ENDLESS LOVE - 2
Simulizi
: Endless Love
Sehemu Ya Pili
(2)
Jumapili
ilipofika,Ally alijiandaa na kumpigia simu Allan kuwa anaenda kumpitia nyumbani
kwao kinondoni. Akachukua gari la baba yake na kwenda sheli kulijaza mafuta
kisha akaanza
safari ya
kuelekea Tabata kumpitia mpenzi wake Recho ambaye alikua kashafika maeneo ya
Bima akimsubiri mume wake..Ally alifika na kumchukua kisha wakaanza safari ya
kuelekea Kinondoni kumpitia Allan..Walifika kwao na kumkuta Allan akiwasubiri
kisha wote watatu wakaanza safari ya kuelekea Watern ambapo walipanga
kukutana..
Walitumia
barabara ya Ally Hassan Mwinyi kisha wakaingia Bagamoyo road na baada mda
mchache wakafika kwani siku hiyo ya Jumapili hapakua na foleni..Wakati wote
wapo kwenye gari Recho alikua anachat na rafiki zake Najma na Tayana. Tayana
alimtumia message Recho na kumwambia kuwa na yeye atakuja huko watern kwani
safari yake aliyopanga na boyfriend wake
ilikua imekufa
ila akamwomba asimwambie Ally wala Allan kwani alitaka kuwa'suprise. Najma nae
alimwambia kuwa yupo kituoni Mwenge akisubiri daladala za kwenda Kunduchi..
Walipaki gari
kwenye maegesho ya pale beach kisha wakashuka na kwenda mpaka ndani..Walikaa
sehemu moja tulivu kisha wakaagiza vinywaji. Waliendelea kufurahia mandhari
nzuri ya maeneo yale huku wakipata vinywaji laini.Ally na Recho walikua
wanabadilishana mate mara kwa
mara kuonyesha
mapenzi mazito waliyokua nayo. Allan alibaki peke yake akichezea simu..
Wakati
wanaendelea pale Recho alisikia message ikiingia kwenye simu yake. Kucheki
alikua Najma ambaye alisema alikua yupo na Tayana na alikua hajui wapi walipo.
Recho
akamuelekeza kisha akaendelea kuongea na mpenzi wake. Baada ya muda mfupi Najma
na Tayana walifika huku wakiwa wamechangamka sana..Allan hakuamini kumuona
Tayana maeneo hayo kwani alishajua kuwa hatokuja..Alibaki akiwa anatazamana na
Ally huku
wakitabasamu.... J
Allan alikua
ni mtu mwenye furaha sana kwani mwanamke anayempenda ndio alikua anawasili bila
ya yeye kutegemea. Tayana na Najma walikaa kwenye viti baada ya kusalimiana na
wenzao kisha na wao wakaagiza vinywaji...Waliendelea kunywa na kupiga story
hadi ilipofika
saa 9 na nusu
alasiri ndipo Ally alipowaomba wote wajiandae na kwenda kuogelea..Baada ya hapo
Recho,Najma na Tayana walienda kubadilisha nguo kisha wakarudi wakiwa na nguo
za kuogelea huku watu wote wakiwatazama kutokana na walivyokua wanavutia. Ally
na Allan nao walikwisha badilisha nguo na kubaki na nguo maalum kwa ajili ya
kuoga..Allan
alikua
akimtazama sana Tayana kwa jinsi
alivyokua
mzuri na ile nguo ya kuogelea
ilivyouchora
mwili wake na kuyaacha mapaja yake yakiwa wazi..Waliingia kwenye bwawa la
kuogelea na kuanza kuogelea huku wakicheza michezo mbalimbali ndani ya
maji..Hakika
waliifurahia
sana hiyo siku huku wakipiga picha nyingi sana za ukumbusho kwenye simu zao.
Baada ya kuoga
kwa muda mrefu,Tayana alitoka kwenye maji na kukaa pembeni sehemu yenye jua
kwani alikua anahisi baridi..Allan alimfata mpaka pale alipokaa kisha akaanza
kuongea nae. Kwanza waliongea mambo mengi sana ya maisha hususani maisha ya
chuoni kwao jinsi
yalivyo huku
Allan akiutumia muda huo
kuonyesha
jinsi alivyokua mchangamfu na
mkarimu mbele
ya Tayana..Baada ya
mazungumzo
marefu, Allan alijikuta akiwa kimya kwani mwanamke anayempenda alikua tayari
yupo na mwanaume mwengine hivyo alishindwa hata aanzie wapi kumtongoza..Alikaa
akafikiria sana kisha akavunja ukimya.
Unajua Tayana
kuna vitu vinanitatiza sana lakini hata sijui nianzie wapi kukwambia.
Mmhh! vitu
gani tena hivyo wangu?
Allan alibaki
akimtazama msichana huyu wa kipare kwa jinsi alivyokua mrembo na mpole kisha
akamuomba ampe mkono wake wa kushoto..Tayana hakukataa, aliutoa mkono wake na
kumkabidhi Allan..Aliupokea ule mkono kwa uangalifu kisha akauchukua mkono wake
wa
kushoto
akaulaza ule mkono wa Tayana kisha mkono wake wa kulia akiwa ameuweka juu ya
mikono yote ile miwili..
Samahani sana
Tayana kama haya
nitakayokwambia
nitakua nakuudhi au
kukukwaza kwa
namna moja ama nyengine, ila kiukweli nimeshindwa kujizuia na inabidi
nikwambie.
Mmhh! kitu
gani nakusikiliza.
Kusema ukweli
tangu siku ya kwanza
nilipokuona
moyo wangu ulihisi kitu kimoja kizito sana na tofauti ambacho sikuwahi kukihisi
kabla katika maisha yangu..Nilitamani sana kukwambia hata
siku ile ile
ila niliona kuwa muda bado haujafika na ukizingatia pia tulikua hatujajuana
vizuri..
Tayana alikua
ameshaanza kujua kitu
anachotaka
kuambiwa kwani wanaume wengi waliowahi kumtongoza walipita njia zile zile hivyo
hakuona kitu kigeni..Alibaki kimya akiwa makini huku akimtazama Allan usoni
akisubiri kuambiwa neno lenyewe..
Kusema ukweli
Tayana kutoka ndani ya moyo wangu ninakupenda sana. Ninakupenda zaidi ya
unavyofikiria. Sijawahi kukutamani hata siku moja ila ni mapenzi tu ya dhati
ndio yaliyojaa ndani ya moyo wangu.. I love you(Nakupenda)
Tayana alibaki
kimya asijue la kufanya kwani hakutaka kumpa jibu lolote baya Allan ambalo
litauumiza moyo wake na pia hakupenda Ally akasirike kwa kitendo cha kumkataa rafiki
yake.
Sawa
nimekuelewa vizuri Allan ila kuna tatizo moja tu. Mimi tayari nina boyfriend na
ananipenda kwa dhati.Sijawahi kufikiria kumsaliti hata siku moja na hata yeye
sidhani kama anafikiria hivyo. Tunapendana sana na tumetoka
mbali hivyo
siwezi kuugawa moyo wangu nikawa napenda watu wawili. Nikishapenda huwa
nimependa Allan please (tafadhali) naomba usinifikirie vibaya"
Maneno hayo
yalikua kama mkuki moyoni mwa Allan hivyo alibaki kimya akiwa anayasikilizia
maumivu makali anayoyasikia. Hakuwa na cha kuongea zaidi na alijikuta mdomo
umebaki wazi
huku
akimtazama Tayana ambaye alikua
anaangalia
chini.. Tayana nae alibaki kimya kidogo kisha taratibu akautoa mkono wako
kwenye mikono ya Allan
na kumuomba
kuondoka kwani muda huo
alikua
anahitaji kukaa peke yake..
Allan alibaki
kama bubu huku kila kinachotokea alikua akikiona kama ni ndoto. Hakuusikia hata
mkono wa Tayana wakati unatoka kwenye viganja vyake na ghafla alimuona Tayana
akiwa anaondoka pale walipokaa..
"Sorry
Tayana,ina maana kuwa hunipendi?
Sio kama
sikupendi Allan, hapana ila nakupenda kama rafiki tu. Kuhusu mapenzi inabidi
ujifunze kupenda tena Allan maana me tayari nishawahiwa.. Samahani sana kama
nitakua nakukatili ila sina jinsi..
Tayana alitoa
majibu hayo ili Allan asiumie sana na hakua tayari kuwa na wanaume wawili kwa
wakati mmoja..Aliondoka pale na kwenda kukaa peke yake akitafakari maneno
aliyoambiwa na
Allan.
"Ila
inaniuma sana kumkatili mtu
anayenipenda.
Lakini naamini hata mungu
atanisamehe
kwani tayari nina boyfriend
wangu..Nampenda
sana Erick na nilimuahidi kuwa sitomsaliti..Acha nitimize kiapo changu"
Aliwaza Tayana
huku akichezea simu yake kupoteza mawazo..
Allan alibaki
palepale kimya kwa muda kama wa nusu saa mpaka aliposhtuliwa na rafiki yake
aliyemmwagia maji ya mgongoni..
Oya vipi wewe,
mbona kinyonge tena kama tupo msibani? Amka bwana tukafanye yetu"
Daah! yani
sasa hivi mahala hapa napaona pazito sana. Nimeongea na Tayana lakini
hajanielewa,
ameniambia ana boyfriend wake na anampenda sana. Sasa tunafanyaje jembe langu?
Mmhhh! kesi
nzito hiyo, inabidi tupate muda mzuri ndio tutapata jibu sahihi, amka bwana
usiwe mnyonge sana. Kama imeandikwa atakua wako basi atakua wako tu wala usiwe
na hofu na isitoshe huu ni mwanzo tu so huwezi kujua nini
kitatokea hapo
mbele.."
Allan
alifarijika sana kwa maneno aliyoambiwa na rafiki yake na kujikuta
akitabasamu..
"Poa
nimekuelewa rafiki yangu na nashukuru sana kwa maneno yako yenye kunipa
moyo..Ila kuoga mimi basi tena maana nishaanza kuhisi baridi mwili mzima''
Poa basi acha
me nikacheze na shemeji yako, au vipi?
Poa mtanikuta
hapa hapa..
Allan alijibu
huku akitoa simu yake na kuingia mitandaoni ili apoteze mawazo...
Walikula sana
bata siku hiyo na jioni ilipofika wote wakajiandaa na kurudi nyumbani...
***** *****
******
Mwezi mmoja
baadae urafiki wa Ally, Allan na Nusrat, yule msichana aliyeomba kuwa kwenye
kundi la kina Ally ulizidi kupamba moto hata kufikia hatua ya kubadilishana
namba za simu..Wakati mwengine akiwa nyumbani Ally alipigiwa simu na Nusrat
akiombwa msaada wa kufanyiwa baadhi ya maswali..Walijikuta wamezoeana sana na
muda mwingi chuoni wanakua pamoja.. Recho alikua yupo darasa wanalosoma
Procurement mwaka wa kwanza diploma kwani mwaka uliopita alikua anasomea ngazi
ya certificate..
Mapenzi ya
ally na Recho hayakua siri tena kwani muda mwengine walikua wanatembeleana hadi
madarasani kwao...
Allan nae
hakukata tamaa kumpata Tayana akiamini kuwa ipo siku atayabadilisha mawazo
yake..Waliendelea kuwasiliana mara kwa mara na hata muda mwengine Allan
alimpelekea zawadi. Tayana alifurahi sana kwa jinsi alivyokua
anamjali na
akawa anamshukuru kwa zawadi zake. Maisha ya pale chuoni yaliendelea kuwa
mazuri kwa upande wa Ally huku yeye na Allan wakifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuyabadilisha
maendeleo ya Nusrat kiasi kwamba mara nyingi kwenye mitihani alikua anaingia
hata kumi
bora..
Siku moja Ally
na Allan wakati wakiwa
wanasoma pale
chuoni walimuona Nusrat akija huku akiwa amebeba bahasha kubwa mbili.Alivyofika
akawasalimia kisha akawakabidhi ile bahasha na kuwaambia ilikua ni kama mwanzo
wa shukrani kwa kumsaidia kwenye masomo yake. Walimshukuru sana kwa zawadi
kisha akamkabidhi kila mmoja bahasha yake. Baada ya kumaliza aliwaaga na
kuondoka.
Walikaa pale
mpaka jioni wakijisomea kisha walipomaliza waliondoka nyumbani.
Ally alipofika
alifanya kazi zake zote na kula chakula kisha akaingia chumbani kwake ili
akapumzike. Alipokuwa kitandani wakati anataka kulala akakumbuka kuwa kuna
zawadi alikua amepewa na Nusrat na bado
hajaifungua.
Akalichukua begi lake na kuitoa ile bahasha. Aliichana ili aione zawadi yake
ila alichokikuta kilimfanya apigwe na butwaa.......
Hakuyaamini
macho yake pale alipoziona picha mbili za Nusrat akiwa kwenye mapozi
tofauti..Pia kulikua na kadi iliyoandikwa maneno mazuri ya urafiki..Akaifungua
na kadi nyengine ambayo ilikua imebanwa. Alizidi kushangaa kwani alikutana na
kiasi kikubwa kidogo cha pesa bila kujua thamani yake. Akazihesabu na kugundua
kuwa zilikua ni laki 2 taslimu..Alishangaa sana mtoto wa kike kama Nusrat
ambaye bado alikua mwanafunzi anawezaje kupata kiasi kama kile cha pesa na
kumpa tu kama Zawadi..Alijiuliza maswali mengi sana bila majibu..Pia alijiuliza
alikua na maana gani hadi akampa zile picha lakini hakuambulia hata jibu moja
hivyo akabaki njia panda na msongo wa mawazo. Alizichukua zile picha na kadi na
kuzitia kwenye droo kisha zile hela akazitia
kwenye wallet
yake..
Aliamua
kumpigia simu Nusrat ili amshukuru kwa zawadi zake..
Kweli Nusrat
akapokea simu na kuongea mambo mengi sana huku akimuahidi Ally kuwa kuna mambo
mengi mazuri bado yanakuja..Ally nae alimshukuru sana kwa zawadi zake..Kuna
muda alitaka kumuuliza kuhusu zile picha lakini
akajikuta
anashindwa na kuamua kukaa
kimya..Waliongea
sana hadi Ally alipoamua kumuaga Nusrat kisha wote wakalala..
***** *****
*****
Kesho yake
chuoni Ally alimuhadithia Allan kila kitu kuhusu Nusrat na zile zawadi
alizopewa jana yake..
"Mhh!
kuna kitu nishaanza kuhisi..Yule mtoto wa kipemba atakua anakupenda.
Haiwezekani mimi anipe laki moja halafu wewe akupe laki mbili tena na picha juu
pamoja na kadi..Nina wasiwasi sana na hili..Kama kweli unampenda Recho basi
kuwa nae makini sana..Anaonekana
ana mbinu zote
za kumteka mwanaume"..
Sikutegemea
kabisa kama ungeniambia maneno kama hayo Allan..Yani Nusrat anipende mimi
kweli? hahahaa!! hapana haiwezekani..Siku zote ananichukulia kama kaka na
amekua akiniheshimu sana ndio maana sina wasiwasi nae..Kama ni kadi mbona ni
vitu vya kawaida sana marafiki kutumiana!!
Tatizo sio
kutumiwa kadi ila tatizo lililonifanya mpaka nikahisi yote haya ni jinsi kadi
yenyewe na hizo picha zilivyotoka..Kwani si wote tumemsaidia mpaka anafanya
vizuri darasani?
Ndio.
Sasa hujiulizi
kwanini mimi kanipa laki
moja bila ya
picha wala kadi halafu wewe
amekupa laki
mbili pamoja na picha na kadi..Bila kuumiza kichwa yani, Nusrat ana kitu na
wewe..
Mhhh!!
ilimbidi Ally
agune na kubaki kimya
akitafakari
mambo yote yaliyotokea kwa muda kama wa dakika moja.
"Sasa
naanza kukuelewa rafiki yangu. Kuna mambo mengine yalikua yanatokea ila mimi
yote niliyaona kawaida tu..Kuna siku nilikua naongea nae kwenye simu alikaa
kimya kwa muda mrefu kidogo. Hakuweza kuongea chochote hadi akaamua kukata
simu.. Nilivyomtumia message na kumuuliza nini tatizo hadi
akate simu
akanijibu hata yeye haelewi ila
amejikuta tu
mdomo mzito na hawezi kuongea lolote..Basi inabidi niwe nae makini kwa sababu
nampenda sana Recho na sitaki nimsaliti hata mara moja..
Waliongea
mambo mengi sana kuhusu masomo yao, Nusrat pamoja na maisha yao kwa
ujumla..Ilipofika jioni wote wakarudi nyumbani..
***** *****
*****
Miezi ilizidi
kusogea huku mapenzi ya Ally na Recho yakizidi kushika kasi.. Waliendelea
kutembeleana nyumbani kwao mara kwa mara pale wanapopata nafasi huku wakiwa
hawajawahi kukutana tena kimwili tangu ile mara ya kwanza wakati Recho
anatolewa bikra..
Hatimaye mwaka
mmoja ukapita na wakaingia mwaka wao wa mwisho pale chuoni..Ally alizidi kupata
umaarufu kwani wiki moja baada ya kufungua chuo, principal wa chuo chao
aliandaa
tafrija kwa
ajili ya kumpongeza Ally kwani katika historia ya chuo hiko hakukuwahi kutokea
mwanafunzi aliyefaulu kwa alama za juu sana kama alizopata Ally..Walialikwa
wanafunzi mbalimbali kutoka chuo hiko wa kutoka campus nyengine. Ally alifurahi
sana na pia
baba yake mzee
Mohammed alimuahidi
kumnunulia
gari lake mwenyewe ili awe
analitumia kwa
safari zake za chuo na sehemu nyenginezo..Siku hiyo Ally alijuana na watu wengi
sana na kubadilishana nao namba za simu bila kujali ni mwanamke au
mwanaume..
Tafrija
ilipoisha Recho alimuita
mpenzi wake na
kummiminia mabusu kama mvua..Alimpongeza sana kwa matokeo aliyoyapata na kuzidi
kumpa moyo aendelee kufanya vizuri..Ally alimshukuru sana na wote
wakakumbatiana.
Ally!
Naam!!
Nakuonea wivu
sana mpenzi wangu.
Kwanini?
Kwa jinsi
wasichana wengi wanavyokufata na unaongea nao. Ni wasichana wengi sana
wanatamani kuwa na mtu kama
wewe hadi
naanza kupatwa na uoga..
Kuhusu hilo
wala usiwe na hofu mpenzi
wangu. Amini
kuwa mimi ni wako peke yako. Hao wengine watabaki kuwa marafiki tu wa kawaida.
Nakupenda wewe tu Recho na sio mtu mwengine.
Recho
alifarijika sana kusikia hivyo na
akamkumbatia
kwa nguvu mpenzi wake huku machozi yakimtiririka mashavuni mwake..
***** *****
*****
Nyumbani kwao
Ally alibadilisha mfumo mzima wa maisha yake.Alikua hapendi kabisa kukaa na
Sarah kwa kuogopa vituko vyake anavyomfanyia..Muda mwingi aliutumia akiwa
mwenyewe chumbani kwake..Sarah alijitahidi kufanya kila aina ya mitego lakini
Ally hakunasa ila aliendelea kujiapiza kuwa ni lazima siku moja Ally anase
kwenye mikono yake na kumpa tunda lake..
***** *****
*****
Chuoni kila
kona ilimjua Ally. Kila alipopita alikua na marafiki hivyo alijikuta akisimama
na kusalimiana nao..Watu wengi walimpenda Ally kutokana na ukarimu wake,
ucheshi pamoja na
maendeleo yake
katika masomo..Baadhi ya watu walikua wanamuita genius kutokana na uwezo wake
darasani..
Nusrat,
msichana mrembo wa
kipemba alishafanya
vitu vingi sana ili kumpata Ally lakini alishindwa kabisa. Kikwazo kikubwa
alichogundua ni kwamba Ally alikua na mahusiano na Recho ndio maana kwake
alikua mzito sana kuwa nae.. Alitamani afanye kitu chochote kibaya ili
awatenganisha lakini alijiona atakua mkosefu sana hata mbele ya Mungu kwani
alikua amepitia vizuri
mafundisho ya
madrassa..
"Sina
jinsi ila inabidi nifanye kitu kimoja cha mwisho..Inabidi nikutane na Ally ili
nimueleze kila kitu ilimradi nitoe dukuduku langu moyoni..Vyovyote atakavyonifikiria
sawa tu, ila ni bora niutue huu mzigo"
Aliwaza Nusrat
akiwa peke yake chumbani kwake wakati wa usiku..Alimpenda sana Ally kuliko kitu
chochote na alitamani kusikia neno lolote zuri kutoka kwake..Alisisimkwa sana
na mwili kila alipofikiria jinsi Ally atakavyomkumbatia na kumbusu midomoni
pindi watakapokua wote..Alijihisi ni mwenye amani sana kila alipomfikiria
Ally..Aliwaza sana hadi usingizi ukampitia..
***** *****
*****
Ally alikua
amekaa na mpenzi wake ambaye alikuja kumtembelea nyumbani kwao..Alikaa naye
chumbani kwake na hivyo ndivyo walivyozoea kila Recho alivyoenda nyumbani
kumtembelea.. Waliongea mambo mengi sana huku muda mwengine wakiutumia
kufundishana.. Hakika Ally na Recho walipendana sana kwani kwa
kipindi cha
karibu miezi 14 tangu waanze
mahusiano, ni
mara moja pekee ndiyo
waliyokutana
kimwili na bado mapenzi yao yalikua motomoto..Ni vigumu sana kwenye mapenzi ya
siku hizi kukaa muda mrefu bila kufanya mapenzi lakini wao waliweza..
Wakati
anaendelea kuongea na mpenzi wake pale chumbani alisikia message ikiingia
kwenye simu yake.Akainuka na kwenda kuichukua simu yake kuiangalia alikua ni
Nusrat ambaye alimtumia ujumbe uliomfanya abaki akimtazama Recho kwa
wasiwasi..........
Nusrat alikua
anamuomba Ally wakutane Steers kijitonyama siku inayofuata kwani alikua na
mazungumzo muhimu sana anataka kuongea nae. Pia alimuomba sana aje peke yake
ili aweze kuongea nae kwa utulivu..Aliisoma message yote kisha alipomaliza
akaifuta.Recho alikua amejiliza kitandani hivyo hakuelewa kitu
chochote
kinachoendelea.Ally alibadilika ghafla na kuonyesha kuwa na mawazo hadi mpenzi
wake akamshtukia..
Mbona umekua
hivyo mpenzi wangu yani muda mfupi uliopita ulikua umechangamka vizuri lakini
ghafla unaonyesha kuwa kama una huzuni
au mawazo, una
tatizo gani Ally wangu?
Ally alibaki
kimya akiwa hajui hata amuambie nini mpenzi wake ili amuelewe. Alitafakari sana
na mwisho akaamua kulimaliza hilo tatizo mwenyewe kwani alihofia anaweza
akamuumiza kipenzi chake ukizingatia alikua na wivu sana..ilibidi amdanganye
ili amtoe wasiwasi..
"Hapana
sina tatizo lolote baby wangu. Ghafla tu nimejikuta nafikiria mambo ya miaka
mingi liyopita. Nimemkumbuka sana mama yangu kipenzi kwani baada ya kukupata
wewe nahisi yeye ndio kitu pekee nilichokikosa katika maisha. Nimemiss sana
upendo wake..
Ooh!Pole sana
sweety love..Najua ni kiasi gani inauma ila haina jinsi, kazi yake mola siku
zote huwa haina makosa..Kikubwa unatakiwa umuombee sana ili apumzishwe mahali
pema peponi..Hata mimi kama nilivyowahi kukuambia mapenzi ya baba katika maisha
yangu huwa nayaona kwenye movie au kuyasikia kwa wenzangu tu. kwani alifariki
wakati bado nikiwa mdogo sana wakati nina miaka sita..Nilikua bado mdogo mno
hivyo
kumbukumbu
nzuri hata ya taswira yake
imenipotea
kabisa.Ila nahisi kuna siri nzito sana juu ya kifo chake kwani mara nyingi
ninapomuuliza
mama huwa ananipa majibu yasiyoeleweka..
Mmhh! pole
sana mpenzi wangu..We have got something in common in our life. (tumepata kitu
kinachofanana katika maisha yetu) Wewe ulimpoteza baba yako na mimi nilimpoteza
mama yangu wakati wote tukiwa bado wadogo..Inauma sana.
Waliongea
mambo mengi sana kuhusu maisha yao kiujumla na kuzidi kufahamiana zaidi na
zaidi..Recho alikakaa sana nyumbani kwa kina
Ally hadi
ilipofika jioni ndio akaanza kujiaandaa ili aondoke..Alipomaliza walianza
kuagana na mpenzi wake kwa kupigana mabusu na kubadilishana mate..Ally
alizungusha mikono
yake kwenye
mbavu za Recho na kukutana mgongoni huku akiwa anampapasa papasa. Recho alisisimka
sana kwa kitendo kile na kumfanya pumzi zake zianze kubadilika..Walijikuta
wakikaa kitandani na kuendelea kubadilishana mate huku Ally akipitisha mikono
yake kwenye
tumbo la Recho kwa mwendo wa taratibu hadi kifuani..Aliyaminya minya maziwa kwa
staili ya kichokozi na kumuacha Recho
akitoa sauti
ndogo ya kuugulia huku macho yake akiwa ameyafumba. Waliendelea na kuchezeana
hadi Ally alipohisi kitu na kuamua kumwambia Recho..
"Muda
umeenda sana mpenzi wangu. Hatuwezi kuendelea kufanya hivi kwani tutachukua
muda mrefu sana hivyo utachelewa nyumbani..Sitaki umtie mama wasiwasi
ukizingatia sio kawaida yako kurudi nyumbani ukiwa umechelewa sana. Nakuomba
kwa leo tuache haya mambo
tutafanye siku
nyengine..
Mmhh! sasa
ulikua na maana gani Ally kunichezea hivi.? Hebu fikiria mimi nitalala vipi na
hali kama hii.Hapana nipe hata kimoja tu angalau nitaridhika"
"Hapana
Recho, sio kama sitaki kukuridhisha ila muda umeenda sana.Saa moja hii hivi
unategemea utafika nyumbani saa ngapi na foleni za hapa mjini..Nakuomba kwa leo
tuache tutafanya siku nyengine..Mimi ni wako so muda wowote nitakuwepo kwa
ajili yako..Panga siku yoyote unayoitaka me nitakua tayari.Kwa leo naomba
uvumulie hii ni moja ya mitihani katika mapenzi."
Recho
alimuelewa mpenzi wake kisha wakatoka hadi sebuleni ambapo walimkuta Sarah
akiwa anaangalia TV..
"Bye
aunty"
Recho alimuaga
Sarah.
Sarah alikaa
kimya kidogo kisha akamjibu kwa unyonge huku akionyesha dharau.
"Haya
karibu."
Ally aliiona
ile hali na alijua lazima mpenzi wake atahisi kitu tu..Alianza kumchukia Sarah
kwa vitendo vyake alivyokua anavifanya..Walitoka mpaka nje na kweli Recho
akaanza kulalamika kwa Ally.
"Hivi
Ally ni kitu gani kinaendelea kati ya wewe na yule mfanyakazi wenu? Mbona
amenijibu vile yani kama mtu anayenichukia au kunionea wivu sijui.
Aliongea Recho
huku akiwa amekasirika..
Calm down my
love.(Punguza munkari mpenzi wangu) Yani hata mimi simuelewi kabisa Sarah..Ni
mwaka mmoja sasa amekua akinifanyia vituko vya kila aina hadi muda mwengine
kunifata chumbani kwangu na kanga moja tu. Lakini kutokana na kukuheshimu wewe
mpenzi wangu hata siku moja sijawahi kukusaliti kwake au kwa mtu mwengine"
Ally
alimwambia Recho maneno mengi sana ya kumuweka sawa kisha Recho akamuelewa na
kumsindika hadi kituoni ambapo alipanda daladala ya kwenda kwao tabata na Ally
alirudi nyumbani..
***** *****
*****
Kesho yake
Ally aliamka asubuhi na mapema na kufanya usafi kama kawaida pamoja na kufua
nguo zake..Alivyomaliza akatoka nje ambapo alikutana na Sarah akamsalimia kisha
akaanza kuongea nae..
"Hivi
Sarah kwanini unanifanyia vituko vyote hivi? Unanitafuta kitu gani? Hivi si
nilishakwambia kuwa nina mpenzi na wewe unamjua vizuri? Sasa kwanini
unaendelea
kunifanyia vituko hivi..Jana kidogo tu unigombanishe na Recho kwa sababu ya
tabia zako. Sasa nasemaje, kama utaendelea na hii tabia hapa nyumbani utapaona
pachungu"
Alimwambia
maneno mengi sana
kuhusu tabia
yake kisha kuondoka kwa hasira. Sarah alibaki kimya kama mtu aliyemwagiwa maji
kisha akaacha kazi na kuingia ndani..
***** *****
*****
Nusrat alikua
ameshafika maeneo ya Steers kijitonyama mapema kabisa akiwa anamsubiri Ally.
Aliendelea kuchat nae wakati Ally bado yupo njiani..Moyo wake ulikua unamdunda
sana na kuhisi kupooza kwani alihisi anataka kufanya kitu tofauti kabisa na
jamii.Alimpenda Ally kwa dhati na alikua yupo tayari awe mume wake
japokua kwao
Pemba walishamchagulia
mwanaume wa
kumuoa ila yeye hakumpenda kabisa..
Wakati bado
yupo pale akiwaza na kuwazua alishtuka alipomuona mwanaume anayempenda akija
kwa mwendo wa taratibu..Alijisikia kama
kutapika
kutokana na uwoga aliokua nao. Mapigo yake ya moyo yaliongezeka sio kawaida na
kuanza kujihisi kizunguzungu.......
Alijihisi kama
anataka kuanguka pale alipokua amekaa hivyo alikishika kiti kwa nguvu kwa
mikono yake miwili.Hakuamini alipomuona Ally akiwa amesimama mbele yake na
kumpa mkono akiwa anamsalimia. Aliinua mkono wake taratibu
na kushikana
na Ally kisha akaurudisha sehemu aliyokishika kiti ili asianguke. Alikaa kimya
kidogo akitafakari jinsi ya kuanza kuongea..Hakika Mwenyezi Mungu amewapa
wanawake mtihani mzito sana kwani hata kama wanampenda mtu basi inakua vigumu
sana kuwaambia. Kitu pekee wanachoweza kukifanya ni kumuonyesha dalili mtu
wanayempenda ili waanzwe wao
kutongozwa.
Ndivyo ilivyokua kwa Nusrat, alijaribu kila njia kumuonyesha Ally ni kiasi gani
anampenda lakini aliambulia patupu kwani Ally hakua na hisia nae kabisa za
mapenzi zaidi ya kumsaidia katika masomo.. Alikaa kimya kwa muda kisha akapiga
moyo konde baada ya muhudumu kuwa ashawaletea vinywaji..Alianza kumsifia Ally
kwa jinsi alivyopendeza huku Ally nae akimsifia kutokana na yale mavazi yake ya
heshima aliyoyavaa..
"Unajua
dini yetu haituruhusu kabisa sisi
wanawake
kuonyesha miili yetu na ndio maana mara nyingi sana ninapotoka nyumbani huwa
najitahidi kujistiri kadri ya uwezo wangu"..
"Mashallah!
Mungu azidi kukuongoza katika misingi hiyo hiyo ili uwe katika njia
iliyonyooka.
Ally alimsifia
sana Nusrat huku kadri
muda
ulivyokwenda ndivyo Nusrat alivyozidi kumzoea sana Ally huku uwoga wake
ukipungua kwa kiasi kikubwa. Waliongea mambo mengi sana hadi ulifika muda
vinywaji viliisha na kuongeza vyengine..
"Lakini Nusrat
tangu nimekuja hapa tumekua tunapiga story tu bado hujaniambia haswa kitu
kilichokufanya uniite hapa."
"Ni kweli
Ally.Ila samahani sana kama nitakua nakupotezea muda wako maana nahisi ulikua
na ratiba zako nyengine siku ya leo ila mimi ndio nimezikatisha. Samahani sana
kwa hilo."
"Usijali,Nimeona
umuhimu wako na ndio maana nimekuja hapa ili kukusikiliza shida yako."
Kidogo Nusrat
alifarijika baada ya kusikia maneno hayo. Alipata ujasiri mkubwa sana na kuamua
kuwa muwazi kwa kila kitu..
"Kitu
kikubwa kilichonifanya nikuite hapa ni juu ya utumwa niliokua nao..Najihisi
mtumwa sana kwa mtu ninayemfikiria ambaye sidhani kama hata siku moja yeye
ameshawahi kunifikiria japo kwa dakika moja tu."
"Utumwa?
Una maana gani unaposema utumwa.?"
"Mimi ni
mtumwa wa mapenzi Ally. Ninampenda sana mtu lakini yeye hanipendi kabisa na
wala sidhani kama ameshawahi hata kulitaja jina langu wakati akiwa hayupo na
mimi..Naumia sana Ally na sijui maumivu haya yatakwisha lini. Mpaka muda
mwengine najiuliza au kosa langu kupenda.? Kwanini ananifanyia hivi.?"
Aliongea
maneno hayo huku akiwa na huzuni sana hali iliyopelekea hata Ally kuanza
kumuonea huruma..
"Sasa
Nusrat wewe unafikiri kwa tatizo kama hili mimi nitakusaidia vipi?
Unaweza
kunisaidia kama ukitaka na
kukubali..Una
uwezo mkubwa sana wa
kulimaliza
tatizo langu zaidi ya unavyofikiria."
Mpaka muda huo
Ally hakuelewa chochote kinachoendelea akilini mwa Nusrat kwani alikua
anaambiwa maneno ambayo yalikua ni kama fumbo kubwa kwake..
Lakini Nusrat
nawezaje au naanzaje kukusaidia ikiwa mtu mwenyewe simfahamu hata sura yake
wala kupajua anapoishi?
"Unamfahamu
Ally na pia anapoishi unapajua vizuri."
Aliongea
maneno hayo huku safari hii
huzuni ikizidi
kuongezeka na macho yake kwa mbali yakianza kutengeneza machozi.
Ally alizidi
kuchanganyikiwa kuambiwa vile na kubaki akijiuliza maswali mengi kichwani..
"Namfahamu?
Na kwao pia napajua? Hapana hii haiwezi kuwa kweli. Hata siku moja Nusrat
hajawahi kunihusisha au kuniambia juu ya maisha yake ya mapenzi so nitamjuaje
huyo mtu? Hapana hii haiwezi kuwa kweli."
"Sasa
Nusrat unaniambia huyo mtu namfahamu na kwao pia napajua. Nimejaribu kufikiria
na kukumbuka lakini sipati jibu kabisa, labda ungenionyesha picha ya huyo mtu
au hata ungenitajia jina lake labda kweli naweza nikawa namfahamu."
Nusrat alibaki
kimya huku machozi yakizidi kujaa machoni mwake na taratibu yakatiririka
mashavuni mwake. Kadri muda ulivyozidi kwenda ndio Nusrat alizidi kulia huku
kilio cha kwikwi ndio kikitawala zaidi..
Ally aliogopa
sana hali ile na kuhisi watu wa pembeni wanaweza wakawaona na kuhisi kuna
tatizo. Pia aliona Nusrat akiendelea kulia atajaza watu pale. Alijaribu
kumbembeleza sana Nusrat
kwa kumwambia
maneno mengi sana ya kumtia moyo pamoja na kumuomba amtajie huyo mtu au
kumuonyesha picha yake labda anaweza akamsaidia..
Nusrat
alipunguza kilio taratibu na baada ya muda akanyamaza kabisa. Alimuangalia sana
Ally ambaye pia alikua akimuangalia yeye.
"Najihisi
vibaya Ally, naona napenda sana hadi nimevuka hata mipaka ya kupenda. Sijui
nitaishi vipi kama huyo mtu atanikataa."
Usiwe na hisia
hizo Nusrat. Kuwa muwazi kwake naamini hata yeye pia atakua anakupenda. Jaribu
kutafuta muda
ili uongee nae naamini
atakuelewa.
Usiendelee kuwa na kidonda moyoni, ukimya wako ndio muendelezo wa maumivu yako.
Mwambie"
Nusrat alibaki
kimya kwa muda kidogo kisha akamtazama tena Ally usoni. Kila alipotaka kuongea
alihisi kitu kizito kikiuzuia mdomo wake. Alizidi kuumia moyoni kwani mwanaume
anayempenda alikua mbele yake ila hakuonyesha dalili zozote kuwa hata yeye anampenda
pia..
"Tafadhali
Nusrat naomba uniambie basi huyo mtu anaitwa nani ili nijue naanzaje
kukusaidia.
Hivi unadhani ukibaki na hali hii utakuwaje.? Niambie basi au nionyeshe picha
yake labda naweza nikamjua hivyo ikawa rahisi kukusaidia."
Taratibu Nusrat
akaanza kurudisha upya
kilio. Alilia
sana ila kwa sauti ya chini ili watu wasijue kinachoendelea..
"Please
Nusrat niambie basi maana sipendi kukuona katika hali hii."
"Mwanaume
mwenyewe hata hayupo mbali na hapa."
Alisita kidogo
huku akiendelea kulia kisha
akamalizia..
"Huyo
mwanaume mwenyewe ni wewe
Ally.
Nakupenda sana hadi nahisi kuchanganyikiwa..Naomba unipe nafasi kwenye moyo
wako, sitaweza kuendelea kuumia hivi. Tafadhali usikatae Ally kwa sababu
utanisababishia matatizo makubwa sana."
Ally alipigwa
na butwaa na hakuamini kusikia maneno mazito kama yale kutoka kwa Nusrat.
Alimuangalia usoni kwa umakini na kumuonea sana huruma.
"Kwanini
msichana mzuri kama huyu mapenzi yamfunge jela. Hivi kweli amekosa mtu mwengine
wa kuwa? Sawa ananipenda sana lakini nitawezaje
kuwapenda watu
wawili kwa wakati mmoja? Hapana kwanza siwezi kumsaliti Recho wangu. Nampenda
sana na hata yeye ananipenda pia..
"Samahani
sana Nusrat kwa haya
nitakayokwambia
ila imenibidi kufanya
hivi..Najua ni
kiasi gani unaumia juu ya mapenzi yako kwangu ila muda mwengine katika maisha
sio kila kitu kinaenda sawa au kila kitu tunachokitaka lazima
kifanikiwe..Siwezi kuwa na wewe Nusrat kwa sababu tayari nina mpenzi kwa muda
mrefu sana ambaye hata wewe unamfahamu.Sasa hata wewe mwenyewe
unadhani
itakuwaje nikiwa na wote nyie
wawili..Hapana
siwezi na ukizingatia mimi na Recho tunapendana sana. Naomba unisamehe sana kwa
hili."
"Najua
Ally na ndio maana nimekuita hapa. Nipo tayari hata unifanye spea tairi lakini
unipe japo nafasi hata kidogo moyoni mwako..Siwezi kuishi bila ya
wewe na
nakuahidi sitamchukia Recho wala kumfanyia kitu chochote kibaya."
Maneno hayo
ndio yalizidi kumchanganya
kabisa Ally.
Hakutaka kushare penzi la Recho na mtu mwengine..Alichofanya ni kumtuliza
Nusrat na kumpa maneno mengi ya kumfariji..Alimuonea huruma sana kwa jinsi
anavyoteseka ila hakua na jinsi zaidi ya kuendelea kumchukulia
kama rafiki
kwani tayari Recho alishaujaza moyo wake..
"Nimekuelewa
Nusrat ila kama unavyojua kuwa mimi nina mtu ninayempenda sana. Nakuomba unipe
muda wa kuyafikiria haya kwa umakini kwani sitaki uendelee kuumia. Kuna
wanawake wanastahili kuumia kutokana na tabia zao lakini
sio
wewe..Nakuomba uwe mvumilivu."
Kidogo Nusrat
alimuelewa Ally na kumuahidi kusubiri hata kwa miaka 10..Ally alishukuru sana
kusikia hivyo na kuhisi kuutua mzigo kwa kiasi fulani..Siku zote katika maisha
yake Nusrat amekua akimjali na kumthamini sana kwani
ameshamfanyia
mambo mengi sana. Akakumbuka siku aliyokaa nae chuo kisha
akamuambia
anapenda sana tablet ila hajakua na uwezo wa kuinunua na baada ya siku tatu
Nusrat alimletea tena kwa kum'suprise.
"Kweli
ananipenda ila ndio hivyo sitaweza kuwa nae, tayari Recho ameshaujaza moyo
wangu kwa kila nafasi."
Waliongea
mambo mengi sana pale na walipomaliza wote wakaondoka.
***** *****
*****
Baada ya mwezi
mmoja mzee Mohammed alitimiza ahadi yake ya kumnunulia mwanae gari ya
kutembelea baada ya kufanya vizuri katika
masomo yake ya
mwaka wa kwanza. Aliandaa tafrija fupi nyumbani na kuwaalika wageni
wachache..Ally nae aliwaalika marafiki zake wote aliosoma nao secondary na wale
aliokua nao chuo. Pia rafiki yake kipenzi Allan nae alikuwepo..Mpenzi wake
Recho nae alifika akiwa ameongozana na rafiki zake Najma na Tayana..Nusrat nae
alifika akiwa
ameongozana na
dada yake..Hakika watu
walipendeza
sana siku hiyo utadhani ilikua
harusi au send
off..Wageni walipata vinywaji vya kutosha huku wapishi wakiwa busy kuwawekea
watu
vyakula..Ilipendeza sana na kila mtu
alifurahi kwa
tukio lile..
Ulifika muda
wa mzee Mohammed kumkabidhi mwanae gari na wote wakasogea eneo lilipopaki
huku likiwa
limefunikwa kwa turubai
kubwa..Hakuna
aliyejua ni gari ya aina gani hata Ally mwenyewe hakujua. Mzee Mohammed
aliongea mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na kumsifia sana mwanae kwa jinsi
alivyokua mtoto mwema kwake..Pia hakusita kusema kuwa
anatamani sana
mwanae aje kupata mke
mwema pia ili
awe chachu ya maendeleo kwao na kujenga familia nzuri na imara..Ally aliposikia
hivyo alimtazama sana Recho huku na yeye akimtazama mpenzi wake na
kukonyezana..Nusrat aliiona ile hali na kujikuta akiumia sana
moyoni.
Alipomaliza kuongea gari ikafunuliwa na wote wakapata kuiona Altezza ya kisasa
ikiwa mpya kabisa..Ally hakuyaamini macho yake na kumfuata baba yake kisha
akamkumbatia kwa nguvu..
Thank you
dady, I love you so much. (Asante baba, nakupenda sana)
I love you too
son and I'm very proud of you. (Nakupenda pia mwanangu na najivunia sana kuwa
na wewe)
Me too
dady.(mimi pia baba)
Ally
alimshukuru sana baba yake huku machozi ya furaha yakimtoka na kujifuta kwa
leso.. Baada ya hapo ni picha tu ndio zilizotawala huku wageni wote wakiwa
wamepata picha na muhusika wa sherehe ambaye ni Ally...Tafrija ilipokwisha Ally
na baba yake waliwashukuru wageni wote kisha kila mmoja alitawanyika na kurudi
nyumbani kwake..Nusrat aliondoka na
dada yake
aliyekuja nae huku Recho, Najma na Tayana wakisindikizwa na Ally kwa kutumia
gari ya baba yake kisha akawakodia Najma na Tayana taxi ambao walikua wanakaa
maeneo ya Mwananyamala na Sinza huku yeye akimpeleka mpenzi wake hadi nyumbani
kwao tabata kisha alirudi nyumbani..
***** *****
*****
Maisha ya Ally
yalizidi kuwa na furaha huku wanawake wengi chuoni pale wakiwa wanamtamani
kutokana na kumuona labda atakua mtoto wa kishua..Chuo kizima hapakuwa na
mwanafunzi wa umri wake anayetembelea
gari labda kwa
wale wanafunzi wakubwa ambao wengine walikua pia wanafanya kazi. Alijikuta
akisumbuliwa sana na wadada wa pale chuo huku yeye akiwa makini ili asinase
kwenye mitego yao kwani alimpenda sana Recho
wake. Recho
nae hakujiweka nyuma kwani
alijionyesha
hadharani kuwa yeye ndiye mpenzi wa Ally kwa kumkumbatia mara kwa mara na
kumbusu hadharani..Alifanya yote hayo ili kuwaumiza roho wale wote wanaomtaka
Ally..
Ally na Nusrat
waliendelea na mawasiliano huku wakipeana zawadi mara kwa mara na kumfanya Ally
amuone Nusrat kuwa ni mwanamke wa kipekee sana kwani alimpenda kwa dhati mtu
ambaye anajua
ana mpenzi wake tena
wanapendana
kwa dhati..Ilibidi aendelee kuwa nae vile vile tu ili asiendelee kuumia..Nusrat
alifurahi sana kupata angalau kujaliwa na Ally. Hakuisha kuota kuwa ipo siku
Ally atakua wake peke yake..Aliamini hiyo siku inaweza kuwa hata kesho hivyo
alizidisha mapenzi
mazito kwa
Ally...
Siku moja
asubuhi wakati Ally akiwa chuoni alijihisi kuumwa..Asubuhi hiyo hiyo aliamua
kurudi nyumbani ili akapumzike..Siku hiyo
hakutumia gari
lake kwani liliharibika
rejeta siku
tatu zilizopita.
Alifika
nyumbani mida ya saa nne na
nusu na
kuingia mpaka ndani..Akaanza
kutembea na
kuelekea chumbani kwake ila alipofika mlangoni kwa Sarah alisikia watu kwa
ndani wakitoa vilio na miguno ya kupeana raha..Alishtuka kidogo na ilibidi
asimame na kusikiliza ili ajue nini kinaendelea......
Alisogea zaidi
pale mlangoni na kuchungulia kwenye kitobo cha ufunguo kama ataweza kuona
chochote..Alijitahidi kuangalia vizuri na kuona miguu ya mwanamke na mwanaume
ikiwa inashughulika kitandani lakini hakufanikiwa kuziona sura zao..Alikaa pale
akiendelea kusubiri labda watajigeuza ili awaone sura zao lakini hakufanikiwa
kwani muda wote
walibaki
kwenye staili ile ile tu hadi walipovunja dafu..Alikaa kidogo akisubiri wakae
kwenye usawa wake ili awaone au hata kusikia sauti zao lakini walibaki kimya
muda wote..Alikurupuka pale mlangoni baada ya kuona miguu ya kiume
ikiinuka pale
kitandani, hivyo kwa mwendo wa kunyata alitembea haraka na kuingia chumbani
kwake..Alikaa kimya huku akijiuliza maswali mengi sana kichwani kwake kuhusu
lile tukio aliloliona..
"Hivi ina
maana huyu atakua Sarah au mtu
mwengine? Na
kama kweli ndio yeye ameanzalini hii tabia ya kuleta wanaume humu ndani? Hapana
hii tabia sijaipenda hata kidogo inabidi nimwambie baba ili tumrekebishe au
ikishindikana aondoke kabisa hapa nyumbani. Haiwezekani anatutia aibu sana kwa
majirani na kuonekana kama tunaishi kwenye danguro la wanaojiuza".
Alikaa sana
chumbani kwake na baada ya muda akasikia mlango ukifunguliwa na kweli akaisikia
sauti ya Sarah akiongea na mtu aliyekua mule ndani ambaye hakumsikia kabisa
sauti yake..Hakutaka
kabisa kutoka
nje kwani alihisi anaweza akaenda kufanya kitu kibaya sana na baadae akajilaumu
nafsi yake..Alikaa akiwaza na muda mfupi baadae akaamua kujipumzisha kutokana
na hali ile ya homa anayojisikia..
***** *****
*****
Recho alikaa
siku nzima akiwa hana raha baada ya mpenzi wake kumpa taarifa kuwa anaumwa na
aliondoka chuo mapema..Aliongea nae sana kwenye simu na kumpa pole pamoja na
kumfariji huku akimuahidi kuwa siku inayofuata ataenda kumuona..Ally
alimshukuru sana mpenzi wake kwa kumjali na walipomaliza
maongezi
akaanza kujiandaa na kuanza safari ya kwenda hospitali ili akapate tiba..
Wakati yupo
njiani alisikia simu yake inaita na alipoiangalia alikuta Nusrat ndie
anayepiga.
Hello!!
Hello, mambo
vipi?
Poa,unaendeleaje?
Mimi mzima
kabisa. Vipi mbona leo
umeondoka chuo
mapema sana, una tatizo gani?
Najihisi kama
nina homa na muda huu nipo njiani naelekea hospital. Ila samahani sana kwa
kutokutaarifu nilipitiwa..
Ooh! pole sana
na usijali kwa hilo. Unaelekea hospital gani?
Maeneo ya
Kariakoo kuna hospital moja
hivi mtaa wa
Sikukuu ila siijui vizuri jina lake kuna mtu alinielekeza..
Sio ile
hospitali ya wahindi?
Yaah, itakua
ndo hiyo maana hata huyo aliyenielekeza aliniambia ni hospitali ya wahindi.
Napajua pale,
basi nitakuja baada ya kama dakika 45 maana mida hii nipo Posta kuna mambo
nayafuatilia..
Sawa basi me
utanikuta nishafika maana
mida hii nipo
njiani..
Ok, you take
care Ally. (sawa kuwa
mwangalifu
Ally)
Thank you.
Meet you there.(Asante tutakutana pale)
Okay!!
Walimaliza
kuongea huku muda huo Ally akiwa ndani ya bajaj kwani gari yake ilikua
imeharibika..Alifika
hospital mida ya saa 12 jioni na kuanza kufuatilia process za kuonana na
daktari. Alifanikiwa, akapimwa kisha akaenda pharmacy na kupewa dawa. Alilipia
gharama
zote na
alipomaliza aliitoa mfukoni simu yake ambayo aliiweka silent.Alikuta missed
call 7,mbili zikiwa za baba yake na tano zikiwa za Nusrat. Alimpigia simu baba
yake na kumjulisha kila kitu na walipomaliza kuongea akampigia
Nusrat..Alimuelekeza
mahali alipo na baada ya dakika mbili alimuona Nusrat akija.. Walisalimiana
kisha Nusrat alimpa pole Ally kwa kuumwa. Akamuuliza anaelekea wapi muda huo na
Ally akamjibu kuwa hajisikii vizuri hivyo inabidi aende nyumbani moja kwa
moja..Nusrat
alimuomba Ally
ampeleke kwa kutumia gari lao ambalo huwa wanalitumia kwao kwa safari za
kawaida wakiwa wamemuajiri dereva..Maisha ya Nusrat nyumbani kwao yalikua
mazuri sana
kwani baba
yake alikua ni mfanyabiashara
mkubwa sana wa
madini huku akimiliki
makampuni
makubwa ya uuzaji na usambazaji wa bidhaa ndani na nje ya nchi. Ally alikubali
na wote wakaingia ndani ya gari na kuanza safari ya kuelekea Temeke, nyumbani
kwao Ally.
Njiani
waliongea mambo mengi sana
huku Ally
akimshukuru sana Nusrat kwa kumjali na kumthamini..
"Nafanya
yote haya Ally kwa ajili ya
kukupenda.
Nakupenda sana hata zaidi ya
unavyoweza
kufikiria. Pia nilishawahi kukwambia kuwa nipo tayari kusubiri hata kwa miaka
10. Nakupenda sana na kukuthamini..
Hata mimi pia
nahisi kukupenda Nusrat ila kitu kinachofanya tusiwe pamoja ni kwa sababu
tayari nipo na Recho na nampenda sana..Siwezi kumuacha kabisa kwa sababu moyo
wangu umeshamshiba..
Huna haja ya
kunieleza yote hayo Ally kwani hata mimi najua kuwa hiyo ndiyo sababu
inayotufanya hadi tusiwe pamoja. Sitachoka kukusubiri hata kama itanigharimu
maisha yangu..
Ally
alimuangalia sana Nusrat na kuzidi
kuthibitisha
kuwa anapendwa kwa dhati..Nusrat nae alimuangalia Ally kwa hisia sana na wote
wakajikuta wakisogeleana na kupeana midomo na kuanza kubadilishana mate..Nusrat
alikua anahema sana kwani mara ya mwisho kunyonyana denda ilikua ni miaka
mitatu iliyopita na boyfriend wake wa zamani Nassoro..Wakati wanaendelea
kunyonyana mate mule ndani ya gari ghafla Ally alikurupuka kama mtu anayetoka
ndotoni baada ya kuanza kumfikiria mpenzi wake Recho..
"Vipi
Ally mbona hivyo jamani?"
Hapana Nusrat,
hatuwezi kuendelea kufanya hivi..Nahisi namsaliti Recho..No siwezi kabisa
naomba tuache kabisa haya mambo..
Nusrat alikaa
kimya kwa muda kisha taratibu akaanza kulia..Alilia sana hadi dereva wao
akaamua kusimamisha gari walipofika maeneo ya Chang'ombe..Alibidi Ally apate
kazi ya kumbembeleza Nusrat ambaye muda wote alikua analia. Alimwambia maneno
mengi sana ya
kumtuliza huku
akimlaza kifuani kwake na
baada ya muda
Nusrat akanyamaza. Waliendelea na safari hadi walipofika kwa kina Ally kisha
wakaagana na kuondoka huku Nusrat akiwa mnyonge sana..
***** ***** *****
Usiku huo
Nusrat alipofika nyumbani kwao Magomeni hakupata usingizi kabisa kwani muda
wote alikua akimuwaza Ally tu. Alijikuta mwili wake ukisisimka pale alikumbuka
jinsi alivyokua anabadilishana
mate na
Ally.Aliiona hiyo siku kua ni siku nzuriana pengine kuliko zote katika maisha
yake..Alikumbuka jinsi Ally alivyombembeleza kwa maneno matamu wakati analia na
jinsi alivyomlaza kifuani kwake.Alijikuta akimkumbuka sana Ally na kutamani
kama angekua nae kwa muda huo ili amliwaze..Akaamua kumpigia simu lakini ilikua
inatumika. Alijaribu kwa mara nne na mara zote ilikua bado inatumika. Alianza
kujisikia wivu kwani alijua kuwa
lazima Ally
atakua anaongea na Recho hivyo akajikuta akianza kumchukia Recho kwa sababu
alimuona ndiye kikwazo kikubwa cha yeye kushindwa kuwa na Ally..Alilia sana
hadi alipopitiwa na usingizi usiku wa manane..
***** *****
*****
Allan
aliendelea kuwasiliana sana na Tayana ambaye alikua anafarijika sana.Mara
nyingi Allan alimpa zawadi huku akimsaidia sana kwenye matatizo yake hata kumpa
pesa pale alipohitaji. Tayana alijihisi mkosefu sana kwa
kutomkabidhi
moyo wake Allan kwani boyfriend wake Erick alikua akimkosea sana hata muda
mwengine alikua akitukanwa matusi ya nguoni mbele za watu..
Siku moja ya
Jumamosi alimuomba Allan
wakutane kwani
alikua na mazungumzo
muhimu sana
anataka kuongea nae..Allan
alikubali na
kufika mapema sana mahali
walipokubaliana..Alimsubiri
sana Tayana na baada ya muda akamuona anakuja huku akionekana kuwa mnyonge sana
Tayana alifika
mpaka pale alipokaa Allan kisha wakasalimiana.Alionekana waziwazi kama mtu
ambaye kuna kitu kinamsumbua..
Vipi Tayana
mbona unaonekana haupo sawa leo una tatizo gani?
Tayana alibaki
kimya akiwa hajui hata aanze kumjibu nini Allan. Aliangalia pembeni kama mtu
anayefikiria kitu kisha akamgeukia Allan..
"Ndio
Allan, nina matatizo makubwa sana. Nahisi kuchanganyikiwa kwani haya matatizo
niliyokua nayo hayaendani kabisa na umri wangu..
Mmhh! matatizo
gani tena hayo Tayana mbona hata mimi unanitisha sana?
Hapana sio ya
kutisha sana ila ni makubwa ukilinganisha na umri wangu..
Sawa naomba
uniambie basi ili na mimi nipate kujua labda naweza nikawa hata na msaada wa
mawazo tu..
"Ni
kuhusu mama."
Mama? mama
amefanya nini tena?
"Mama
anaumwa sana. Ni miezi minne sasa amekua akilalamika kuwa anasikia maumivu
makali sana tumboni.Wiki mbili zilizopita tulienda muhimbili kumfanyia check up
ili tujue tatizo na alionekana kuwa ana uvimbe mkubwa tumboni..
Aahh! Poleni
sana. Kwahiyo sasa hivi yupo wapi?
Yupo nyumbani
ila wiki ijayo amepangiwa
kufanyiwa
operesheni ili kuondoa huo uvimbe..
Poleni
sana..Najua ni jinsi gani inauma kupitia kipindi kigumu kama hiki. Mungu atakua
pamoja nanyi na kila kitu kitaenda sawa..
Mmm mhh!
asante..Ila kuna tatizo moja kubwa ambalo ndio linazidi kunitia mawazo..
Tatizo gani
hilo Tayana?
Hospital
inahitajika laki 7 ili upasuaji uweze kufanyika..Muda umebaki mdogo sana halafu
mimi ndio kwanza nina laki mbili. Hali yetu kiuchumi imeyumba sana tangu mama
aanze kuumwa.Tumetumia pesa nyingi sana tangu tulipoanza kumtibia lakini
hatujapata mafanikio
yoyote..Kazini
kwake mama wamekataa kabisa kugharamia matibabu yake yani tunachofanya ni
kutumia mshahara wake tu ambao haukidhi kitu chochote. Nimemwambia Erick lakini
hayo majibu
aliyonipa nilijuta
hata kwanini nilimshirikisha..Alinikashifu sana mimi na familia yangu kuwa ni
masikini..Inaniuma sana yani mtu kama boyfriend wangu kuniambia hivyo..
Tayana alikua
anaongea yote hayo huku akiwa analia.. Allan alimuonea huruma sana kwa jinsi
alivyokua katika kipindi kigumu..
"Usijali
Tayana hii yote ni mitihani ya Mungu tu na lengo lake kubwa ni kumpima
mwanadamu imani..Mimi nitajitahidi kutafuta hiko kiasi kilichobaki ili mama
akatibiwe..Sipendi kuona
mama akipoteza
maisha kwa ajili ya kukosa pesa za matibabu na pia sipendi kukuona wewe ukiwa
kwenye hali kama hii..
Tayana
hakuamini masikio yake kusikia yale maneno kutoka kwa Allan na alibaki
akimtolea macho tu asijue la kufanya..
Usijali
Tayana,nafanya yote haya kwa ajili ya upendo wangu kwako..Nimeanza kukupenda
tangu siku ya kwanza kukuona na mpaka leo bado nakupenda kwa mapenzi yale yale
ya mara ya kwanza. Katika maisha huwa tunafanya machaguo tofauti na mimi nahisi
nimefanya
chaguo sahihi
sana kukuchagua wewe lakini wewe haukufanya chaguo sahihi
kumchagua
Erick..
Tayana alibaki
akilia baada ya kuambiwa
maneno yale
mazito ambayo yalikua na ukweli mtupu ndani yake..Alilia sana huku Allan nae
akijitahidi kumbembeleza. Alipotulia akamuangalia Allan na kumwambia..
"Samahani
sana Allan kwa kukutesa kwa kipindi chote hiki. Nahisi kosa langu kubwa ni
kuchelewa kumjua mtu anayenipenda kwa dhati na kunithamini. Sasa nazidi kuamini
na kuthibitisha
kuwa huyo mtu
ni wewe..Nakupenda Allan. Nakupenda sana na najuta kuchelewa kukukabidhi moyo
wangu. Erick amenifanyia mambo mengi sana ya kuniumiza lakini niliendelea kuwa
nae. Nahisi nilikua mjinga sana kwake ila kuanzia leo nakukabidhi wewe moyo
wangu..Wewe
ndio mwanaume wa maisha yangu Allan..
Allan
hakuamini kusikia vile kutoka kwa Tayana na akamwinua kisha wakakumbatiana..
"Nakupenda
sana Tayana."
"Nakupenda
pia Allan."
Walikaa sana
pale wakiongelea penzi lao jipya huku kila mmoja akionekana waziwazi kumpenda
mwenzie.Pia walijadili sana jinsi ya kumsaidia mama yake Tayana ili akatibiwe
na Allan alimuahidi kuwa atajitahidi kwa uwezo
wake wote
aipate hiyo hela iliyobaki ili mama akatibiwe.Tayana alimshukuru sana na
kuahidi kumpenda kwa maisha yake yote..
***** *****
*****
Kesho yake
Allan alimpigia simu Ally na
kumwambia kila
kitu kilichotokea kati yake na Tayana..Ally alimpongeza sana rafiki yake kwa
ushindi alioutafuta kwa kipindi cha mwaka mzima..Allan alimshukuru kisha
akamuomba Ally amuazime kiasi
cha shilingi
laki 2 ili akaongezee kwenye
matibabu ya
mama yake Tayana kwani yeye alikua na laki 3 tu..Ally alimkubalia rafiki yake
huku akimwambia asimrudishie hiyo hela kwani yeye ni rafiki yake na kusaidiana
ni jambo la kawaida..Allan alimshukuru sana Ally kwa wema wake. Waliongea mambo
mengi kisha wakaagana huku Ally akimuahidi kuwa
atampatia hiyo
pesa baada ya siku mbili.
***** *****
*****
Baada ya wiki
moja mama yake Tayana
alifanyiwa
operesheni salama na kuruhusiwa kurudi nyumbani ili akauguze kidonda chake..
"Hivi
mwanangu ulizitoa wapi hela zote zile mpaka nikafanyiwa upasuaji?
Alikua mama
yake Tayana akimuuliza mwanae..
"Mmhh!
weacha tu mama. Nadhani ni majaliwa yake Mungu mpaka nikafanikiwa
kuzipata."
Tayana
akamwambia mama yake kila kitu
kuhusu Allan
na jinsi alivyomsaidia kumpa hizo pesa..
"Jamani
hata sijui nimshukuru vipi huyo mkwe wangu maana inahitaji moyo sana kumsaidia
mtu kiasi kikubwa cha pesa kama hiko ukizingatia yeye bado ni
mwanafunzi..Naomba siku umlete nyumbani ili nipate kumjua na kumshukuru kwa
wema wake..
Sawa mama
nitamleta siku sio nyingi..
Waliendelea
kuongea kisha baadae Tayana akampigia simu Allan na kumwambia kuwa mama yake
anahitaji kumuona. Allan alikubali na kumuahidi kuwa siku ya jumapili atakwenda
nyumbani kwao..
***** *****
*****
Ally na Recho
waliendelea kufurahia maisha yao ya mapenzi kwani kila siku upendo wao ulizidi
kukua ingawa Ally alikua anapata majaribu kutoka kwa Nusrat..
Baby?
Naam!!
Nataka unioe.
Unataka nikuoe
baby wangu?
Ndio tena
nataka unioe sasa hivi..
Aah! usijali
baby wangu,nitakuoa mara baada tu ya kumaliza masomo yetu. Nikikuoa sasa hivi
hatutaweza kufurahia vizuri ndoa yetu kwani masomo yatakua yametubana
sana..Ondoa hofu Recho wangu, mambo yatakapokua sawa nitakuoa tu mimi ni wako.
Wakati
wanaendelea kuongea mara simu ya Ally
ikawa
inaita,kuangalia alikua Nusrat..Ally
aliogopa sana
kupokea kwani alihofia Nusrat anaweza akaongea maneno ya ajabu na mpenzi wake
akayasikia..Simu iliita lakini hakuipokea hadi ikakata..
Mbona baby
hupokei simu?
Aahh! achana
nao wananisumbua tu hawana lolote jipya. Muda huu nipo na wewe mpenzi wangu
sitaki mtu yoyote anikate stimu..aliongea maneno hayo huku akiizima simu bila
Recho kujua..
Mmhh!
ungepokea tu huwezi kujua labda itakua ana taarifa muhimu sana anataka kukupa..
Usijali baby,
nitampigia baadae sasa hivi
tuendelee na
story.
Recho
alimuelewa mpenzi wake na wakaendelea na maongezi..
"Halafu
baby mimi nna hamu sana na wewe..Yani tangu siku ile uliponichezea na kuniacha
hivi hivi nyumbani kwenu nimekua sina raha kabisa. Nalihitaji joto lako mpenzi
wangu..
Usijali mke
wangu. Nilishakuambia mimi ni wako na nitakuwepo muda wowote utakaponihitaji
hivyo kuhusu hilo shaka ondoa..
Recho
alifurahi sana kusikia hivyo na wakapanga wakutane nyumba ya wageni siku ya
Jumapili..
Mmhh!! lakini
baby naogopa maana sijawahi kuingia guest hata mara moja..
Sasa haina
jinsi baby wangu unafikiri
tutafanyaje
ukizingatia nyumbani kwenu mama yako yupo na hata kwetu siku ya jumapili mzee
haendi kazini..
Mmhh!! sawa
ila nitapata wakati mgumu sana kwani itakua ndio mara yangu ya kwanza kuingia
humo.
Usijali mpenzi
wangu naamini utafurahi sana kwani utakua upo huru na hautakua na wasiwasi na
mtu yoyote..
Kweli Recho
alikubaliana na mpenzi wake na wakaendelea na maongezi mengine.
***** *****
*****
Ally alipofika
nyumbani na kuiwasha simu
yake..Akakuta
message mfulizo zikiingia na zote zilitoka kwa Nusrat..Akazisoma na kuona jinsi
Nusrat alivyokua akilalamika..
"Hivi
Ally utaendelea kunifanyia hivi mpaka lini? Ina maana kosa langu kubwa ni kukupenda
kwa dhati? Naomba unionee huruma Ally mimi pia ni binadamu nina nyama,
naumia.!!"
Alizisoma
message zote na kuanza kuhisi
kumtesa sana
Nusrat. Alijiuliza maswali mengi sana juu ya Nusrat na mustakabali mzima wa
maisha yake.
"Hivi
haiwezekani nikawa nao wote wawili? Nitaendelea kumtesa mtoto wa watu mpaka
lini? Mbona kuna watu wanaoa hadi wake wanne na wote anaenda nao sawa tu?
Lakini Recho akijua
itakuwaje.!!
Si atanichukia sana mimi! mmhh!! hata sijui nifanye nini, nampenda sana Recho
lakini pia Nusrat ananipenda sana na anaumia sana kwa ajili yangu sasa
nitamuacha aendelee kuteseka mpaka lini.? Inabidi nifanye maamuzi ya kiume bila
hivyo naweza nikaharibu kila kitu"
Alimpigia simu
Nusrat ambaye hakupokea
mpaka inakata
na alipojaribu kumpigia mara ya pili simu yake ilikua haipatikani..
Ally alijihisi
mkosefu sana kwani Nusrat alikua anamfanyia fadhila nyingi sana pamoja na
kumuonyesha upendo wa dhati..Akaamua kumtumia message ili amuombe msamaha kwa
kitendo alichofanya cha kumzimia simu na
kumwambia kila
kitu kilichotokea kuwa alikua pamoja na Recho..Alipomaliza aliamua kulala ili
angalau apunguze mawazo..
***** *****
*****
Siku ya
jumamosi usiku Ally alikua anaongea na Nusrat ambaye alimuomba kesho yake
wakutane kwani ana mazungumzo muhimu sana anataka kuongea nae..
"Samahani
sana Nusrat, kesho nina safari
muhimu sana
inabidi niende labda tupange siku nyengine."
"Hivi
kwanini Ally kila ninachokitaka mimi huwa unakikataa ila wewe mambo yako yote
huwa siyapingi? Ni mara ngapi nimekatisha safari zangu za muhimu ili tu niweze
kuonana na wewe.? Tafadhali naomba kesho tuonane angalau hata kwa nusu saa tu
kuna maongezi muhimu
sana zaidi ya
unavyofikiria nataka kuongea na wewe..
Mmhh!! sawa
nitajitahidi nitafute muda hata jioni ili tuonane...
Nusrat
akamuelewa na kufurahi sana..
"Najua
jinsi ulivyo kwenye wakati mgumu ila wewe ni mwanaume inabidi uwe imara.
Ally alibaki
kimya huku akimsikiliza Nusrat
maneno
aliyokua anaongea..
Wakati bado
wanaongea Ally alisikia simu mpya ikiingia na alipoangalia alikua ni Recho
ndiye anayepiga..Alishindwa afanye nini na alibaki kimya akiitazama simu
yake...
Aliitazama
simu yake ikiendelea kuita hadi
ilipokata na
akajua ni lazima Recho atahisi kitu kwani mara nyingi akimpigia hata kama akiwa
anaongea na mtu basi ni lazima ampokelee simu yake..Alibaki kimya huku akiwa
haelewi chochote anachoongeleshwa na Nusrat..
"Ally
mbona kimya hivyo umepatwa na
nini?"
"Dah!
samahani sana Nusrat kuna kitu
nilikua nawaza
ndio maana nikajisahau kabisa."
"Mhh!
kitu gani hiko hadi unajisahau kuwa
unaongea na
mtu?"
"Usijali
ni cha kawaida tu ila ni cha kifamilia zaidi!"
"Mhh!
haya bwana."
Wakati wakiwa
wanaendelea kuongea mara Ally akaona Recho anapiga tena..Alizidi
kuchanganyikiwa kwani hapa aliamini kuwa ni lazima Recho ajue kuwa alikua
anaongea na mwanamke kwani akiongea na rafiki zake huwa anampokelea
simu..Alitamani amkatie simu Nusrat ili aongee na mpenzi wake lakini aliogopa
sana kwani muda mfupi uliopita alikua ametoka kumuomba msamaha kwa kosa hilo
hilo..Simu
iliita hadi
ikakata na baada ya muda mfupi
akasikia
message inaingia kisha akaifungua akakuta imeandikwa..
"Hivi
kwanini Ally unanifanyia hivi? Unaongea na nani usiku wote huu hadi unashindwa
kupokea simu yangu? Sawa bwana ila najua kosa langu ni kukupenda sana ndio
maana unafanya mambo
yote
haya"
Alimaliza
kuisoma message yote na kuhisi
kuchanganyikiwa.Alibaki
kama bubu kwani hata Nusrat akimuongelesha alikua hamjibu..
"Ally?...Ally?
We Ally?"
"Mmhh!
Eeeh..!!"
"Mbona
umekua hivyo ghafla ujue unanitia
wasiwasi sana
.Tafadhali naomba uniambie umepatwa na nini?"
"Samahani
sana Nusrat, kwa muda huu sipo sawa kabisa naomba uniache nipumzike..Kesho
tukikutana nitakwambia kila kitu."
"Mmhh!
haya sawa ila nakuomba upunguze mawazo ili ulale vizuri, umenielewa?"
"Ndio
nimekuelewa Nusrat na nashukuru sana."
Ally
alimwambia hivyo Nusrat ili akate simu kisha ampigie Recho..Waliagana kisha
haraka haraka akampigia simu Allan na kumpanga kuwa kama Recho atampigia basi
amwambie kuwa muda wote alikua akiongea nae..
"Ila na
wewe ndugu yangu umezidi
majanga yani
kila siku hayaishi mapya."
"Weacha
tu, mbona mwaka huu mtanizika
mzima
mzima."
Waliongea
kidogo kisha Ally akakata simu na kumpigia mpenzi wake..
Simu iliita
kisha Recho akapokea..
"Hivi
kwanini Ally leo umenifanyia hivi na muda wote huo ulikua unaongea na
nani?"
Samahani sana
mpenzi wangu..Nilikua naongea na Allan kwa kutumia earphone na simu niliiweka
chini ya mto ndio maana wakati unapiga hata sikusikia kabisa."
Kwani hata
ukivaa earphone ndo mtu mwengine akiwa anapiga haumsikii?"
"Sawa
unaweza ukamsikia ila tulikua tunaongea mambo muhimu sana ndio maana akili
yangu ikahama kabisa mahala hapa hivyo hata ulivyokua unapiga
sikukusikia."
"Mmhh!
Wewe!! haya bwana.."
"Niamini
mke wangu, sina mwanamke yoyote wa kuongea nae usiku huu wala mchana kwa muda
wote ule isipokua ni wewe tu."
Ilibidi
amdanganye Recho ili angalau apate kumuelewa..Kweli Recho akamuelewa na kuanza
kuzungumza mambo mengine..
"Sasa
mume wangu kesho si ndio ahadi yetu ya kukutana ili ukanipe raha?"
"Ndio mke
wangu nakumbuka vizuri tu wala usiwe na wasiwasi."
"Kwahiyo
tunakutana wapi?"
"Guest
house ila inabidi twende maeneo ya mbali kidogo kama Kinondoni hivi au
Mwenge."
"Sawa
nimekuelewa mume wangu. Hiyo kesho ndio tutapanga vizuri jinsi
itakavyokua."
"Sawa
mpenzi wangu nimekuelewa..Acha mimi nipumzike mapema ili nipate nguvu za kuja
kukupa raha vizuri hapo kesho."
Waliongea
mambo mengi sana ya kutiana
mshawasha huku
Recho ndo akiwa kwenye hali mbaya zaidi kwani hisia zake za mapenzi zilikua
karibu sana.
***** *****
*****
Kesho yake
asubuhi Ally aliamka huku kichwani akiwa na mawazo sana..Alikua hajui
ajigawanye vipi kwani siku hiyo alikua na ahadi ya kukutana na Nusrat pamoja na
mpenzi wake Recho. Alifanya kazi zake zote na alipomaliza akapata
wazo la
kumpigia simu Nusrat ili amuambie kuwa wakutane mida ya saa sita kwani kuanzia
saa nane atakua busy kuna sehemu anaenda na baba yake...
Kweli baada ya
kumwambia hivyo Nusrat akamuelewa kisha haraka haraka akaanza kujiandaa ili
awahi kufika mahali walipokubaliana kukutana ili awahi
kurudi
akaonane na mpenzi wake Recho.
Ilipofika saa
5 akawasha gari lake na kuondoka..Njia nzima alikua anawaza Nusrat alikua ana
maongezi gani ya muhimu hadi akamuomba wakutane bila kukosa..Akapata wazo la
kumpigia simu mpenzi wake ili itakapofika mida ya saa 7 na nusu atoke nyumbani
na kuja hadi
maeneo ya
magomeni ambapo atakua
anamsubiri..Aliongea
nae wakaelewana na baada ya hapo akakanyaga zaidi mafuta ili akamuwahi
Nusrat..Baada ya nusu saa akafika hotel ya Blue Pearl maarufu kama Ubungo Plaza
maeneo ya Ubungo ambapo ndio walipanga kukutana na Nusrat..Akapaki gari na
kuingia hadi ndani na kukaa sehemu moja tulivu na iliyojificha..
"Mmhh!
huyu mtoto kweli wakishua yani sehemu anazotaka tukutane kila siku ni za
gharama tu..Vinywaji tu bei ndio hii je ukiagiza chakula itakuwaje?"
Ally aliongea
mwenyewe huku akitabasamu alipofikiria gharama za pale
hotelini kwani
aliona ni matumizi mabaya ya hela..
Hakukaa sana
kwani baada ya robo saa kama walivyokubaliana Nusrat alifika huku safari hii
akiwa tofauti kidogo kwani mara nyingi hata chuo alishazoea kumuona na mabaibui
ya kila aina ila leo alivaa gauni moja refu lililombana vizuri mwili wake na
kuyafanya maziwa yake madogo wastani yajichore vizuri kifuani kwake..Kiunoni
alikua na hips zilizojazia haswa huku makalio yake ya wastani yakiupendezesha
mgongo
wake..Kichwani kama kawaida
hakuacha
kujizungushia mtandio na kumfanya azidi kuonekana mrembo sana..
"Samahani
nimekuweka sana eeh!"
Alikua ni
Nusrat akimwambia Ally baada ya kusalimiana.
"Hapana
wala hujaniweka sana, hata mimi nimefika muda sio mrefu..
"Vipi
mbona hujaagiza chakula wakati ni muda wa lunch huu.?"
Aliongea huku
akimuita muhudumu ili awaletee chakula. Ally hakuwa na usemi kwani yeye
aliogopa kuchukua chakula kwa kuhofia gharama inaweza ikawa kubwa sana na yeye
hakua na pesa ya kutosha kwani hela yake alipanga akatumie na mpenzi wake Recho
pamoja na kutia gari mafuta..
Alishangaa
pale Nusrat alipoagiza chakula cha bei mbaya sana hivyo na yeye ilibidi aagize
chakula hiko hiko ili waende sawa..
"Utaratibu
wa hapa mteja analipa kwanza ndio anahudumiwa."
Ilikua ni
sauti ya muhudumu waliyemuagiza chakula..
Ok usijali
dada kwa hiyo jumla inakua
shilingi ngapi
pamoja na vinywaji vyote?"
"Elfu
hamsini na mbili."
Kweli Nusrat
akafungua pochi yake na
kumkabidhi
muhudumu hiyo hela na baada ya muda mfupi waliletewa vyakula vyao na kuanza
kula.
Wakati
wanaendelea kula walikua wanaongea mambo mengi sana hususani maisha ya pale
chuoni kwao. Walipomaliza muhudumu alikuja na
kuondoa vyombo
kisha Nusrat akaagiza vinywaji vyengine ili washushie chakula.
"Thank
you a lot Nusrat for your treatment." (Asante sana Nusrat kwa huduma yako)
"No, it's
okay, don't mention." (Hapana usijali, usizungumzie bwana)
Ally
alitabasamu na kukaa kimya kidogo kisha akamwambia.
"Eenhe!
Nakusikiliza Nusrat maana kama
nilivyokuambia
sina muda mwingi wa kukaa hapa."
"Kwanza
kabisa nashukuru sana kwa kuitikia wito wangu, hiyo inaonyesha ni jinsi gani
unanijali."
Kweli Nusrat
nakujali sana ndio maana nipo hapa.."
"Nashukuru..kitu
cha muhimu sana kilichofanya nikuite hapa ni kuhusu mustakabali wetu mimi na
wewe."
"Mhh! una
maana gani unavyosema hivyo?
Namaanisha
tangu kipindi kile nilipokuambia kuwa nakupenda umeniweka katika fungu gani
maana nakua kama sielewi muda mwengine
unaonyesha
kunijali, mara muda mwengine unabadilika Mimi nakua sielewi kabisa."
"Kama
nilivyokuambia hapo awali mimi tayari nina mpenzi wangu na tunapendana sana
hivyo sidhani kama naweza kukupa nafasi tena na wewe."
"Sawa
uliniambia yote hayo.Ila leo nipo tofauti kidogo na kipindi kile ulivyoniambia.
"Tofauti
kivipi?"
"Leo
sikubaliani na huo ukweli unaoniambia siku zote kuwa upo na Recho.. Kumbuka
mimi ni binadamu Ally nina nyama naumia sana. Hivi jaribu kufikiria hayo maneno
ungeambiwa wewe
ungejisikiaje..
Nimechoka kulia kila siku kwa ajili yako..Leo naomba unipe kauli ya mwisho,je
utakua na mimi au hauwi na mimi?"
Nusrat
aliongea maneno hayo huku akiwa yupo serious sana hadi Ally akaanza kumuogopa.
Ally alibaki kimya asijue hata ajibu nini..
"Naongea
na wewe Ally utakua na mimi au hauwi na mimi? Ila nahisi hilo swali sio zuri
kwa sababu sitaki jibu la hapana. Ninachotaka kutoka kwako ni jibu la ndio na
tuanze ukurasa wa mapenzi kati yangu mimi na wewe..Nimechoka kuumia
kila siku na
kulia kwa ajili yako wewe ambaye huonyeshi kujali kabisa..Leo nimeamua
kuyamaliza haya machozi na natumaini utakua wangu..Tafadhali Ally naomba
uniambie nakupenda."
Kwa muda wote
huo Ally alijihisi kama yupo ndotoni au anacheza movie ya mapenzi na yeye akiwa
ndio muhusika mkuu kwani hakutegemea kabisa maneno yale kutoka kwa
Nusrat..Alibaki kimya akiwa hajui hata ajibu nini..
"Ally si
naongea na wewe jamani ina maana hunisikii au? Hivi kwanini lakini unanifanyia
hivi mimi Nimekukosea nini haswa kisichosameheka. Naomba uniambie leo ili
nikuombe msamaha hapa hapa yaishe."
"Hapana
Nusrat sio kama umenikosea au
nakuchukia ila
unanipa wakati mgumu sana pengine kuliko wakati wowote niliowahi kupitia katika
maisha yangu.. Nashindwa hata niamue nini ili nisimuumize mtu yeyote. Hata mimi
sitaki mtu yoyote aumie katika hili."
"Nipo
tayari kushea mapenzi na Recho ila kila mmoja uwe unampa nafasi sawa na
mwenzake..Najua
kama mnapendana sana hivyo kuwatenganisha itakua sio vizuri hata Mungu
atanichukia..naomba nafasi yangu ndani ya moyo wako nakuahidi nitakupenda kwa
wakati wote wa maisha yangu."
Ally alimuona
Nusrat msichana wa ajabu sana kuongea maneno kama yale na alibaki akimuangalia
tu machoni...
"Kama
ameamua hivi acha nimpe nafasi ili
nisiendelee
kumuumiza maana anaonyesha ananipenda sana na kunijali"
Alijikuta
akijisemea mwenyewe moyoni kisha akamwambia..
"Sasa
Nusrat nimefikiria kitu kimoja,,nakukubalia ombi lako lakini kwa sharti moja tu
ambalo naomba uniahidi kama utalitekeleza."
"Oh! my
God i can't believe." (Oh! Mungu wangu sitaki kuamini) Sharti lolote lile
nipo tayari kulitekeleza ilimradi tu uwe wangu. Naomba uniambie ni sharti gani
hilo?"
"Naomba
mapenzi yetu mimi na wewe yawe ya siri..Siri ambayo itakua ni kati ya mimi na
wewe tu basi..Sitaki mtu yoyote mwengine ajue,umenielewa?"
"Kwa hilo
tu usiwe na hofu nimekuelewa Ally. Nakupenda sana zaidi ya unavyonifikiria na
kadri muda utakavyozidi kwenda naamini hata wewe utazidi kunipenda kwa mambo
mazuri nitakayokufanyia."
"Sawa
Nusrat na nashukuru sana kwa
kunielewa.
"Ally.?
"Naam!
"Naomba
unikiss mpenzi wangu."
Ally alisogea
karibu na Nusrat na kumkiss
shavuni..
"No, sio
hapo, nataka unikiss mdomoni."
Ally alikubali
na kumkiss Nusrat mdomoni ili tu amridhishe..
"Nashukuru
sana mpenzi wangu..Siku ya leo nimefurahi sana kuliko siku zote za maisha
yangu..Mwanaume ninayempenda leo amekua wangu..Asante sana mungu."
Ally alibaki
akimtazama Nusrat ambaye alikua ni kivutio kikubwa sana cha macho yake maeneo
yale..Akajihisi kuanza kumpenda lakini hakuziamini hisia zake kwani mwanamke
aliyekua kwenye akili yake ni Recho tu yani hata umtoe kwenye usingizi mzito
hawezi kulisahau jina lake.
Waliongea
mambo mengi sana kuhusu penzi lao jipya na kuendelea kupata vinywaji...
Ilipofika saa 7 na nusu Ally alimuomba Nusrat aondoke kwani muda wa kukutana na
baba yake ulikua umeshafika..
"Mhh!
jamani baby yani kukaa kidogo tu unataka uondoke.!!"
"Samahani
sana Nusrat ila sina jinsi. Baba
ananisubiri
muda huu hivyo inabidi niende
haraka..Tutapanga
siku nyengine tukutane ili tufurahi vizuri kuanzia asubuhi mpaka jioni."
"Sawa
mpenzi wangu nimekuelewa, kwa hayo uliyoniambia sina jinsi na siwezi nikakuzuia.
Nenda umuwahi baba maana ndio inaelekea saa 8 hii..
"Nashukuru
sana mpenzi wangu kwa
kunielewa..
Nusrat alikua
hajui kabisa kuwa muda
huo Ally
anaenda kukutana na
Recho,
wakaagana kisha Ally akaondoka na kumuacha Nusrat pale pale hotelini akiendelea
kupata vinywaji.
***** *****
*****
Recho alitoka
nyumbani kwao Tabata Bima mida ya saa 7 na robo huku akiwa amempania sana Ally
kumuonyesha mautundu kwani siku ya kwanza wakati anatolewa bikra na Ally alikua
hajui lolote kuhusu kufanya mapenzi ila alikusikia tu..Alivaa skin jeans nyeupe
na body
ya pink kisha
chini akavaa simple za nyeupe zilizochanganyikana na pink kwa mbali..Hakika
Recho alipendeza sana japo alivaa kawaida tu..Wavulana wakware njiani
hawakuacha kumuita kila alipokatiza lakini hakugeuza hata
shingo..
Alipanda
daladala inayoelekea Ubungo na
alipofika
alipanda nyengine inayoelekea
magomeni..Njiani
alikua akichat na mpenzi wake ambaye alimuambie ameshafika muda mrefu na
anamsubiria..
Alivyofika magomeni usalama akashuka na kumuuliza mpenzi wake yupo kwa
wapi..Akaelekezwa na wakakutana.Bila kujali wingi wa watu pale pale njiani
Recho alimkumbatia mpenzi wake na kummiminia mabusu kama mvua..
Wakaingia
ndani ya gari kisha wakaanza safari ya kutafuta guest house. Walizunguka maeneo
ya Kinondoni
mkwajuni
lakini hawakupata guest nzuri na wakaendelea mbele hadi maeneo ya Kinondoni
B..Wakaingia ndani ndani na wakaiona guest moja nzuri ambayo ilikua na self
contained rooms...Wakaridhika nayo na kuingiza gari ndani ya geti kisha
wakashuka..Walielekea mapokezi kuulizia chumba na walipoambiwa bado vipo vingi
Ally akalipa gharama zote za pale kisha wakakabidhiwa funguo.
Wakawa
wanatembea taratibu wakiwa
wameshikana
viuno huku Recho akimlalia
begani mpenzi
wake..Walitembea hadi karibu na mwisho wakaona mlango umeandikwa namba 117
ambacho ndio kilikua chumba chao.Ally akafungua
mlango
wakaingia ndani kisha akaufunga na funguo.Walitazama kwa macho yaliyojaa mahaba
kisha wote wakaanza kucheka......
Walikua ni
kama hawaamini yale mazingira waliyokuwepo ya kubaki wawali tu huku wakijua
kabisa kuwa hakuna mtu yeyote atakayewasumbua au kujua pale walipo..Recho
alionekana kuwa na aibu kwani ndio ilikua mara yake ya kwanza kuingia guest
lakini Ally aliona kawaida kwani alishawahi kuingia mara kadhaa
huko nyuma na
girlfriend wake wa
zamani..Recho
alienda kujitupa kwenye sofa dogo lililokua pembeni huku akimtazama mpenzi
wake..Ally aliona itakua vizuri kama atazima simu ili kuepuka usumbufu kutoka
kwa mtu yeyote haswa Nusrat..Akavua na tisheti
yake aliyovaa
na kubaki na vest..Mda wote huo Recho alikua amejilaza kwenye sofa akimtazama
mpenzi wake mambo yote anayoyafanya. Alimuangalia Ally kwa macho yaliyojaa
mahaba na matamanio hivyo alijikuta taratibu hisia zikianza kumuamka na kuanza
kuwa kama hatulii pale kwenye sofa..Ally alimfata mpenzi
wake pale
kwenye sofa na kumuinua kisha
taratibu
wakaanza kubadilishana mate..
Mikono ya
Recho ilikua inakichezea kifua cha mazoezi cha Ally huku wakiwa wanaendelea kunyonyana
mate.Akaanza kuushusha mkono wake taratibu kuelekea chini na alipofika kwenye
dunguso akaishika na kuanza kuisugua sugua ikiwa ndani ya jeans..Ally
alijisikia raha sana kwa kitendo kile na kuzidi kumnyonya mate mpenzi wake..
"Baby
twende nikakuogeshe."
Ilikua ni
sauti laini ya Recho akimwambia mpenzi wake. Ally alikubali na taratibu
wakaanza kuvuana nguo..Ally alisisimka sana pale alipoyaona matiti mazuri ya
Recho yakiwa yamechongoka kama ndizi mshale inapotolewa mdizini..Alitaka
aanze
kuyanyonya ila Recho akamkataza na kumwambia mambo mazuri hayataki haraka..
Recho nae alimvua nguo zote Ally na wote wakabaki kama walivyozaliwa.
Hakika Recho
alisisimka sana alipoiona dunguso ya mpenzi wake ikiwa imesimama imara kisha
akaishika na
kuanza kama
anamvuta wakaelekea
chooni..Walivyofika
Ally alionekana kuwa na haraka ya kutaka kuanza kumchezea Recho ila Recho
hakumruhusu na kumwambia asiwe na pupa kama mfungwa aliyepewa nyama ya kuku.
Ilibidi Ally awe mpole na kumuacha mpenzi wake aongoze mechi nzima akiwa yeye
ndo referee na mshika kibendera. Alikalishwa kwenye sinki la kujisaidia la
kukaa na akawa anamtazama mrembo wake jinsi mwili wake unavyovutia.. Recho
alilichomoa juu bomba linalotolea maji ya kuogea na kuweka maji ya uvuguvugu
ili yazidi kuamsha hisia zao..Akawasha kisha akaanza kummwagia mpenzi wake
ambaye alikua amekaa kimya pale
juu ya
sinki..Alipomaliza akachukua sabuni na kuanza kumpaka kuanzia shingoni kushuka
chini na alipohakikisha sabuni imemkolea mwili mzima akaanza kumsugua ili itoe
povu..Alipofika
kifuani
akaanza kumsugua kwa ufundi huku akizivuta chuchu za Ally na kumfanya asisimke
sana..Alimuinua pale kwenye sinki na kumsimamisha kisha akaendelea kumchezea
kifuani kwa kumsugua taratibu.. Alipomaliza akaanza kushuka chini na kumsugua
tumboni pamoja na mgongoni huku sasa akimwambia maneno matamu ya mapenzi. Ally
hakujibu kitu kwani akili yake ilihama kabisa kwa yale mambo aliyokua
anafanyiwa na Recho. Alipomaliza kumsugua mgongo akashuka chini hadi kwenye
dunguso na kuanza
kuisugua
taratibu. Hapa sasa sauti ya Ally
ikaanza
kusikika kwa mbali akilalamika. Recho akachukua sabuni na kuipaka nyingi sana
kisha akaanza kumsugua taratibu.Alikua ni kama anampigisha punyeto huku mkono
wake mmoja
ukikichezea
kifua cha Ally.Aliendelea na mchezo ule huku povu jingi likitoka na kuifunika
dunguso..Kadri Recho alivyoendelea na mchezo ule ndivyo Ally alipozidi kupagawa
na kumfanya atoe miguno kwa sauti ya juu kidogo..Aliendelea na mchezo ule hadi
alipomuona Ally anabadilika machoni na kuhisi kuwa anakaribia kuvunja
dafu..Akamuacha
kisha akaanza kummwagia maji na kumsuuza mapovu yote..Alimuosha vizuri na
kumuondoa mapovu yote kisha akapiga magoti mulemule chooni ambapo palikua ni
pasafi sana..Akaishika maiki ya Ally na kuipeleka mdomoni kwake na kuanza
kutuma salamu kwa rafiki zake..Alianza
kwa mwendo wa
taratibu huku Ally akizidi
kulalamika kwa
raha..Aliitoa maiki mdomoni na kuanza kuisugua sugua kama anaipigisha tena
punyeto kisha akaiingiza tena mdomoni..Safari hii akawa anatuma salamu haraka
haraka ili awahi kumaliza kwani majina yalikua ni mengi
sana..Alizidi
kuinyonya huku akiamia kwenye kichwa cha maiki na kuanza kukisugua na ulimi
wake..Aliuzungusha vizuri ulimi wake na kuichezea vizuri sehemu ya chini ya
maiki ya Ally ambayo ndiyo ina msisimko mkubwa sana
kwa
wanaume..Ally alijikuta machozi yakianza kumtoka kwani tangu azaliwe hakuwahi
kupewa raha kama zile..Alijihisi miguu inaisha nguvu kutokana na msisimko
alioupata na kuanza
kuunguruma kwa
sauti iliyochanganyikana na utamu. Recho alizidisha ufundi wake kwa kukinyonya
vizuri kichwa cha maiki na kumtazama mpenzi wake ambaye alimuona machozi
yakimtiririka bila kulia kama mtu anayeungua na uji wa moto. Aliendelea na
mchezo ule wa kumnyonya
hadi uzalendo
ukamshinda Ally na kujikuta
akipasua dafu
na kummwagia Recho maji mengi mdomoni..
Alitetemeka
sana mwili na kuhisi kuanguka ila akajishikilia kwenye bomba lililokua
ukutani.. Recho aliyapokea maji yote ya dafu mdomoni mwake huku mengine
yakimmwagikia mashavuni. Kuna baadhi ya watu wanasema
mapenzi ni
uchafu kwa vitendo kama hivi ila huwa wanakosa mambo mengi sana. Mapenzi ni
uchafu kama wapenzi watakutana kwenye mazingira machafu au mmojawapo
hajajiandaa na usafi wa mwili ila kama wote mkiwa wasafi basi kila kitu
kinakuwa kisafi na mtakifurahia..
Recho aliinuka
pale chini na kwenda kuyatema yale maji ya madafu kwenye sinki la choo. Ally
hakuamini kama Recho wake angefanya mambo yote yale na alibaki akimshangaa..
Recho alinawa
uso na kusukutua mdomo kisha akaendelea kumuogesha mpenzi
wake..Alipomaliza
akataka amfute maji ila Ally akamkataza na kumwambia kuwa na yeye anataka
amuogeshe..
"Mhh!
sawa mpenzi wangu njoo na mimi
unikumbushe
enzi za utoto.."
Ally alicheka
kisha akamuuliza.
"Hivi
mpenzi umejifunzia wapi mambo yote haya hadi mwenzako unanitoa machozi?"
Recho alicheka
sana kisha akamwambia.
"Usitake
kujua nimejifunzia wapi ila kaa ukijua nimejifunza yote haya kwa ajili
yako."
Ally
alitabasamu kisha na yeye akaanza
kumuogesha
mpenzi wake..Alimmwagia maji mwili mzima kisha akaanza kumpaka sabuni kuanzia
shingoni kushuka chini. Alipomaliza akaanza kumsugua kuanzia shingoni kisha
akashuka taratibu hadi kwenye maziwa laini ya Recho na kuanza kuyasugua huku
muda mwengine akiwa kama anayachua..Mashetani ya Recho yalianza kuamka upya na
kujikuta
akilalamika
kwa raha anazopewa na mpenzi wake..Ally alizidi kuyachua maziwa ya Recho kwa
ufundi mkubwa huku akiwa anazivuta chuchu zake..
Aaassssss..
aaaaahhh...mmmmm!!Aaah..aaaaa..mmmmm..aaaaaah!!
Recho
aliugulia kwa sauti nzuri na kumfanya Ally aanze kuhisi dunguso yake inaanza
kusimama tena..
Alishuka mpaka
chini kwa mwendo wa taratibu na kuifikia naniliu nzuri ya Recho..Akachukua
sabuni na kuipaka nyingi mkononi mwake kisha akaanza kumsugua taratibu..kadri
alivyozidi kumsugua k*s*m* na naniliu yake ndivyo Recho alivyozidi kupiga
kelele. Aliendelea kumsugua kwa speed kidogo na kumfanya Recho awe anajinyonga
nyonga na kukatika viuno kwa raha..Aliendelea kumsugua huku akimla denda na
kumfanye Recho akose nguvu kabisa na
kumuigamia
yeye.. Alimzungusha mkono mmoja kiunoni na kuendelea kumsugua haraka haraka..
Mashetani ya
Recho yalizidi kupanda na kujikuta akiimba nyimbo ambazo Ally hakuzielewa ni za
kabila gani..
Alimuingiza
kidole cha kati na kuanza
kumpekecha
pekecha naniliu yake nje ndani kwa mwendo ule ule wa speed na kumfanya Recho
azidi kulalamika huku akizidi kumlalia kwa kukosa nguvu...
Aliendelea na
mchezo ule huku akiwa
anamnyonya
tena mate na akaanza kumuona Recho akitoa machozi huku macho akiwa
ameyafumba..Alihisi naniliu ya Recho ikianza kubana na aliendelea na mchezo ule
kwa ufundi mkubwa na baada ya muda mfupi akamuona Recho akivunja dafu na
kuanguka mpaka chini kwa kukosa nguvu..Mwili wa Recho ulikua unatetemeka kuliko
kawaida huku Ally akiwa amemshikilia ili asianguke vibaya akaumia. Baada ya
hapo akamuinua na kuanza kumuosha vizuri naniliu yake. Alipomaliza akampaka
tena sabuni na kuanza kumuogesha vizuri hadi alipohakikisha amekua msafi kabisa
ndio
akaanza
kujisafisha na yeye kisha walipomaliza wakatoka mule chooni..
Walirudi
chumbani na kuanza kujifuta maji kisha wakapanda kitandani ili waanze rasmi
shughuli iliyowapeleka..Ally akamsogelea Recho na kuanza kubadilishana nae mate
huku akihisi joto
kali kwenye
mwili wa Recho.Wakati
wanaendelea
kula denda Recho alisikia simu yake inaita..Akamuachia Ally na kuifata ila
alipofika na kuiangalia alishtuka sana kwani mama yake ndio alikua
anampigia........
Recho
aliiangalia simu yake kwa woga na kuhisi labda mama yake alimuona wakati anaingia
mule guest..
"Vipi
mbona hupokei simu kwani nani huyo anayepiga?
"Mama!
Pokea
umsikilize anasemaje kabla haijakata..
Mmhh! naogopa
Ally nahisi mama atakua
ameniona
wakati naingia humu..
"Hakuna
kitu kama hiko mpenzi wangu, yani kwa maeneo kama haya sio rahisi kwa mtu
yoyote awe ametuona. Pokea simu kabla haijakata umsikilize mama..
Kweli Recho
akamuelewa mpenzi wake na kupokea simu..
Hello mama..
Eeh vipi
mwanangu?
Salama tu
mama, za muda?
Nzuri. Bado
upo huko kwa kina Najma?
Ndio mama bado
nipo huku.
Kwahiyo
nyumbani utarudi saa ngapi?
Nafikiri mpaka
kwenye saa mbili hivi nitakua nisharudi.
Haya sawa
nilikua nataka nikwambia kuwa kaka yako amekuletea ile laptop uliyomuagiza
akununulie..
Kweli mama?
Ndio tena yupo
hapa bado hajaondoka.
Jamani
nashukuru sana. Mwambie baadae nitampigia simu ili nimshukuru..
Sawa
usichelewe kurudi basi si unajua siku hizi wahuni wengi huku?
Ndio mama
najua na nakuahidi sitachelewa. Mpaka muda huo niliokwambia nitakua tayari
nisharudi..
Sawa mwanangu
kuwa mwangalifu.
Thank you mom,
I love you.(Asante mama nakupenda)
I love you too
my daughter.(nakupenda pia mwanangu)
Walimaliza
kuongea kisha Recho alikata simu na kumuangalia mpenzi wake na kuanza
kucheka..Ally alibaki anatabasamu huku akiwa amekaa kitandani.
Kumbe unajua
kudanganya eeh?
Mwenzangu saa
nyengine inabidi nijifunze
uongo tu ili
mambo yangu yaende sawa..Hivi Ally unajua kuwa mama anajua mimi bado ni bikra?
Mhh! Kweli?
Eeehh!
Daah! Kwahiyo
siku akija kujua unadhani
itakuaje?
Haina jinsi
itabidi nimuambie ukweli wote. Zamani alikua na tabia ya kunichunguza
kila baada ya
miezi miwili kama bado bikra yangu ipo lakini tangu nilipofikisha miaka 18
ameacha kabisa ila anajua bado ninayo..
Mmhh! Ila kama
ameacha kukuchunguza basi hawezi kujua kirahisi kiasi hicho labda kama kuna mtu
atampa maneno kuwa una boyfriend..
"Ila hata
kama akijua sidhani kama litakua tatizo kubwa sana kama ilivyokua zamani kwani
sasa hivi nimeshakua na naelewa kila kitu ninachokifanya na hata yeye analijua
hilo ndio maana ananiamini sana..
Sawa mpenzi
wangu,ila ninachokuomba
usionyeshe
mabadiliko yoyote yale kwa mama kama kumdharau au mabadiliko yako wewe binafsi
ya kitabia..Endelea kuwa hivyo na umuheshimu sana. Umenielewa baby?
Sawa
nimekuelewa mpenzi wangu..
Walikua
wanaongea yote hayo huku wakiwa kama walivyozaliwa na Recho akamsogelea mpenzi
wake kisha akaanza kumshika shika dunguso yake huku akitabasamu. Walianza tena
kunyonyana mate huku Recho akiendelea kuichezea dunguso ya Ally. Waliachiana
kisha Recho akainama na kupiga magoti kisha akaanza tena kutuma
salamu..Aliingiza maiki mdomoni na kutuma
salama kwa
ufundi sana. Ally alikaa akimtazama Recho kwa mautundu
aliyokua
anamuonyeshea siku hiyo na kubaki na mshangao mkubwa kwani alitegemea mechi
nzima angeitawala yeye kama siku ya kwanza wakati anamtoa bikra.. Recho
alizidisha ufundi na speed ya kutuma salamu na kuifanya maiki ya Ally isimame
balaa na kusikia utamu sana..
Aaah..!! baby
niache kidogo nisije nikakuvunjia dafu kama mwanzo.
Ilikua ni
sauti ya Ally ikiongea kwa shida na kukoroma kutokana na raha alizokua anapewa
na mpenzi wake. Recho hakumjibu chochote na kuendelea
kumnyonya
dunguso yake kwa ufundi hali
iliyopelekea
Ally azidi kulalamika kwa utamu.. Recho aliendelea na kuinyonya maiki ya Ally
hadi pale alipoona imesimama vizuri ndipo akamuachia..Akaanza kumnyonya
shingoni taratibu na ulimi wake kisha akahamia sikioni. Aliuingiza ulimi wake
taratibu na kuanza kuuzungusha hali iliyopelekea Ally kusisimka kama kapigwa na
shoti ya umeme. Aliendelea kumnyonya kisha akahamia kifuani
na
kuutelezesha ulimi wake taratibu kama chatu anayetaka kumeza windo lake.
Alikinyonya kifua cha Ally kisha akahamia kwenye chuchu ambapo alimsikia Ally
akisaga meno yake kama anatafuna karanga..Alizinyonya chuchu kwa
ufundi mkubwa
huku mkono mmoja ukiichezea maiki ili isisinzie..
Alipomaliza
akajilaza kitandani na kumuachia mpenzi wake aanze kufanya vitu vyake.. Ally
akaanza kwa kumnyonya Recho shingoni taratibu kisha akahamia kwenye maziwa.
Hakuna kitu alichokipenda kwenye mwili wa Recho kama maziwa yake kwani
yalisimama vizuri na kuchongoka kwa mbele huku yakiwa na joto kali..Alianza
kuyanyonya kwa ustadi mkubwa huku pia akiyatumia meno yake kuzivuta
chuchu..Recho alibaki kwenye hali mbaya kwani alikua anajichezea naniliu yake
na vidole huku
akinung'unika
kwa utamu aliokua anapewa..Ally aliyanyonya sana maziwa ya Recho hadi
aliporidhika akashuka chini taratibu na kukinyonya kitovu cha Recho
kilichoingia ndani kama mfereji wa suez..Aliingiza ulimi wake na kufanya kama
anatafuta kitu..Recho alijisikia
raha sana na
kuwa kama anataka
kucheka..
Akashuka chini hadi kwenye naniliu ambayo ilikua imeanza kutoa maji maji
(Vaginal Fluid) kutokana na kusisimka sana..Alianza kuishika shika taratibu na
kuisugua kisha akaupeleka ulimi wake na kuzama uvinza. Alikinyonya k*s*m* cha
Recho huku kidole chake kimoja cha kati akikiingiza kwenye naniliu na kuanza
kukipeleka nje ndani.
Alimnyonya
sana huku Recho akitoa sauti
za vilio vya
raha huku mikono yake akiwa
kayashika maziwa
yake na kuyabinya binya huku macho kayafumba..Ally aliendelea kumpa raha mpenzi
wake kwa michezo ile hadi akahisi Recho anakaribia kuvunja dafu lake na
kuendelea kumnyonya naniliu yake kwa kasi..Kweli baada ya muda mfupi Recho
alivunja
dafu na
kuyafanya matokeo kuwa mbili kwa moja Ally akiwa anaongoza..
Aliinuka na
kumwinua Recho kisha akamuweka style ya mbuzi kagoma na kuanza kuipaka mate
dunguso yake ambayo ilikua imesimama balaa. Akaishika vizuri na kuipeleka
kwenye
naniliu ya
Recho iliyokua inabana kama ya
mtoto
mdogo..Wakati anataka kuichomeka Recho akaidaka na mkono wake kisha akaanza
kuisugua sugua pale juu ya naniliu yake na kumfanya Ally ajisikie raha
sana..Aliendelea na mchezo huo kama dakika mbili huku akifika
kwenye pango
lake la amboni anafanya kama anaichomeka halafu anaendelea kuisugua..Ally
alipata wakati mgumu sana na kuona anaonewa kwani alikua anahisi kama kapiga
chenga uwanja mzima hadi golikipa ila alipofika golini anataka kufunga refa
anapiga filimbi ya offside..
"Tafadhali
Recho usinifanyie hivyo,nipe kidogo unitoe kihoro..utaniua mwenzako kwa
kihoro."
Ally aliongea
maneno hayo kwa
kulalamika
lakini Recho hakumsikiliza..
Akaendelea na
mchezo ule na kila akifika
kwenye pango
la amboni Ally alikua anafanya kama anaikandamiza mashine yake ili izame lakini
Recho hakuiruhusu. Aliendelea kumpa mateso Ally hadi ukafika muda akamuonea
huruma na kuizamisha taratibu..
"Aaah,,aa,,aaaaaah..aaaassshhh!!"
Ilikua ni
sauti laini ya Recho akiugulia wakati mashine inaingia kwenye naniliu yake..
Ally alianza kwa mwendo wa pasi fupi fupi huku akiwa kamshika Recho
kiunoni..Recho akaanza kulia kwa utamu kwa sauti ya chini kabisa huku Ally
akiendelea na mpira wake wa pasi fupi
fupi..Kadri
muda ulivyozidi kwenda ndio speed ya Ally ikaanza kuongezeka na kumsugua haraka
haraka hadi Recho akaanza kuzidisha sauti na kulia kwa sauti kubwa hata mtu
akipita nje dirishani anamsikia..Ally hakujali, aliendelea
kumpelekea
moto kwa speed kubwa hadi
akamuona Recho
anaishiwa nguvu na
kushindwa
kukaa ile mbuzi kagoma na taratibu akanza kujilaza kitandani kifudifudi..Ally
alimuweka vizuri na kumfanya naniliu yake ibane zaidi na kuendelea kumpelekea
moto huku Recho akiwa anatoa sauti za vilio vya
utamu..
Alimsugua vilivyo hadi Recho akaanza kuhisi naniliu yake inawaka moto huku
utamu nao ukizidi kuongezeka.
Ally alimlalia
Recho mgongoni huku akiwa
anaendelea
kumpelekea moto kisha akamgeuza na kumuweka upande huku mguu mmoja wa Recho
akiuinua juu na kuichomeka tena mashine yake..Akaanza tena kuipeleka taratibu
huku Recho akihisi vitu kama wadudu vikikimbizana ndani ya mwili wake kwa
kasi..Kuna muda Recho alikua anamsukuma Ally achomoe dunguso yake ili apumzike
lakini Ally
hakuelewa kitu
na kuendelea na kumpa vitu huku Recho akijipaka mate kila mda kwenye naniliu
yake ili kuipoza..
Baada ya muda
mfupi Ally akafanikiwa
kumfikisha
Recho Kigoma mwisho wa reli huku na yeye utamu ukizidi kumkolea na kutoa sauti
ya kukoroma iliyochanganyika na raha.. Baada ya dakika mbili na yeye akavunja
dafu na maji yote akayamwaga mapajani mwa Recho huku mengine yakidondoka kwenye
shuka..Siku zote hakutaka kusikia neno kumpa mtu mimba kwa kipindi kile akiwa
chuo kwani
alijiona
hayupo tayari kwa majukumu mazima ya kuitwa baba..
Walipomaliza
na kila mtu alijitupa upande wake akiwa hoi huku Recho akiisikilizia naniliu
yake iliyokua kama inawaka moto..Walipeana pole pamoja na kupongezeana huku
kila mmoja akimsifia mwenzake kwa raha alizompa. Ally alishangazwa sana na
jinsi Recho alivyokua fundi kwani siku ya kwanza alikua hajui kitu kabisa.
Baada ya muda walirudia tena raundi nyengine mbili ambapo walipozimaliza
ziliwachosha sana na kubaki wamejilaza kitandani.
Walikaa kimya
hadi wote wakapitiwa na usingizi mzito uliowafanya waje kukurupuka saa 12 jioni
huku wakijihisi kuchoka sana..
"Baby
amka tukaoge muda umeenda sana.
Ally
alimuamsha Recho ambaye bado alikua na usingizi.
"Mmhhh
baby nimechoka."
Jitahidi bwana
uamke ili uwahi kufika nyumbani si unakumbuka mama alivyokuambia?
"Sawa
nimekuelewa honey ila naomba unipe kimoja cha mwisho ili kiu yangu ikate
kabisa..
Kweli Ally
hakumkatalia mpenzi wake na
taratibu
kuchezeana huku Ally akiisugua naniliu ya Recho kwa kutumia kidole
chake hadi
ashki zikampanda upya kisha
akajilaza na
Recho akamkalia juu yake na
kuanza kumkatikia
mauno..Recho alianza
taratibu kama
mtu anayejifunza kukuna nazi kisha akawa anaongeza speed taratibu..Aliendelea
kukata mauno huku Ally akitoa miguno ya taratibu kwani alihisi kama dunguso
yake inapigwa msasa na naniliu ya Recho inayobana kama mtoto wa miaka tisa kwa
sababu hii ndio ilikua mara yake ya pili kufanya mapenzi. Aliendeleza ufundi
wake wa hali ya juu wa kukata mauno huku Ally akizidi kuchanganyikiwa na
kujikuta akilitaja jina la Recho nusu nusu.. Wakabadilisha style na safari hii
Ally akawa anapewa ile mugongo mugongo huku miuno ya
Recho ikizidi
kuongezeka kama feni isiyokua na nati wala scrubu..Aliendelea kupewa vitu adimu
huku safari hii akichukua muda mrefu sana tofauti na mizunguko yote huku Recho
nae akiwa anatamani kufika tena fukwe tamu za
manza bay ili
akayafurahie maisha..Wote
walikua na
hamu ya kufika mwisho wa safari na kujikuta wakiongeza speed yao huku Ally na
yeye akianza kumpelekea Recho moto mkali..Recho aliendelea kuzungusha kiuno
chake kilichokosa mfupa na baada ya muda akafanikiwa kufika salama fukwe za
manza bay huku Ally nae akiongeza mwendo ili akaungane
na mpenzi wake
pale ufukweni..Baada ya muda mfupi na yeye aliwasili ufukweni huku maji yote ya
dafu akimmwagia Recho tumboni kwake..Mechi ikaisha salama huku Ally akiibuka
mshindi kwa
kumpigisha Recho nyayo 7 wakati Recho akimpigisha mpenzi wake nyayo tano.
Waliingia bafuni na kuanza kuoga huku Recho akijisafisha vizuri naniliu yake
ambayo alihisi kama inawaka moto kutokana na shughuli nzito waliyokua
wakipeana.. Wakamaliza kuoga kisha wakajiandaa na walipomaliza kila kitu
waliondoka pale guest na moja kwa moja Ally akampeleka Recho wake nyumbani kwao
tabata kisha na yeye akarudi kwao temeke.
***** *****
***** *****
Waliendelea
kufurahia maisha yao ya mapenzi kadri siku zilivyozidi kusogea huku Ally akiwa
na mtihani mzito wa kuwafurahisha watu wawili,Recho na Nusrat.Kwa muda wote huo
Recho hakujua chochote kinachoendelea na
alizidi tu
kumpenda mpenzi wake huku
akiombea hata
leo aolewe na Ally.
Ally
hakuonyesha mabadiliko yoyote kwa mpenzi wake na kuzidi kumjali ikiwa ni pamoja
na kum'suprise na zawadi za mara kwa mara.. Nusrat nae alikua anajitahidi
kuzidi kumfurahisha Ally ili azidi kupendwa kwa kumpa zawadi mbalimbali za
gharama kama kumnunulia simu aina ya iPhone ambayo Ally alikua anaiota siku
zote..Alifurahi sana na Nusrat aliahidi ataendele kumfurahisha siku zote..Pia
alikua anampa
kiasi kikubwa cha pesa kwa matumizi ya kawaida mara kwa mara kwani account yake
ilikua na hela nyingi sana ambazo baba yake huwa anamuwekea kila mwezi ili
zimsaidie baadae katika maisha yake kama
litatokea
tatizo lolote.. Ally alizidi kupendeza huku pia akijitahidi kumpendezesha
mpenzi Recho wake ambaye maisha ya kwao yalikua ya kawaida tu..
Siku moja
wakati wakiwa chuoni,Ally alikua amekaa na Allan pamoja na Nusrat
wakijisomea..Mara Recho akamtumia message na kumwambia anataka kuonana
nae..Ally alijitahidi kumzuia ili asije lakini Recho hakumuelewa na kumwambia
kuwa anakuja baada ya muda mfupi. Kweli hazikupita dakika nyingi Recho alifika
akiwa amefurahi sana na
kuwakuta Ally,
Allan pamoja na Nusrat............
Akawasalimia
wote huku akikaa lakini akiwa kama anamshangaa Nusrat kwani hakuwahi kumuona
hata siku moja. Nusrat alibaki kimya huku akiwa anatazama chini kwa aibu kwani
hata siku moja hakuwahi kukaa karibu na Recho. Alianza kujihisi uwoga moyoni
mwake na
alihisi kama
Recho amemshtukia kwa jinsi
alivyokua
anamtazama..
Vipi baby
mbona upo hivyo unaumwa?Recho alimuuliza Ally baada ya kumuona na hali ya
unyonge tofauti na asubuhi alivyoongea nae kwenye simu..
"Ndio
baby, yani tangu tumekaa hapa
tunajisomea
nimekua sijisikii vizuri. Nahisi itakua homa.
"Jamani
pole sana mpenzi wangu.Basi fanya tuondoke ili nikupeleke hospital..
"Usijali
baby, acha niende nyumbani tu
nikapumzike
baadae mzee akirudi kazini
nitamuambia
anipeleke..Nashukuru sana kwa kunijali baby ila usijali baadae nitaenda tu..
"Mmhh!
haya ila sio unanidanganya tu, uende kweli..
"Poa mke
wangu usijali."
Ally alikua
anaongea yote hayo huku akiwa na uwoga sana kwani alihisi Nusrat anaweza akaropoka
neno lolote na kuharibu hali ya hewa..
Waliendelea na
story nyengine huku Recho akizidi kumtazama Nusrat ambaye alikua busy anachezea
simu yake..
"Hivi
baby huyu dada ni classmate wenu au?"
Recho
alijikuta akimuuliza mpenzi wake baada ya kumuangalia sana Nusrat bila ya
kupata utambulisho wowote..
Ally alishtuka
sana kwa swali lile kwani
hakutegemea
kama Recho angemuuliza kitu chochote kuhusu Nusrat..
"Yaah!
baby ni classmate wetu mimi na
Allan anaitwa
Nusrat.."
"Ok..Nashukuru
sana kukufahamu Nusrat, mimi naitwa Recho."
Ally alibaki
akiangalia chini kwa wasiwasi kwani alihisi Nusrat anaweza akatoa jibu lolote
baya ambalo litamfanya Recho ajue kila kitu kinachoendelea..
Ok nice to
meet you.(Sawa nafurahi kukutana na wewe)
Me too, it's
my pleasure.(Mimi pia, nimefurahi)
"Recho
unazidi tu kupendeza yani kila siku
nakuona
mpya."
Allan
alimtania Recho kama kawaida yao.
"Hahaha
acha utani wako bwana Allan sasa unaniona mpya kwa kitu gani kipya wakati mimi
ndo yule yule wa kila siku..
"Kweli
shemeji yangu yani unapendeza sana kila siku inapobadilika..
"Nashukuru
sana kusikia hivyo shem ila zote hizi ni juhudi za rafiki yako bila yeye
usingeniona hivi."
Ally alitoa
tabasamu la kulazimisha kwani kwa muda ule hakua sawa kabisa na alihisi
kuchanganyikiwa..
"Hata mimi
naziona jitihada zake maana
muda wote
anakuongelea wewe tu hata sijui umempa nini ndugu yangu."
"Hahaha
sijampa chochote ni mapenzi tu motomoto..
"Basi
wote walibaki wakicheka huku wakiendelea na utani..
"Samahanini
jamani naomba niwaache
maana kuna
sehemu inabidi niwahi kuna mtu nina miadi nae.
Alikua ni
Nusrat ambaye yale mazingira ya pale yalimshinda kabisa kutokana na
maneno
yaliyokua yanaongelewa..
"Aaah!
jamani kwani si tulikubaliana
tunakaa hapa
mpaka jioni, imekuaje tena?
"Hata
mimi pia ninapenda sana niendelee kuwa na nyinyi hapa ila sina jinsi kwani huyo
mtu ni wa muhimu sana inabidi nikaonane nae leo hii hii..
"Mmhh!
Sawa bwana me sina usemi, nakuruhusu uende."
Alijibu Allan
huku akimtazama Ally ambaye aliishiwa kabisa kauli kwa muda huo..
"Sawa
Nusrat we nenda tu ukaonane na
huyo mtu
tutaonana kesho Mungu akipenda."
Ally nae
alimjibu kwa unyonge sana.
Nusrat
aliitikia kwa kichwa huku akijilazimisha kutabasamu lakini moyoni mwake aliumia
sana kwa kitendo kile..
Nusrat
akaondoka na kuwaacha wakina Ally pale wakiendelea na maongezi..
"Nahisi
baby hiyo homa yako itakua kali sana ila unajikaza tu, kwanini tusiende
hospitali sasa hivi? Unajua unanitia sana wasiwasi mwenzio.!"
"Usijali
baby na ondoa hofu kuhusu hilo. Nina homa ila ni ya kawaida sana isipokua kuna
mambo fulani nayafikiria ndio yananipa unyonge sana."
"Mambo
gani tena hayo mpenzi wangu?"
"Kuhusu
mama yangu kama nilivyokuambia siku ile uliyokuja nyumbani."
"Oohh!
pole sana mpenzi wangu. Lakini si
nilishakuambia
kuwa usifikirie sana mambo hayo yaliyopita kwani yanaumiza sana. Najua inauma
sana ila inabidi usahau kila kitu na maisha yaendelee. Hata mimi hapo mwanzo
nilikua naumia sana kumkosa baba ila imefika kipindi
imenibidi
nisahau kila kitu na maisha yangu yaendelee.!!"
Recho
alijitahidi kumliwaza mpenzi wake
ambaye aliamua
kumdanganya ili asijue lolote kuhusu kinachoendelea..
Waliendelea na
maongezi mengine huku Ally akijitahidi arudi kwenye hali yakawaida ili mpenzi
wake afurahi..
"Halafu
baby mwenzako nimemiss sana
kutoka out na
wewe."
"Hata
mimi pia baby wangu ila nilikua sitaki kukwambia kwa sababu muda huu
tunakaribia kuingia kwenye mitihani hivyo inabidi tusome sana ili tufanye
vizuri..
Kweli mpenzi,
hata mimi nimefikiria hilo. Basi mitihani ikiisha tu siku hiyo hiyo unitoe
out."
Aliongea Recho
kwa utani.
"Hahaha
sawa Recho wa Ally, kwa sababu nakupenda basi nitafanya kila kitu
unachotaka.."
Kweli
waliongea sana siku hiyo huku Recho na Allan wakitaniana sana hadi ilipofika
jioni kila mtu akaondoka kwao..
***** *****
***** *****
Ilipofika
usiku Nusrat alikua peke yake
chumbani kwake
akifikiria lile penzi la kushea yeye na Recho..Alijihisi kuumia sana kwani yeye
hakupewa nafasi kabisa kwa sababu penzi lake na Ally lilikua la siri ambayo
wanaijua watu watatu tu, yeye, Ally pamoja na Allan. Alitamani sana Ally awe
wake peke yake na muda wote awe naye..Aliamua kumpigia simu ili amuambie kile
kitendo alichomfanyia mchana kuwa hakukipenda..
Simu iliita
sana mwishoni Ally akapokea.
Hallo..
Eehh! mambo
vipi..
Poa tu
unaendeleaje?
Me mzima
kabisa sijui wewe hilo homa lako!
Hahahaaa homa
gani hilo?
Si hilo
ulilomwambia Recho mchana!
Hahaha weacha
tu, yani muda ule nahisi akili haikua yangu kabisa..Nilihisi ungeweza kuongea
kitu chochote pale kibaya Recho akajua kila kitu..
Umetaka
mwenyewe, kwanini umruhusu Recho aje pale wakati unajua mimi nipo.?"
"Sio
hivyo nilijaribu kumzuia asije lakini
hakunielewa
kabisa..Samahani sana kwa kila kilichotokea."
"Mmhh!
Hivi Ally utaendelea kuniumiza mpaka lini? Hivi haujui vitendo kama vile mimi
vinaniumiza sana?"
Najua Nusrat
na ndio maana nimetangulia
kukuomba
samahani..Sikudhamiria kabisa yote yale yatokee but sometime things happen just
out of control.(Ila muda mwengine mambo yanatokea nje ya uwezo)
"Sawa
nimekuelewa Ally ila nisingependa ijirudie tena mwenzio naumia na ndio maana
pale niliamua kuondoka ili nisizidi kuumia. Siku nyengine kama Recho anakuja ni
bora uniambie mapema ili niondoke.
"Sawa
nimekuelewa mpenzi na nakuahidi
haitajirudia
tena..
Wakaendelea na
maongezi mengine ya mapenzi huku Nusrat akitamani sana siku akutane na Ally ili
wafanye mapenzi..Ni muda mrefu sana umepita tangu Nusrat akutane na mwanaume
kimwili na mara ya mwisho ilikua ni miaka mitatu iliyopita alipofanya mapenzi
na boyfriend wake wa zamani Nassoro ambaye alimuacha na
kuoa mwanamke
mwengine nyumbani kwao Pemba..
Alitaka
kumwambia Ally ila aliogopa sana labda anaweza akamfikiria vibaya labda ni
malaya au ndio ilikua tabia yake kuwafuata wanaume na kuwaomba afanye nao mapenzi..Ilibidi
akae
kimya na
kusubiri huenda siku Ally akamuanza yeye..Waliongea sana hadi usiku mwingi
kisha wakaagana na wakalala.
***** *****
***** *****
Maisha ya
nyumbani kwao yalizidi kumchosha Ally kwa vitendo alivyokua anafanyiwa na Sarah
kwani alijitahidi kumwambia baba yake lakini hakumsikiliza na kumwambia
hawawezi
kumfukuza
kwani wametoka nae mbali na
anafanya kazi
vizuri pamoja na kuwapikia
chakula
kitamu..Hakua na jinsi zaidi ya
kuendelea
kuvumilia yale maisha huku akijipa moyo kuwa ipo siku atakua na nyumbani kwake
na zile kero ataziepuka..
Usiku mmoja
Ally alilala na kusahau kabisa kufunga mlango kama ilivyokua kawaida yake na
alipitiwa na usingizi fofofo..Alijihisi kama mtu anampapasa mwilini na kumshika
dunguso yake huku akimvua boxer taratibu..Alishtuka sana na
kupiga kelele
na alipomuangalia huyo mtu vizuri hakuamini alipomuona Sarah akiwa pembeni yake
uchi kama alivyozaliwa......
Sarah aliruka
pembeni kutokana na zile kelele alizopiga Ally na kuogopa sana kwa kuhisi labda
Ally anaweza kumfanya kitu chochote kibaya..
"Hivi
wewe Sarah unanitafuta nini mimi?Unataka nikufanye nini ili uache kunifatilia
fuatilia?
"Lakini
Ally jaribu kuwa na huruma na mimi. Ni mambo mangapi mazuri ambayo nimekufanyia
tangu nimekuja humu ndani? Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kujionyesha kwako
kuwa nakupenda lakini wewe haunijali kabisa wala kuhisi chochote. Leo uzalendo
umenishinda na
sitoki humu
hadi unikate kiu yangu."
"Hivi
wewe Sarah mzima kweli Umechanganyikiwa? Kwanza mnafiki mkubwa wewe,hivi unadhani
huu uchafu wako unaoufanya humu ndani wa kuleta wanaume mimi siujui? Unataka na
mimi kuniletea maradhi sio? Sasa nasema hivi, haunipati hata siku moja."
Sarah alibaki
kimya na kuangalia chini kwa aibu kwani hakuamini kama Ally alikua anajua kuwa
yeye anafanya mapenzi na mwanaume mule ndani wakati yeye yupo chuo..
"Mmhh Ila
kajuaje? Au kuna mtu anampa umbea anakaa maeneo ya hapa hapa karibu? Lakini
haiwezekani kwa sababu huyo mtu mwenyewe anakaa humu humu sasa mtu wa nje
atajuaje? Lazima atakua ametuona huyu..Sasa kama ametuona mbona simsikii
akimtaja mtu mwenyewe tena kwa jazba kwa sababu nafanya
kitu ambacho
sio sahihi? mmhh! hata sielewi kajulia wapi"
Sarah alibaki
kimya huku akijiuliza maswali mengi sana kichwani kwake..
"Sarah
naomba tuheshimiane kama zamani na hii ni last warning(onyo la mwisho) bila ya
hivyo nitakufanya kitu kibaya sana hautakaa usahau duniani mpaka mbiguni."
Sarah aliogopa
sana ule mkwara wa Ally kwani alibadilika sana tofauti na siku zote alizowahi
kumuona..Haraka haraka akaiokota kanga yake aliyoitupa chini na kujifunga kisha
akafungua mlango na kwenda chumbani kwake.. Ally alibaki pale chumbani na
mawazo sana na kuanza kutamani kupahama pale nyumbani ili
akaishi
hostel.. Alikuwa na mawazo sana na akaamua kumpigia simu mpenzi wake Recho na
kumwambia kila kitu kilichotokea. Recho alimpongeza sana mpenzi wake kwa
ujasiri aliokua nao kwani ni wanaume wachache sana wenye uwezo wa kuruka mitego
ya mwanamke mwenye shebu iliyojazia na makalio
makubwa kama
Sarah. Pia alimshukuru kwa kumtunzia penzi lake na kuwa mwaminifu..Waliongea
mambo mengi sana kisha wakaagana na Ally akakata simu. Alibaki chumbani kwake
akiichezea tablet yake aliyopewa zawadi na Nusrat na kuingia mitandao ya
kijamii kuchat na marafiki zake ili apunguze mawazo kwani usingizi wote
ulimruka kwa yale mambo aliyofanyiwa na Sarah.
***** *****
***** *****
Mwezi mmoja
baadae Ally alifanikisha mipango yake na kweli alihama nyumbani kwao na kwenda
kuanza maisha mapya ya hostel pale pale chuoni kwao..Akapata chumba kimoja na
jamaa mmoja anayeitwa Kassim ambaye alikua anapenda sana maisha ya kula
bata..Kila
ilipofika
weekend ilikua ni lazima Ally alale peke yake kwani Kassim alienda kwenye
viwanja vikubwa vya starehe kila kona ya Dar es salaam ..Kadri siku
zilivyokwenda alizidi kuyazoea maisha ya pale hostel na kujiona kama yupo
nyumbani huku mara nyingi mpenzi wake Recho akija
kumtembelea na
muda mwengine kupumzika hadi jioni..Ilikua imeshafika nusu mwaka wa mwaka wao
wa mwisho chuoni hapo huku kila mmoja akizidisha juhudi katika masomo ili
afanye vizuri katika mitihani yake ya mwisho.
Siku moja
wakati Ally yupo hostel kwake
amepumzika
alisikia simu yake inaita kuangalia alikua Nusrat na alianza kuongea
Hallo..
Hallo! mambo
vipi mpenzi wangu.?
Poa tu za
muda..
Nzuri sijui
wewe..
Niko poa
kabisa, vipi bado upo class au
ushatoka?
Ndio natoka
muda huu ila nina maongezi
muhimu sana
nataka kuongea na wewe muda huu sijui kama tunaweza kuonana..
Sawa njoo
hostel huku utanikuta..
Poa nakuja
sasa hivi..
Ally
alimkubalia Nusrat aende hostel kwa sababu alijua mpenzi wake Recho
ameshaondoka kwani walishaagana kuwa anaondoka tangu muda anatoka chuo.. Kweli
baada ya dakika kadhaa Nusrat alifika hostel na kuingia chumba cha Ally kwani
alishafika kama mara nne siku za nyuma tangu Ally ahamie..
Karibu
nyumbani kwangu mpenzi..
Hahaha! haya
asante nishakaribia..
Haya niambie
unakunywa kinywaji gani?"
"Hahaha
bwana baby acha masihara yako ujue sasa hivi nimekuja nipo serious..
"Mmhh!mbona
unanitisha, serious tena?
Wala usiogope
baby ni mambo ya kawaida tu..
"Eeh
eenhe! haya niambie ni mambo gani hayo?"
"Nataka
kuhamia hapa hostel ili niwe karibu sana na wewe mpenzi wangu. Nahisi nikiwa
hapa angalau nitapata nafasi ya kuwa na wewe haswa wakati wa usiku kwani Recho
atakua hayupo."
"Mmhh!
mbona unataka uweke mambo hadharani hauoni kuwa kuna baadhi ya watu watajua kwa
sababu marafiki zangu wengi wa darasani kwetu wanamjua Recho na wengine wapo
humu humu
hostel."
"Sawa
mpenzi naelewa ila tutaendelea kufanya siri kama kawaida."
"Mmhh!
haya kama umeamua hivyo sawa sina kipingamizi ila pia uje na dhumuni la kusoma
sio kwa ajili yangu tu, si unajua kuwa tunaelekea kwenye mitihani ya mwisho?
Ndio naelewa
mpenzi wangu na ndio maana pia nimetaka kuhamia huku ili tupate muda mwingi
zaidi wa wewe kunisaidia katika masomo."
Wazo lako zuri
mpenzi wangu, kwahiyo
unahamia
lini?"
"Ndani ya
wiki hii moja nitakua nishakamilisha taratibu zote na nafikiri nitakua tayari
nishahamia..
"Sawa
mimi nakutakia kila la heri..
Nashukuru sana
kusikia hivyo na nashukuru sana kwa kunielewa. Ndio maana nakupenda sana kwa
sababu upo tofauti na wanaume wengi sana niliowaona."
"Nashukuru
kusikia hivyo Nusrat..
Wakaongea
mambo mengi sana hadi jioni kisha Ally akamsindikiza Nusrat hadi nje kituoni na
akarudi hostel.
***** *****
***** *****
Ally na Kassim
walikua ni watu wanaoelewana sana na kusaidiana kwenye shida mbalimbali ila
tofauti yao kubwa ilikua ni suala la moja tu la
starehe..Kassim
alikua anapenda sana starehe na kwenye simu yake kulikua na picha za wanawake
tofauti tofauti aliowapiga picha wakati anafanya nao mapenzi..
"Hivi
mshikaji wangu utaendelea kulala lala mpaka lini wewe.? Kila ikifika weekend
natoka peke yangu utadhani naishi na mzee bwana kumbe kijana mdogo kabisa tena
sukari ya warembo. Hebu changamka bwana kama kijana
wa mjini
tukafanye yetu sisi viwanja watoto wakali kama wote, wewe tu."
Unajua Kassim
sio watu wote tunaofanana. Kila mtu ana kitu chake anachokipenda katika maisha
hivyo huwezi kujua mimi napenda nini.
"Unapenda
nini, taarifa ya habari au? Acha uzee wewe.kijana mdogo kabisa
unajizeesha..Mchukue dogo wako yule Recho mkale bata maisha yenyewe mafupi haya
sijui mnasubiri nini."
Ally alicheka
sana kwa maneno ya rafiki yake na ilibidi akae kimya tu maana alishachoka
kujibizana nae kwani Kassim alikua na maneno mengi sana.
Baada ya wiki
moja kweli Nusrat akahamia pale hostel na alikua ni mwenye furaha kwa kuwa
karibu na mwanaume anayempenda. Usiku walikaa kwenye bustani sehemu
iliyojificha na kuongea mambo mengi sana kuhusu mapenzi yao. Nusrat alionekana
ni mwenye furaha kuliko siku zote alizowahi kuwa na Ally..
"Unajua
baby leo nina furaha sana..
"Kwanini?"
"Kukaa
pamoja na wewe hadi muda huu. Wow! yani najihisi kama tayari ushanioa na hapa
tupo honey moon.(fungate).
"Kweli
kabisa mpenzi wangu hata mimi pia
nimefurahi
sana kuwa karibu zaidi na wewe kwani tutapata muda mwingi sana wa kuwa
pamoja."
Ally alikua
anaongea maneno yote hayo ili tu amfurahishe Nusrat kwani alishajilazimisha
sana kujaribu kumpenda Nusrat hata kidogo tu lakini ameshindwa. Moyo wake
ulikua umezungukwa
na upendo
mzito kwa Recho..Alikua kwenye mapenzi na Nusrat ili tu amfurahishe na
asiendelee kuumia kwa sababu yake ukizingatia Nusrat alikua anamsaidia sana
Ally pamoja na kumnunulia vitu mbalimbali vya gharama
pamoja na
kumpa hela za matumizi..
"Halafu
baby kuna zawadi nimekununulia ila nimeiacha room..Nilipanga siku nikiingia tu
hapa basi nikukabidhi ili iwe ukumbusho kwamba hii Nusrat alinipa siku ya
kwanza anaingia hostel."
"Mhh!
jamani,yani mwaka huu mimi ni mtu wa mazawadi zawadi tu, haya niambie mpenzi
wangu ni zawadi gani hiyo?
"Please(tafadhali)
naomba unisubiri hapa hapa kama dakika tano, narudi sasa hivi."
"Sawa
baby usihofu mimi nakusubiri."
Nusrat
aliondoka na kuelekea kilipo chumba chake na baada ya muda mfupi akarejea akiwa
na kitu amekishika kikiwa ndani ya bahasha kubwa ya kaki..
"Haya
fumba macho mpenzi wangu nikupe zawadi yako nzurii."
Ally akafumba
macho huku akitaka kujua kwa hamu anapewa zawadi gani..
Nusrat akaitoa
ile zawadi ndani ya ile bahasha kisha akaishika mkononi..
"Haya
fumbua macho baby."
Ally akafumbua
na hakuamini macho yake
alipokutana na
laptop mpya kabisa aina ya
Apple macbook
"Nakukabidhi
hii ili ikusaidie zaidi katika masomo na kufanya mambo yako mengine kwani ina
uwezo mkubwa sana tofauti na ile unayotumia sasa hivi."
"Asante
sana mpenzi wangu,yani hata sijui
nikushukuru
vipi ila nimefurahi sana. Siku zote nilikua nazitamani hizi laptop ila
nilijaribu kuulizia dukani lakini hiyo bei yake hadi leo sijaulizia
tena..Nashukuru sana baby wangu."
Ally aliongea
maneno hayo kisha akamsogelea Nusrat na kumbusu mdomoni. Nusrat alifurahi sana
na kumuahidi atamfanyia mambo mengi mazuri zaidi ili aendelee kufurahi..
Walikumbatiana
pale huku wakipigana mabusu mfululizo.
***** *****
***** *****
Nyumbani kwa
kina Ally kulikua na siri nzito sana. Kwa muda wa takribani miezi tisa mzee
Mohammed baba yake na Ally alikua akifanya mapenzi kwa siri kubwa na
Sarah..Mara ya kwanza Sarah alikua hataki kabisa lakini mzee Mohammed alimpa
vitisho mbalimbali ikiwa ni
pamoja na
kumwambia atamrudisha kijijini kwao Rukwa. Sarah hakua na jinsi kwani katika
maisha yake hakuna kitu ambacho hakutaka kukisikia kama kuyarudia maisha magumu
ya nyumbani kwao Sumbawanga..Ilibidi akubali na
kumuachia
mwili wake mzee Mohammed
auchezee
anavyotaka..Kipindi wakati Ally yupo nyumbani walikua wanautumia sana muda
ambao Ally anakua yupo chuo kufanya mambo yao kwani siku nyengine mzee Mohammed
alikua anatoroka kazini kutokana na kunogewa na mapenzi ya Sarah. Kwa muda huu
ambao Ally kahamia hostel walikua ni kama panya waliopata uhuru baada ya paka
kuondoka kwani hawakua na hofu yoyote na muda mwengine walikua wanafanya
mapenzi hata sebuleni. Kila mtu alinogewa
haswa mzee
Mohammed ambae alikua anapewa vitu adimu sana na Sarah huku na yeye akijitahidi
kumhonga sana Sarah ili ampe mambo matamu zaidi..
"Hivi
baby unahisi siku Ally akijua haya mambo tunayoyafanya itakuwaje?"
"Hawezi
kujua kabisa labda wewe umuambie.Tena kwa muda huu yupo hostel ndio hawezi
kujua kabisa."
"Mmhh!
haya ila kuna siku aliniambia maneno fulani hadi nikahisi amejua kila
kitu."
"Maneno
gani hayo?"
Mzee Mohammed
aliuliza kwa mshangao.
"Aliniambia
kuwa hapendi tabia yangu ya kuleta wanaume humu ndani kwani kuna siku
alishawahi kunisikia chumbani kwangu nikifanya mapenzi na mwanaume."
"Mmhh!
lakini huyo mwanaume alimjua au
hajakwambia
chochote.?"
"Kwa
jinsi alivyoniambia sidhani kama alikua anajua chochote kwani hakuonyesha
kabisa kugusia kuhusu mimi na wewe."
"Mmhh!
inabidi tuwe waangalifu sana bila ya hivyo mambo yote yatakua hadharani."
"Kweli
hata mimi najitahidi sana kuitunza hii siri kwani Ally au watu wengine wakija
kujua itakua aibu kubwa sana haswa kwako wewe...
Siri nzito
sana ilikua inaendelea kati yao kwani Ally hukujua chochote na hata mzee
Mohammed
hakujua kuwa Sarah alikua
amejaribu
kumshawishi mara nyingi mwanae wafanye mapenzi lakini hakufanikiwa kwani Ally
alimuonyesha msimamo mkali..
"Hebu
nipe raha zangu Sarah tuache
kuzungumza
haya mambo..Nayapenda sana makalio yako jinsi yalivyokua makubwa. Nahisi
nikiyashika kama nimeishika dunia nzima naiendesha mwenyewe."
Sarah alibaki
anacheka na kumkalia kwa juu mzee Mohammed. Akaanza kumpa michezo ambayo kwa
umri wake wa miaka 54 ilikua ni adimu sana kuiona. Walichezeana sana pale hadi
mzee Mohammed akaanza kutoa vilio vya
utu uzima
kutokana na yale mambo aliyokua anapewa na Sarah..Hakujiweza kabisa mbele ya
Sarah kwani kwa umri wake alikua hawezi mikiki mikiki ya msichana ambaye damu
inachemka.
Sarah akaitia
maiki mdomoni na kuanza kutuma salamu nyumbani kwao Rukwa. Aliinyonya vizuri
ile maiki huku akiifanya kama anapiga mswaki.Alipohakikisha kuwa mzee Mohammed
hajiwezi kabisa aliichukua na kuanza kuiingiza taratibu katikati kwenye makalio
yake sehemu
ya kutolea
haja kubwa. Lahaula! hii ndio ilikua michezo yao waliyoizoea kila siku
wanapokutana....
ITAENDELEA
x
Comments
Post a Comment