae dunia ni ndogo sana ii uwezi kuficha kitu kwa muda mlefu

Nisamehe tu boss ni kweli ni mdogo wangu lakini siwezi kukuambia aliko maana ni makosa yangu kumfanya aje kufanya kazi kama kuna azabu yoyote bas inanistaili mama na siyo yeye

Sina chochote cha kujadili na wewe hasani iini baina yangu na Tuma nina maswali tu nataka anijibu kama uto jali Naomba twende pamoja alipo kama unaisi labda naweza kumzulu

Sawa tuta enda kesho

Walikubalia kesho yake waje pamoja lakini mimi nisipewe taalifa maana naweza kukimbia Abdul alimpigia nick alete pesa na nguo kwa jili yake na mama yake
Maana ake walilala pale ili asubuh waanze safali

Mama mi sitaki kula nimesema

Mjing makosa ni yako na siyo ya uyo mjukuu wa zalula yani uyo akizaliwa tutamwata zalula😅

Mama mi staki ujue

Eeh ndo utataka sasa maana kazini kwako kumeleta kazi

Aya bwana mama leo umeniweza kweli ngoja nikalale mie

Niliingia kulala apo kichwa cha moto naweza kama shangazi ata kuwa kamuona au

Yani Abdul bana kichwa supu kweli sasa ndo nini kumsumbua mama yake kiasi hicho yani ukijijua kama unapendwa nyie

Nililala asubuh mapema ni kaamka na kichefu chefu full🤮 yani mimba bana ikijulikana tu ndo inaanza visanga vyake

Tumaini mwanangu vipi tena ebu kaapa nikupe chai mama alikua mzoefu ivo alinipa chai ya langi Ambayo amekamlia ndim apo ndo kichefu chefu kika kata

Oodiii odii wenyew
Mmmh mama uyo mbona kama kaka hasani

Ndiyo ni sauti yake kabisa

Ilibdi mamaaende kuangalia
Heeh baba kalibu kalibu sana

Tumaini Tumaini ni kaka kweli nilivosikia ni kaka nilitoka mbio nikaenda kumkumbatia kaka kalibu wakati naongea na kaka kutazama pembeni shangazi sija kaa sawa Abdul nilitaka kuzimia kwa uwoga

kaka akanituliza kwanza

Tulia kwanza nitakuelewesha vizuli

Mama aliwakalibisha ndani apo ajui kama uyo ndo Abdul na mama yake

Kalibuni sana Asante sana
Natumaini
Wewe ndo mama wa Tumaini
Ndiyo mama
Wewe je

Nilidakia alaka alaka alaka

Mama naomba tuongee kidogo

Sawa

Wakati tuna toka tu Abdul akaongea

Siyo vizuli kuteta lakini Tumaini si uwongee tu mbele yetu

Mama apo ndo akaisi Tumaini kuna nini mbona sielew

Mama uyo ni ni Abdul na mama yake mama
Yani naongea tu lakini apo uhalo usha jitengeza na kwambia

Oooh ongela kwa utambulisho mzuli vip uwezi kumwambia kua mimi ndo kazi yako ulio kua unaifanya uko zanzibar

Lakini

Lakini nini Tuma

Naomba tuongee wenyew pemben ilibidi nitoke pemben na Abdul akanifata niliingia chumbani kwangu

Aya unataka kunambia nini tuma eeh yani nilikuamini wewe sitaki ata kuamini kua wewe ulikua unanidanya kilakitu ulicho kua unafanya tuma waiiii

Alikua ana lalamika mtoto wakiume atali

Nisamehe tu
Abdul sina chakusema zaidi ya Nisamehe yote yalikua ni kwajili ya pesa

Yani Tuma mpaka kufanya mapenzi na mimi ilikua ni kwajili ya pesa
Nakuuliza ilikua ni kwajili ya pesa pia

Ndiyo

Ina maana unipendi tuma

Ndiyo

Kweli unipendi wakati kila dakika ulikua unaliimba neno nakupenda Abdul wewe ni kipenzi changu ðŸ˜­ kumbe ndo ulikua kazini mama asante sana
Jamani uwiiiiii😳😳😳😲😯😯

😜😜#everyone

JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
LEO NDO LEO NAMWAGA OFAAA
KUIPATA YOTE NI 700 TU
NJO WHATSAPP 0755090082
UKIFIKA SEMA NATAKA OFAAAA

Comments

Popular posts from this blog

Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Pili (2)

Leyla binti bikra -01

SEHEMU YA 06---10