SAFARI YA ZANZIBAR Sehemu ya 19

Simulizi master
0


Page Bahari ya simulizi
WhatsApp 0755090082

Tusonge mbele......
Alitoka kinyonge mwenyew mama naomba tuondoke sina la zaid sasa nimeamini maana Tuma kasibitisha kua ilikua ni kazi tu na akuna zaidi katika yetu

Nilitoka na mimi shangazi alinikumbatia tu naondoka sasa Tumaini tuta onana

Sawa shangaz

Ebu subilini kwanza

Mama usifanye ivo ebu tulia kwanza

Aliwataka wasubili

Tumaini ume mwambia

Mama aapana usifanye ivo

Nini icho kaka hasani aliuliza kwa kufoka

Ana mimba uyu dada ako yani iyo kazi apo mbele imeleta kazi ya kunyonyesha mizie nane kutka sasa

Eeeh kila mmoja aliitaamaki kwa staili yake

Kwem dogo

Shangazi alisogea nilipo pia kweli Tumaini una ujauzito wa mtoto wangu nambie

Niliitika kwa kichwa tuu lakini mimi siyo zaifu naweza kulea peke yangu
Tu siitaji kuwasumbua apana kwakua uyo ni mjukuu wangu tena ni wa kwanza ina bidi uwende na mimi Tumaini naitaji kukuudumia wewe na kijuukuu changu

Apo Abdul akutia neno kafula asila naisi ata ayo maswala ya mimba akusikia chezea maumivu ya kuachwa wewe

Apa yeye ana chakukataa itabidi mumsubilie baba yake jioni yeye ndo atakae toa majibu sahihi

Sawa nitasubilia

Walikaa mpaka jioni Abdul ajala wala kunywa yani alikua kimya tu alikaa nje ya nyumba uko

Tumaini mdogo wangu Nisamehe mimi maana leo kwajili yangu unapata matatizo yote aya

Amna shida kaka kwa sasa familia inashi poa kwajili ya dili ili na ichi kilicho tumboni ni matokeo ya kazi tu

Yani upo kwenye wakati mbaya lakini uwachi kutabasam wakati wotee nakupenda sana dogo uu mtiani nao utapita

Kabsa kaka lakini kwanini uliwaleta apa

Kosa la kwanza nililifanya ni kumpa madam namba yako ndo yote yakajili sikua na jins ilibidi tu niwalete maana walisha jua kua sisi ni ndugu

Sawa kaka ya lisha mwagika

Baba aliludi wakaongea kiutu uzima maan mie ata sikutaka kusikia nilibaki chumbani

Tumaini mwanangu itabidi uwende maana mama Abdul ameomba sana mwisho baba yako kakubali

Lakin mama nitaiweza je kukaa nyumba moja na Abdul wakati ana asila na mimi

Jitaid mwanangu kwajili ya shangazi yako wa mchongo ana onesha anaitaji zaidi uyo mjukuu aya lala kesho asubui safali ya zanzibar

Nilijalibu kulala lakini wapi usingizi auji jamani kama mwanzo tu ili kua tabu sasaivi nitaweza je kuishi nae wakati ana asila na mimi kuliko walionipa kazi😂munishauli jamani natamani nitoloke

Jamani uwiiiiii😳😳😳😲😯😯

😜😜#everyone

JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
LEO NDO LEO NAMWAGA OFAAA
KUIPATA YOTE NI 500 TU
NJO WHATSAPP 0755090082
UKIFIKA SEMA NATAKA OFAAAA YA KUMALIZIA SAFARI YA ZANZIBAR MPK MWISHO
Tags

Post a Comment

0 Comments
Post a Comment (0)

Made with Love by

Pixy Newspaper 11 Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are availabl…
To Top