SAFARI YA ZANZIBAR Sehemu ya 21
WhatsApp 0755090082
Tusonge mbele......
Tuma nini tena mama imekua je tena
Ata mimi sijui ila naisi ni alufu ya nyama
Alipigia sim kaka
Alooh naomba umpitie doctor mipango uje nae sasaivi Tuma ayupo sawa
Alooh doctor jiandae atakufata hasani apo sasaivi
Subili kidogo msaada unakuja
Jamani nilitapika mpaka nyongo mama wawatu aliondo kila kitu akasafisha na kupuliza eya fleshi ndo apo nikatulia yani uyu mtoto ana kisilani cha babaake
Baada ya muda kaka na doctor walifika
Vipi dogo uko poa
Niko sawa kaka
Doctor alinicheki
Aaah uyu yupo sawa tu niali ya kawaida kwa mjamzito ikitokea kama kitu akipendi mpeni tu uji na kama maji anapenda bas atumie na maji mengi atapata nguvu aina aja ya dawa
Asante doctor
Usijali mr Abdul
Vip uko poa sasa
Ndiyo
Tumaini uko poa mwanangu
Ndiyo mama
Bas wacha nikuandalie uji
Sawa mama
Dogo kama uko poa mi naenda bas au siyo
Poa broo
Jamani mi naenda
Sikia hasani naomba unisamehe kwa Yote yalio pita
Amna shida ndugu nimesha sahau ayo
Asante kama umesahau na kusamehe na omba uludi kazini lasimi
Poa tutaonana kesho bas
Abdul alikuja kunibeba juju nakwambia mpaka chumbani kupendwa ndiyo uku sasa
Pumzika apo nitaenda kuchukua uji nikuletee
Lakini Asante kwakunijali
Usijali mimi sina moyo kama wako
Hee ndo unaniimba tena kwani si ya mepita ivi bila ya kufanya iyo kazi unge nijulia wapi na wewe ebu samehe bas kaah
Sawa iyo ndo sababu ya sisi kujuana ila ungenambia labda
Mmmh kwa ninavo kujua ungejua na kilakitu kingeisha apo apo ni bola ata ukujua
Aya bana mjanja wewe
Ilipita miezi kazaa apo Abdul akawa jentro men wa ukweli na kwambia japo ndoivo ana asila na mimi ila ananipenda bwana maana ananidekeza mpaka na mimi naisi nimeanza kumpenda penda
Sikuiyo tulikua na mama mkwe wangu ananikanda kanda miguu maana imekua ina vimba mala kwa mala
Sim yake iliita akupokea ilikua ni namba isiyo seviwa
Mama mbona upokei sim
Unajua ninani uyu ni baba Abdul amesha sikia kua Abdul ana mwanamke tena aitoshi ni mjamzito bas apo ndo anapiga sim wiki yote ii wala sipokei
Wakat tunaongea mlango uligogwa
Nitaka kwenda lakini mama mkwe alienda yeye
Alifungua mlango
Heee wewe
Ndiyo naomba tuongee kidogo naidi sitachukua muda wako mwingi
Aliingia na mie nikataka kuwapisha
Apana bint kaa tu
Alichukua sim na kupiga
Aloo ee ingiene
Dakika ukoo uwo ilikua ni nusu ya familia ya yule mbaba
Mpaka mama mkwe aka shangaa
Mbona wote mupo apa he!! "





JE NINI KITAENDELEAAA
SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK. MWISHO KABISA
LEO NDO LEO NAMWAGA OFAAA
KUIPATA YOTE NI 500 TU
NJO WHATSAPP 0755090082
UKIFIKA SEMA NATAKA OFAAAA YA KUMALIZIA SAFARI YA ZANZIBAR MPK MWISHO
Comments
Post a Comment