SAFARI YA ZANZIBAR Sehemu ya 20



Page Bahari ya simulizi
WhatsApp 0755090082

Tusonge mbele......
Kuna wakati niliwaza au nitoloke lakin ninavo
Mjua baba yangu ata nipalazi ilibidi nikeshe tu mana usingzi uligoma kabisa nyie mawazo mabaya

Asubui niliandaliwa mizigo yangu na mama mwanangu ebu kaanze upya nakuomba ukiludi tena apa ni kwajili ya ndoa tu

Hee mama ndoa gan iyoo

Iyo iyo kwani uwoni kua Abdul ana kupenda

Mmmh mama kunipenda iyo vepe

Mjinga kweli wewe yani mama yangu ili neno mjina naisi ndo anaona kama ana niita Tumaini awezi kunambia kitu bila ya kuniita Mjinga

Yani wewe nikama nazi macho matatu na bado uwone

Aaaah sijali bana kama ananipenda au laaah atajua mwenyew

Aya sawa twende mda ndo uu

Tulianz safali mimi Abdul mama Abdul na kaka hasani

Ilichukua masaa atimae tulifika daah nimeludi tena kwenye mjengo jamani ya mungu mengi

Kalibu Tumaini jisie hulu kabsa

Abdul ata ham ya kuongea na mimi wala mama yake ana alikua kama bubu

Shangaz aliingiza mabegi yangu chumbani kwa Abdul

Heee shangazi ina maana nita kaa umu na Abdul

Ndiyo mbona kama una hofu naogopa shangazi maana ana asila na mimi

Amna lolote amekua zaifu kwako maana kama angekuwa na asila kama zamani angesha ondoka lakini yupo sebleni amekaa ina maanisha amechukia tu lakini ana hasila na wewe

Mmmh shangazi

Ebu tulia Tumaini unajua nakupenda bule maana ata sijui nini ulifanyia uyu kimbe wangu una jua Abdul anakupenda wew sana awezi kukufanya kitu

Shangazi Abdul ananipenda

Ndiyo we tulia tu utaelewa kilakitu mdogo mdogo

Shangazi alitoka na kuniacha nilianza kuangaza mach chumba kizima nilifanya usafi na kubadili kila kitu nikasogeza nguo za Abdul na kupanga zangu pia

Baada ya masaa ndo Abdul aliingia ndani

Alinitazama na kujitupa kitandani
Apo nilitegemea ange nifukuza chumbani kwake lakini aikua ivo

Abdul inabidi ukaoge kwanza

Kwani vip apa chumbani kwako mpaka unipagie cha kufanya eeh

Lakini

Lakini nini muongo mkubwa wewe uliiniingiza mimi katika mtego wako wa mapenzi na mwishe ni menasa una sema unipendi ivi unajua kama wewe ni mkatili sana Tumaini sikutegemea kabsa kama na wewe
Ungeutumia uzaifu wa mtu kupata pesa

Nimesha omba msamaha lakini

Unazani nilaisi ivyooee

Ivi maneno yote ayo ni kwajili ya kukuambia ukaoge tuu

Aliinuka na kuja nilipo unazani ni kwasababu iyo eeh

Kumbe nini mana nimechoka kuyasikia

Kwasababu nakupenda eeeh nakupenda sana na sijui kama kweli nina asila na wewe au vipi

Nilichoka heeeh kweli mie ni mjinga kama mama yangu anavo semaga yani nilikua natania tania lakini yeye kanipenda kweli

Kwanini upo kimya tuma unafulahia maumivu yangu sasa

Amna ebu wacha ii siku ipite maana naona ume nichanganya

Nilitoka na kumuacha chumbani yani kwa zile stres nikajikuta nimetoka mpaka gadeni

Aah mimi nae sijui nawaza nini sinilikua nataka kwenda jikoni
Nililudi jikoni nikamkuta jamani sasaivi itabidi tumuite mama mkwe bas nilikuta mama mkwe wang ana kalangiza lost la nyama nichakula nilichokua nakipenda mwanzoni lakini leo alufu yake ilinifanya nitapike
Nilitapika mpaka nikaishiwa nguvu

Abdul Abdul
Nam mam

Efanya alaka njoo
Kuna nini we njoo kwanza
Alikuja na kunikuta nimechoka na bado natapika

Jamani kilichotokea nyie uwiiiiii😳😳😳😲😯😯

😜😜#everyone

JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
LEO NDO LEO NAMWAGA OFAAA
KUIPATA YOTE NI 500 TU
NJO WHATSAPP 0755090082
UKIFIKA SEMA NATAKA OFAAAA YA KUMALIZIA SAFARI YA ZANZIBAR MPK MWISHO

Comments

Popular posts from this blog

Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Pili (2)

Leyla binti bikra -01

Chombezo: mwajamu utamu sehemu ya 15 (mwishoo)