IMEANDIKWA NA
: KENDRICK LINCOLN JR
********************************************************************************
Simulizi
: Endless Love
Sehemu Ya
Kwanza (1)
HATIMA YA
MAPENZI
Ilikua ni
jumatatu tulivu,upepo mwanana ukivuma na wingu jepesi likichukua nafasi yake.
Kwa wakati huo wa saa 10 alfajiri watu wengi katika jiji la Dar es salaam
walikua bado wapo usingizini isipokua kwa wanafunzi wanaosoma shule za mbali
walikua wamekwishaamka ili kuwahi adha ya usafiri na foleni ndani ya jiji hili.
Pia baadhi ya wafanyakazi
walikua wapo
macho wakijiandaa kuelekea kwenye majukumu yao ya kila siku yanayowawezesha
kupata chochote ilimradi mkono uende kinywani.
Sekunde na
dakika zilizidi kusogea na hatimaye ikatimia saa 12 asubuhi. Kijana Ally
anaamka kutoka usingizini baada ya kushtuliwa na sauti kubwa ya alarm iliyokua
inaita kwenye simu
yake..Haraka
haraka akainuka kutoka kitandani na kuchukua mswaki wake na kwenda kusafisha
kinywa.Baada ya hapo akaingia bafuni kuoga na kumaliza haja zake zote.Akatoka
akiwa anaonekana
kua ni mtu
mwenye haraka sana na kitu fulani.Haraka haraka akajiandaa na kuvaa nguo zake
nadhifu na kumaliza kwa kujipulizia perfume yenye manukato
mazuri.Hakika
alionekana kupendeza pengine kuliko siku zote za maisha yake...
Akachukua simu
yake na kuanza kuangalia notifications mbalimbali za marafiki zake.Akazijibu
zote na baada ya hapo akaingia upande wa message na kukuta message mbili,moja
ilikua ya
rafiki yake
aliyesoma nae secondary school aitwaye Saleh Mwaya na nyengine ya dada yake wa
hiyari aliyekutana nae facebook aitwaye Diana. Akawajibu wote na baada ya hapo
akalog out. Akafungua WhatsApp akakuta message tatu za
marafiki zake
Abdallah Bin Kleb, Salum Kuziwa na rafiki yake wa dhati kabisa ambaye walikua
ni kama ndugu,Tobby Aguriz. Wote walikua wanamtakia masomo mema pamoja na
kumtumia
picha zenye
maneno mazuri hiyo yote ilikua ni kuonyesha upendo wa dhati kwa rafiki
yao..Ally alifurahi sana na akawajibu wote kwa kuwashukuru kwa kumjali katika
siku zote za maisha yake.
Ally alikua
amejiunga na chuo cha Tanzania Institute of Accountancy (TIA) campus ya Dar es
salaam kilichopo maeneo ya Kurasini katika viunga vya barabara ya Kilwa na
Mandela akiwa anachukua Diploma in Accountancy
(DA) na hiyo
ndiyo ilikua siku yake ya kwanza ambayo alikua anaenda kuripoti chuoni..Akatoka
sebuleni ambapo alikutana na mfanyakazi wao wa ndani akiwa busy kwa kufanya
usafi wa ndani..
Mambo
Sarah...ilikua ni sauti ya Ally akimsalimia mfanyakazi wao wa ndani...
Poa tu
umeamkaje?
Sarah akamjibu
huku akionekana kua na uso wenye tabasamu na bashasha la aina yake.
Namshukuru
Mungu niko fresh kabisa,hofu kwako..
Mmhhh me mzima
wa afya.
Sarah
aliendelea kujibu..
Sawa! Vipi
breakfast tayari umekwishaandaa?
Ndio tayari
ipo mezani..
Basi sawa
nashukuru.
Ally alijibu
huku akielekea
dining room
kwa ajili ya kupata kifungua kinywa...
Baada ya kama
dakika tano mzee Mohammed Kirumbi, baba mzazi wa Ally alitoka chumbani kwake na
kuelekea kupata kifungua kinywa pamoja
na mwanae..
Good morning
dady! (Habari za asubuhi baba)
Good morning son,
how are you?(Nzuri
mwanangu,unaendeleaje?)
I'm
fine!(Sijambo).
Hayo ndio
yalikua mazoea ya mzee Mohammed pamoja na mwanae,.ndio salamu yao kila
inapoanza siku mpya...
Wakamaliza
kupata breakfast na wote wawili walikua wapo tayari kwa ajili ya kuondoka.
Ooh!sorry,
I've forgotten my key. (Ooh!samahani nimesahau funguo yangu)
Mzee Mohammed
alimwambia
mwanaye huku akitoka nje kuelekea alikopaki gari yake aina ya Verrosa.
Where?
(Wapi?)...
Ally akauliza.
On my dressing
table. (kwenye dressing table yangu)
Okay I'm
coming. (Sawa nakuja baba)
Ally alijibu
huku haraka akirudi ndani kwenda kuchukua ufunguo wa gari..
Aliingia mpaka
chumbani kwa baba yake na moja kwa moja akaelekea kwenye dressing table ili
akachukue ufunguo..Baada ya kuupata wakati anaondoka kuna kitu alikiona hadi
akahisi moyo wake ukimpasuka...JE,ALLY ALIONA KITU GANI?
Akakisogelea
hiko kitu huku akionyesha kuwa na uso wenye huzuni.Ilikua ni picha ya marehemu
mama yake Bi. Amina Ally aliyefariki dunia miaka 14 iliyopita wakati huo Ally
akiwa na umri wa miaka 7 tu. Kwa hakika hakuyafaidi sana mapenzi ya mama kama
ilivyokua kwa baba na hiko kilikua ni kitu kinachomuumiza sana na kumkosesha
raha haswa anapoiona picha ya mama yake kipenzi... Alikumbuka maneno
aliyoambiwa na mama yake wakati anaanza darasa la kwanza katika shule ya msingi
Wailes iliyopo Temeke, "Mwanangu kuwa makini sana katika masomo yako,
usihadaike kabisa na
haya maisha
mazuri ya hapa nyumbani. Kilichokua cha wazazi wako kitabaki kuwa cha wazazi
wako. Inabidi usome kwa bidii ili utafute kilichokua cha kwako".. Ni
maneno yaliyoingia vizuri akilini mwake na kuishi kwa takribani miaka
14..Aliichukua
picha ya mama
yake na kuibusu..
Ghafla
akasikia sauti ya baba yake ikiita kutokea nje.
"We Ally
unafanya nini ndani muda wote huo? Hebu toka haraka tuwahi kuondoka.
Haraka Ally
aliirudisha ile picha kama ilivyokua kisha akatoa leso na kujifuta
machozi ambayo
yalikua yameanza kutanda kwenye mboni za macho yake..Akatoka sebuleni akakutana
na mfanyakazi ambaye aliiona hali ya
Ally
ilivyobadilika usoni.
Vipi Ally
mbona upo hivyo?..aliuliza Sarah.
Kwani nipo
vipi mbona mimi nipo kawaida tu!..
Alijibu huku
akililazimisha tabasamu usoni mwake.
Hapana wewe
siyo Ally ninayekujua,lazima
kuna kitu
kitakua hakipo sawa tu.
Usijali Sarah
me nipo sawa kabisa,acha niwahi nje maana baba ananisubiri muda mrefu.
Aliongea Ally
huku akiwa anafungua mlango wa kutokea nje..
Sawa bwana
siku njema na masomo mema pia.
Sarah
alimwambia Ally huku akiachia tabasamu pana usoni mwake..
Poa nawe pia
na nashukuru sana kwa kunijali.
Ally alijibu
huku akifunga mlango wa kutokea nje...
Vipi mwanangu
mbona umechelewa sana, yani kuchukua funguo tu?
Aliuliza mzee
Mohammed.
Samahani baba
nilisahau wallet yangu halafu pia nilisahau mahali nilipoiweka.. Alidanganya
Ally kwa ajili ya kujitetea.
Kwa hiyo sasa
umeiona?
Ndio baba
nimeiona.!
Akajibu huku
akificha uso wake wa huzuni aliokua nao mwanzo..
Sawa panda kwenye
gari tuondoke..
Wote wakaingia
kwenye gari na safari ya kuelekea chuo ikaanza..
Safari ya
kutoka Temeke hadi chuo cha Uhasibu haikua ndefu sana. Kwa dereva mzuri inaweza
kumchukua dakika 10 mpaka 15 kama hakuna foleni..Walifika salama kisha
wakaagana na mzee Mohammed akaendelea na safari yake ambapo alikua anaelekea
Posta mpya
katika bank ya
CRDB tawi la Azikiwe alipoajiriwa kama afisa masoko...
Kwa mwendo wa
taratibu Ally alivuka barabara na kulielekea geti kuu la chuo.Aliingia ndani na
kukutana na mamia ya wanafunzi wakiwa wamekaa
kwa vikundi
vikundi wengine wakijisomea huku wengine wakipiga story..Hakuwa na rafiki hata
mmoja chuoni hapo kwani alikua mgeni hivyo hakujua hata
aanzie wapi na
aelekee wapi..Akasogea mbele zaidi na kukutana na wasichana watatu wazuri
wakiwa wamekaa
wanatazama
mahali anapotokea yeye..
"Kaka
mambo."
Ilikua ni
sauti ya mrembo mmoja kati
ya wale
watatu. Alishtuka kidogo kwani hakutegemea kusalimiwa na mtu yeyote mahali
pale..
Safi tu mzima
wewe? mambo zenu jamani.
Ally alimjibu
yule msichana huku pia akiwasalimia wale wenzake aliokaa nao.
Poaa...
Walijibu wale wasichana
wengine wawili kwa sauti za madaha.
Me mzima
kabisa, unaonekana kuwa
mpya hapa
maana tangu unatokea kule nakuona kama mtu unayebahatisha njia.
Aliongea yule
msichana wa kwanza kumsalimia Ally huku akionyesha sura ya ukarimu.
Yaah! ndo
kwanza naingia leo eneo hili, yani hata application na mambo mengine yote
nilifanyiwa na mzazi wangu.
Alijibu Ally
huku akionekana kuwa
ni mwenye
kujiamini..
Okay! so
unachukua kozi gani hapa? aliuliza tena yule msichana.
Diploma in
Accountancy.
Akajibu Ally
huku akimtizama usoni yule msichana.
Okay! so
unalijua darasa lako?
Hapana! yani
hapa kusema ukweli hata sijui nianzie wapi.
Ally akajibu
huku akitabasamu...
Okay never
mind! may I escott you? (Sawa
usijali,
naweza nikakusindikiza?)
Okay!I will
thank you!(Sawa, nitakushukuru)
Ally alijibu
huku akiachia tabasamu pana usoni mwake.
Hey guys,I
will be back in ten minutes. (Hey jamani, nitarudi baada ya dakika10)
Yule msichana
aliwaaga marafiki zake.
Poa usichelewe
basi,,maana wewe huchelewi kuzusha safari nyengine huko huko juu kwa juu.
Aliongea kwa
mzaha mmoja kati ya wale wasichana wawili.
I promise you!
(Nawaahidi) sitachelewa.
Aliongea yule
msichana huku akianza kuondoka na Ally..
Jamani
asanteni sana tutaonana mungu akipenda.
Ally aliwaaga
wale wasichana
huku akiondoka
na yule msichana wa kwanza.
Poa usijali
karibu sana.
Walijibu kwa
pamoja wale wasichana.
Asante
nashukuru sana.
Walianza
taratibu safari ya kuelekea darasa analosoma Ally..Njiani waliongea mambo
mbalimbali kuhusu pale chuoni huku yule msichana akimuonyesha Ally mazingira ya
pale chuoni..Yule msichana alionekana kuwa mkarimu sana kupita maelezo kiasi
kwamba mtu yoyote ni rahisi sana kuzoeana nae..
Mara ghafla
Ally alimwomba yule msichana wasimame walipofika
sehemu moja
ambayo kulikua na mti wa
mwarobaini...J
Yule msichana
akasimama huku akimtizama Ally usoni bila ya kumwambia kitu chochote.
Napenda
kukushukuru sana kwa ukarimu wako ulionionyesha kwa siku ya leo,mimi sina cha
kukulipa ila Mungu mwenyewe ndio anajua akulipe nini...aliongea Ally huku
akionyesha kuwa ni mtu aliye makini.
Nami nashukuru
pia,ila usijali ni kawaida yangu kuwasaidia watu pale ninapoona inawezekana,so
nahisi Mungu amepanga leo nikusaidie wewe..
Aliongea yule
msichana huku akiwa
anatabasamu.
Basi wote kwa pamoja
wakajikuta
wanacheka..Meno meupe ya yule msichana yaliyopangiliwa
vizuri
yalionekana barabara machoni mwa
Ally..Lips
laini zilizopakwa lipshine zilichanua vizuri na kuyafanya mashavu yake
kutengeneza vishimo vidogo maarufu kama dimpoz...Macho yake meupe makubwa
wastani yalizidi kuupamba uso wa huyu msichana. Pua yake nyembamba ndefu
wastani ikazidi kutia ndimu katika uso wake mzuri.
Samahani, ujue
tangu tumeonana tumeongea mambo mengi lakini hata majina hatufahamiani.. Sijui
mwenzangu unaitwa nani?
Aliuliza Ally
huku akiliweka vizuri begi lake
mgongoni..
Naitwa Recho!
Alijibu yule
msichana kwa sauti
yake laini
yenye uwezo wa kumwamsha
usingizini
mgonjwa aliyelala kwa miaka 10.
Aanha! Recho,
nice to meet you. (aanha! Recho, nafurahi kukutana na wewe) Mimi naitwa Ally.
Aliongea huku
akiendelea kuachia tabasamu usoni mwake.
Okay! me too,
it's my pleasure.(Sawa,mimi pia nafurahi) Halafu unaonyesha kuwa mpole sana.
Aliongea Recho
kwa mapozi.
Kidogo tu sio
sana.
Alijibu kwa
mzaha.
Mm mmh! okay!
(Mm mmh! Sawa)
Wakaendelea
kutembea hadi walipofika darasa analosoma Ally..Alimshukuru sana Recho kisha
wakaagana maana mda wa kuingia darasani ulikua tayari umeshafika...Recho
alirudi mpaka kwa rafiki zake na kuanza kuwahadithia kuhusu Ally..
'Yaani nyie
acheni tu, yule mkaka ni mpole na mkarimu sana,halafu pia ni. handsome
sana mpaka
Recho mimi akili yangu ikasimama kufanya kazi. Halafu anaonekana mcheshi na
anajali..Sio siri jamani kiukweli amenivutia"
Aliongea Recho
kwa maidoido huku akizungusha macho yake laini..
Mmhhh! wewe
tena, haya bwana it's up to you mumy! (Ni juu yako mama)
Aliongea kwa
mzaha rafiki yake Recho
anayeitwa
Tayana...
Ila una haki
ya kupagawa shoga yangu maana yule mkaka mmhhh! hata sijui niongee nini! Nahisi
chuo kizima hapa yeye ndo handsome namba moja..akazidi kusifia rafiki yake
mwengine Recho anayeitwa Najma.
Waliendelea
kumuongelea Ally hadi mmojawapo alipowashitua wenzake..
Hey guys! time
(hey!jamani muda) twendeni class.
Aliongea
Tayana na wote wakainuka
kuelekea
darasani.
*** *** ***
*** ***
Saa nane
kamili mchana ndio ulikua mda ambao Ally anatoka darasani..Akatoka akiwa
ameongozana na kijana mmoja wa rika lake.
Sasa Allan hii
assignment inabidi nikaifanye nyumbani then nitakupigia simu tuwe tunashirikiana
mpaka tutakapoimaliza, au sio?
Aliuliza Ally.
Fresh hamna
noma mwanangu nakuaminia.
Alijibu Allan
Stanford, rafiki mpya wa Ally
aliyekutana
nae chuoni hapo. Wakapeana namba za simu kisha wote wakatoka nje ya chuo na
kwenda kusimama kwenye kituo cha mabasi..Allan ndio alianza
kuondoka kisha
Ally nae akapanda basi
linaloelekea
nyumbani kwao Temeke.
**** **** ****
****
Jioni akiwa
amekaa sebuleni anaangalia movie akasikia simu yake inaita..kuangalia akakuta
rafiki yake Allan ndo anampigia.
Ally...oy!
Allan...Niaje
mwanangu?
Ally...kama
kawa,nambie
Allan...Mzuka,ile
assignment vipi ushaanza kuifanya?
Ally...daah!
bado mwanangu,nilikua nimelala yani ndo nimeamka mida hii hii.
Allan...Okay!
so inafanyika leo au kesho asubuhi?
Ally...Inafanyika
leo, ngoja kuna movie nacheki hapa ikiisha nitakuvutia waya, amanini?
Allan...Baridaa
hamna noma mida basi.
Ally...poa.
Akakata simu
kisha akaendelea kuangalia ile movie ya action...Mara kidogo mfanyakazi wao
Sarah akaja akitokea jikoni.
Yani Ally leo
tu kwenda chuo tayari ushapata rafiki?
Aliuliza Sarah
kwa mzaha.
Yaah! mimi
tena kama unavyonijua kipenzi cha watu nitakosaje rafiki.
Alijibu Ally
huku nae akileta mzaha.
Hahahaaa yani
wewe! Leo nilikumisije humu ndani? Nshakuzoea muda wote kukuona.
Aliongea Sarah
huku akienda kufungua fridge na kummiminia Ally Juisi...
Wow! kitu cha
embe, kama umeongea na koo langu vile. Nashukuru sana Sarah... Aliongea Ally na
kuanza kuinywa ile juisi...
Poa usijali,
mimi nipo hapa kwa ajili ya
kuwahudumia nyie,
kwahiyo chochote
utakachokihitaji
utaniambia..
Alijibu Sarah
huku akitabasamu..
Poa acha mimi
niendelee kuangalia hii
movie maana
imefika patamu sana..
Poa acha na
mimi niende jikoni ili nikamalizie mapishi..Sarah aliongea huku akielekea
jikoni...
Baada ya kama
dakika kumi na tano Ally alisikia makelele kutoka jikoni Sarah akiomba msaada.
Haraka haraka Ally alitoka mbio mpaka jikoni ambako alimkuta Sarah akiwa
ameanguka chini huku jiko la umeme likiwaka moto mkubwa na sufuria ya chakula
ikiwa ipo pembeni. Akamsogelea Sarah ili ampe msaada. Upande mmoja wa kanga
ulikua upo wazi hivyo kuliacha paja lake jeupe likiwa linamtazama
Ally.........JE NINI KITAENDELEA?
Mapigo ya moyo
ya Ally yalianza kwenda kasi kwani katika maisha yake hakutegemea kuliona hata
goti la Sarah kwani muda mwingi anakua amevaa nguo ndefu.
Sarah!
Sarah!..Nini kimetokea?
Ally aliuliza
huku akiwa ni mwenye wasiwasi sana..
Jiko
limelipuka na kuniunguza mkononi.
Sarah
alijitahidi kujibu huku akiwa analia kwa maumivu aliyokua anayapata...
Haraka haraka
Ally akazima switch ukutani na kumuinua Sarah pale chini alipoanguka...
Akamsaidia kutembea kwa kuuzungusha mkono wa kushoto wa Sarah begani
kwake..Alimkokota
mpaka chumbani
kwake na kumlaza
kitandani..Akaenda
chumbani kwake kuchukua first aid kit(box la huduma ya kwanza) na kurudi nalo
hadi chumbani kwa Sarah.Akampatia Sarah huduma ya kwanza kwani alikua vizuri
sana kwenye somo la Biology wakati yupo secondary school kisha alipomaliza
akampa na
painkillers
ili apunguze maumivu.
Baada ya hapo
akamuuliza anajisikiaje...
Afadhali
kidogo tofauti na ilivyokua
mwanzo,
nashukuru sana Ally kwa msaada wako kwani kama ningekua peke yangu hata sijui
ingekuaje..
Alijibu kwa
sauti ya chini sana..
Usijali,mimi
nipo hapa kwa ajili yako haswa yanapotokea matatizo kama haya..Ally alijibu
huku akiendelea kumwambia Sarah maneno
yenye
kumfariji. Akamuaga Sarah na kurudi sebuleni kuzima TV na kwenda chumbani kwake
ili akafanye assignment waliyopewa chuo yeye na rafiki yake Allan.
Akampigia simu
Allan wakajadiliana mambo mbalimbali mpaka wakaimaliza ile assignment. Akiwa
anajiandaa kwenda kuoga chooni kwake, ghafla alishtuliwa na hodi iliyopigwa
chumbani kwake.
Akaenda
kufungua mlango na kukutana uso kwa uso na baba yake..
Good evening
dady(habari za jioni baba)
Ally
alimsalimia baba yake huku akionyesha kuwa na uso wenye simanzi.
Good evening
my son.(nzuri mwanangu)..mbona upo hivyo,kuna tatizo lolote?
Aliuliza mzee
Mohammed.
Yes dady(ndio
baba) Sarah amelipukiwa na jiko wakati alipokua anapika chakula. Ameungua sana
kiganja chake cha mkono.
Yuko wapi?
Aliuliza mzee
Mohammed huku
akionyesha
kuwa ni mwenye wasiwasi.
Chumbani kwake
amelala.
Ally alijibu
huku wote wakianza kuelekea chumbani kwa Sarah.. Wakapiga hodi kisha wakaingia
mpaka ndani..Mzee Mohammed alisalimiana na Sarah
kisha
akamuuliza hali yake.Sarah alimjibu jinsi anavyojisikia kisha mzee Mohammed
akampa pole na kumtia moyo ili afarijike.
Walivyomaliza
mzee Mohammed akamtuma mwanae akanunue chakula kwenye restaurant moja maarufu
maeneo ya mtoni kwa Azizi Ali kwani ndani hakukua na chakula cha kula kwa usiku
huo. Akachukua ufunguo na kuwasha gari la baba yake kisha akaondoka.
**** **** ****
****
Recho alikua
amejifungia ndani kwake huku mawazo yake yote yakiwa yapo kwa Ally.Muda
mwengine alijikuta mwili
ukimsisimka
kila alivyofikiria jinsi ambavyo Ally atakua mwanaume wake na kumruhusu
auchezee mwili wake jinsi anavyotaka. Alipata hisia za ajabu mpaka yeye
mwenyewe akaanza kujishangaa.
"Kwanini
mimi nakua hivi lakini?..Yani mtu niliyemuona
siku moja tu
ndio ananifanya nafikiria mambo yote haya!! mmmhhh! Nahisi nampenda kwa dhati
Ally.Natamani hata sasa hivi awe boyfriend wangu ili moyo wangu utulie.Lazima
nifanye kila
mbinu ili
nimpate,. Lakini itakua rahisi
kweli?.. Maana
kwa jinsi leo nilivyomuanza mimi kumuongelesha na kumfanyia yote yale hata
kuniomba namba ya simu? Hapana haiwezekani
kwa wanaume wa
sikuizi..Au labda ana girlfriend wake na anamuheshimu?"
Recho
alijikuta akiongea maneno yote hayo na kujiuliza maswali ambayo hayakua hata na
majibu kwa wakati huo. Mama yake alikuja kumuita ale chakula lakini alikataa
kwa kisingizio kuwa ameshiba. Mama yake alilalamika sana lakini hakumsikiliza
kabisa.. Kilichokua ndani ya akili yake kwa muda huo ni Ally tu na hakutaka mtu
yoyote amuharibie hizo hisia. Aliendelea kuwaza mpaka usingizi ukampitia.
**** **** ****
****
Kesho yake
asubuhi na mapema Recho aliamka na kuanza kujiandaa kwa ajili ya kuelekea
chuo.Akamaliza na baada ya hapo akaenda kumsalimia na kumuaga mama yake.
Mbona leo
mapema sana Recho? Yani hata saa kumi na mbili kamili bado haijafika?
Kuna kazi
tuliachiwa jana mimi na kundi
langu kwahiyo
bado hatujamaliza ndio tunataka tukamalizie hii asubuhi.
Ilibidi Recho
amdanganye mama yake ili asiulizwe maswali mengi zaidi..
Mama yake
akamuelewa na baada ya hapo wakaagana na Recho akaelekea chuo.. Alifika chuo
mapema sana kuliko kawaida na kukutana na watu wachache sana wakiwa wamekaa
vikundi vikundi wakipiga story huku wengine wakionekana kuwa busy kwa
kujisomea. Akachukua simu na kuwapigia simu rafiki zake Tayana na Najma ambao
wote walisema kuwa wapo njiani..Akatembea zaidi na kuelekea ilipo lecture room
ya kina Ally..
Alikaa karibu
kabisa na darasa analosoma Ally ili pindi atakapokuja tu amuone.. Alikaa kama
nusu saa ndipo alipomuona Ally akitokea huku akiwa anachezea simu yake.Moyo wa
Recho ulipasuka kwa woga huku akihisi mwili wake ukimuisha nguvu......
Pumzi zilikua
zinamwenda mbio sana Recho kiasi kwamba alikua haamini kile ambacho anataka
kukifanya.. Alipoona Ally anakaribia kufika aliinuka pale alipokua amekaa na
kuanza kusogea upande ambao alikua anatokea Ally..
Hey! mambo.
Alikua Recho
akianza kumsalimia Ally.
Wow! Recho?
safi, mzima kabisa?
Yaah! Ndo
mimi, mzima kabisa, vipi za tangu jana?
Nzuri,sijui
wewe.?
Mmhhh!!
Vipi mbona
unaguna, kuna tatizo?
Hapana hakuna
tatizo!!
Mmhh! kama
hakuna tatizo sawa.
Recho alikua
kimya akiwa hajui hata aanzie wapi kumuambia Ally jinsi anavyojisikia kwake..
Akabaki
akichezea
vidole vyake vya mikono huku akiwa kama anatoa uchafu kwenye kucha..
Nahisi kuna
kitu kinakutatiza Recho, tafadhali naomba uniambie labda naweza nikakusaidia
hata kwa ushauri tu.
Aliongea Ally
huku akimshika bega Recho ambae alikua ameinamisha uso wake chini..
Yaah! ni kweli
Ally kuna kitu hakipo sawa kwangu, ila nashindwa hata nianzie wapi
kukuambia.
Nahisi kuchanganyikiwa halafu kama sijielewi.
Aliongea Recho
huku akiona aibu na kuangalia chini..
Ally alianza
kushtuka hali aliyokua nayo
Recho.Alimuangalia
sana usoni na kukubali yeye mwenyewe kuwa Recho ni msichana mrembo sana..Lakini
kitu kimoja tu ndo kilikua ndani ya moyo
wake,
alijiapiza kuwa hatajihusisha kimapenzi na mwanamke yeyote chuoni hapo..Akahisi
labda atakua anakisaliti kiapo chake tena mapema sana hata wiki moja
hajamaliza..Akamshika Recho mkono kisha akamwambia.
Samahani
Recho. Kwa mda huu sidhani kama itakua muda muafaka kuniambia hiko kitu
kinachokusumbua. Nahisi yanaweza yakawa mazungumzo marefu kidogo yanayohitaji
utulivu hivyo kwa muda huu naomba uende class maana imebaki kama robo saa
vipindi vianze..
Baada ya
kuambiwa hivyo Recho alimwangalia Ally usoni huku akionyesha waziwazi kuwa
moyoni mwake ana huzuni..
Sawa Ally
nimekuelewa, kwahiyo tutaonana lini tena?
Leo nilikua
nina ratiba nyingi sana sidhani
kama tutapata
muda mzuri wa kuongea. Labda unipe namba yako ya simu tuwe
tunawasiliana
ili uniambie hilo tatizo
lako.
Aliongea Ally
huku akitoa mfukoni simu
yake. Kwa
Recho huo ulikua ni ushindi mkubwa sana. Akaichukua hiyo simu na kuandika namba
yake kisha akajibeep.. Alipomaliza wakaagana kisha Ally akaingia class na Recho
akaelekea
darasani
kwake.
***** *****
*****
Jioni ya siku
hiyo Recho alikua ni mwenye furaha sana kwa kitendo cha kuongea na Ally na
kupata namba
yake ya simu.Alikua amekaa chumbani kwake akisubiri labda Ally atampigia.
Alikaa mpaka saa 3 ya usiku lakini hakuona hata message ya Ally. Alianza
kuingiwa na huzuni na kuhisi labda Ally alikua na girlfriend wake na hataki
kabisa kumsaliti..Ilipofika saa nne usiku baada ya kumaliza kula na kufanya
kazi zake zote aliamua kumpigia simu Ally. Simu iliita mara ya kwanza hadi
ikakata lakini haikupokelewa.
"Mmhhh!
kwanini lakini ananifanyia hivi. Yani hata kupokea simu yangu hataki"
Aliongea peke
yake huku machozi yakianza kumtoka..Aliwaza sana mpaka
aliposhtuliwa
na mlio wa simu iliyokua
inaita..
Kuangalia alikua Ally ndiye anayepiga..Moyoni alifurahi sana na furaha yake
ikaanza kurejea upya.. Akapokea simu na mazungumzo
yao yalikua
hivi.
Recho...Hellow!
Ally...Hellow!
Mambo vipi?
Recho...Poaa,
sijui wewe.
Ally...me nipo
fresh kabisa,sorry bado sijakujua nani mwenzangu?
Recho...mmhhh!
Ina maana namba yangu
haukuisave?
Ally...Yaani
mambo mengi halafu ni watu wengi wanaonipa namba zao kwahiyo sijakujua bado.
Recho...mimi
Recho!
Ally...ooh!
kumbe Recho,samahani sana..Unajua mida ile wakati naingia class nilikua na
mambo mengi sana hadi nikasahau kuisave namba yako.
Recho...usijali,vipi
uko wapi?
Ally...Nipo
home ndio najiandaa kulala, niende wapi sasa hivi.
Recho...Okay!
Ally...Halafu
nimekumbuka vipi kuhusu yale mambo uliyotaka kuniambia asubuhi, vipi unaweza
kuniambia muda huu?
Recho...Natamani
hata nikuambie sasa hivi lakini sidhani kama utanielewa...
Ally...Kwanini
sasa nisikuelewe? Kwani mambo yenyewe yana uzito sana?
Recho...Ndiyo
Ally yana uzito mkubwa sana kwangu ndio maana sidhani kama utanielewa.
Ally..Mmhh
sawa nimekuelewa.Basi tupange siku kama weekend hivi tukutane ili uniambie
vizuri hayo mambo yenyewe..
Recho...nashukuru
sana kusikia hivyo.
Baada ya hapo
walipanga sehemu ambayo watakutana kisha Ally akakata simu...Recho alikua ni
mtu mwenye furaha pengine kuliko siku zote za maisha yake..Alichukua mto wake
na kuukumbatia kwa nguvu akihisi kuwa
Ally ndiye
aliyekua pembeni yake.
Ashki
zilimpanda sana na kujikuta akianza
kuyaminya
minya maziwa yake madogo
yaliyosimama
vizuri..Alishtuliwa na sauti ya mama yake akimuita ili akachukue hela yake ya
kwenda chuo kesho..
Baada ya
kuchukua Recho alifunga mlango kisha akaamua kulala..
**** **** ****
Dakika, masaa
na siku zikasogea na hatimaye ikafika siku ya Jumapili..Recho alijiandaa vya
kutosha ili akakutane na mwanaume anayempenda kuliko wote..
Alitoka
nyumbani mida ya saa sita mchana na kuanza kuelekea kwenye fukwe za Sea Cliff.
Alifika maeneo
hayo huku akiwa anamsubiri Ally kwa hamu..Mara akasikia message ikiingia kwenye
simu yake kuangalia alikua Ally akimuuliza amekaa kwa wapi..Recho alimjibu na
baada ya
dakika tatu
akamuona Ally akija akiwa ametupia mpaka akahisi kama amemfananisha... JE NINI KITAENDELEA?
Ally akasogea
mpaka pale alipokaa Recho kisha wakasalimiana.Recho alimsifia sana Ally kwa
jinsi alivyopendeza huku Ally nae akimsifia Recho kwa jinsi alivyomatch mavazi
yake kuanzia nguo,viatu mpaka hereni. Waliongea mambo mbalimbali na kufurahi
kwa pamoja kiasi kwamba akipita mtu asiyewajua anaweza akadhani labda wamejuana
miaka mingi iliyopita..
Vipi mbona
hujaagiza kinywaji?
Ally
alimuuliza Recho huku akiangalia kama kuna muhudumu aliye karibu..
Nilikua
nakusubiri wewe ufike sasa nitakaaje nianze kunywa peke yangu wakati najua kuna
mtu anakuja kuwa pamoja na mimi hapa..
Alijibu Recho
na sauti yake kama inayotokea puani..
Yaah! ni kweli
kabisa.
Walimuita
muhudumu kisha wote wakaagiza juisi maana walikua hawatumii kilevi cha aina
yoyote..
Muhudumu
alirudi na vinywaji kisha
akawaribisha
na kuondoka.Walibaki kimya kama dakika mbili Recho akiwa hajui hata aanzie wapi
kumwambia Ally. Pia aliona labda Ally atamuhisi kuwa ni malaya na hiyo ndiyo
ilikua tabia yake kujirahisisha kwa wanaume. Hakuwa na cha kuanza kuongea mpaka
Ally alipovunja ukimya..
Eeeh! niambie
Recho nini kinakusumbua maana tangu siku ile tulivyoongea pale chuo basi muda
mwingi sana huwa nafikiria una tatizo gani mpaka umeamua
kunishirikisha
na mimi..
Hapana Ally
sina tatizo lolote kubwa isipokua....
Recho
alishindwa kumalizia akabaki anamtazama Ally kwa macho yake yaliyolegea.
Isipokua nini
Recho?
Yani nakosa
kabisa ujasiri wa kuongea hata sijui kwa sababu gani..
Ally
alimuangalia Recho kwa makini kisha
akakumbuka
mambo yote aliyofanyiwa na
Recho tangu
siku ya kwanza walipoonana.
Akakumbuka na
ile siku aliyofuatwa nje ya darasa analosoma na jinsi Recho alivyokua anaminya
minya vidole vyake na kushindwa kuongea..
"Nahisi
atakua ananipenda ndio maana
anashindwa
kabisa kuongea. Lakini kwanini nisimpe nafasi kuliko kumuacha aendelee kuwa na
hali hii?"
Ally
alijisemea mwenyewe moyoni
kisha
akasogeza kiti chake mbele na kumkaribia kabisa Recho.
Recho!
Ally aliita
kwa utulivu sana.
Abee!
Kuna kitu
nakihisi kutoka kwako lakini sijui kama nitakua sahihi kwa asilimia mia moja.
Kitu gani
hiko?
Ally alikohoa
kidogo kisha akaendelea.
Nahisi
unanipenda kwa dhati kabisa ndio maana unashindwa kabisa kuongea unapokua na
mimi.
Recho alibaki
kimya asijue hata ajibu nini..Alibaki kama mtu aliyeduwaa huku machozi yakianza
kujitengeneza taratibu kwenye mifereji ya mboni za macho yake.
Ally hakuamini
alipoona machozi yakitiririka kwenye mashavu laini ya Recho huku kilio cha
kwikwi kikianza kusikika kwa mbali..Akahisi labda itakua amemuudhi kwa
kumwambia maneno
yale..Ikabidi
aanze kumuomba msamaha kama itakua amemkosea..
Hapana Ally
haujanikosea kitu chochote na wala sifikirii kama kuna siku utanikosea. Ni
kweli kabisa nakupenda sana tangu siku ya kwanza nilipokuona. Moyo wangu umejikuta
umezama
kwenye mapenzi
mazito juu yako ndani ya muda mfupi sana tangu tujuane mpaka nahisi kama akili
yangu haifanyi kazi..
Aliongea Recho
huku kilio kwa sasa kikiwa waziwazi..
Ally akazidi
kumsogelea Recho na kuanza
kumfuta
machozi kwa kutumia viganja vya
mikono yake.
Akamtazama usoni kisha
akausogeza
mdomo wake kwenye lips laini za Recho na kumbusu kisha kwa sauti ya taratibu
akamwambia.
"I love
you too Recho" (Nakupenda pia Recho.) Hata mimi kuanzia ile siku uliyokua
unanisubiri nje ya darasa letu nilianza kuhisi kitu tofauti. Niliapa kuwa
sitajihusisha katika mapenzi na mwanamke yeyote pale chuoni lakini wewe
umeyabadilisha kabisa mawazo yangu.
Recho
hakuyaamini masikio na macho yake kwa kile alichokua anakisikia na kukiona..
Nashukuru sana
Ally wangu kusikia hivyo..Kwa hakika wewe ndiyo
chaguo sahihi
la moyo wangu na sijamuona mwanaume mwengine yeyote.. Nakukabidhi moyo wangu
uwe nao milele na milele mpaka mmoja wetu atakapoondoka duniani..
Waliongea
mambo mengi ya kimapenzi na
kufurahi sana
siku hiyo..Walipiga picha nyingi za pamoja wakiwa wamekumbatina na nyengine
wakipigana mabusu..Walikaa huko mpaka jioni ya saa 12 kasoro ndiyo wakaamua
kuondoka kurudi nyumbani..
Walipofika
eneo lenye parking za magari Recho alishangaa kumuona Ally akiliendea gari
jeusi aina ya
Verrosa..
Mmhhh! Kumbe
una gari baby?
Ally
alitabasamu kisha akamjibu.
Hapana sina
baby..Hili ni gari la baba ila leo hajaenda ofisini ndio maana nimeamua
kulitumia..
Ooh! Sawa.
Ally
alimfungulia mlango kisha Recho akaingia ndani ya gari na safari ya kurudi
nyumbani ikaanza..Ally alimpeleka Recho
mpaka nyumbani
kwao Tabata Bima kisha
wakaagana kwa
mabusu motomoto na kukumbatiana ..Ally alirudi nyumbani kwao Temeke na huo ndio
ukawa
mwanzo mpya wa
penzi lao.
**** **** ****
****
Recho alikua
amekaa na Tayana pamoja na Najma akiwasimulia jinsi alivyotoka out na Ally na
kumfanya hadi wakawa wapenzi. Pia akawaonyesha na picha walizopiga kwenye simu
yake wakiwa kwenye mapenzi motomoto..
Mmmm! sio siri
best yangu, yani mmependezana sana. Yani mnaonekana kama mlikua wapenzi kwa mda
mrefu kumbe ndo kwanza mambo ya moto. hongera sana shosti yangu..
Aliongea
Tayana akimpongeza Recho.
Mmhhh! Ila my
dear sikuwezi. Kweli ukitaka lako mpaka litimie.Yani umejuana na Ally kwa wiki
moja tu na tayari umemfanya kuwa boyfriend
wako!!
Aliongea Najma
kwa mzaha kisha wote wakacheka.. Walikaa sana pale chuoni baada ya vipindi vya
kawaida vya masomo wakiongea sana kuhusu mapenzi na wanaume zao kisha kila
mmoja akaondoka zake nyumbani kwao.
***** *****
*****
Mapenzi yao
yalizidi kushamiri kiasi cha kila mmoja kuanza kumtamani mwenzake
kimwili..Recho
alitekwa sana na mapenzi ya Ally akawa hasikii wala haoni..Mara nyingi
wakiongea kwenye simu usiku alikua akijishika sehemu mbalimbali za mwili wake
zenye msisimko na
kukichezea
k*s*m* chake kwa kutumia kidole chake. Muda mwengine alijikuta mpaka anaanza
kutoa majimaji laini meupe kwenye naniliu yake bila
kuelewa ni
kitu gani.. Ally aliingiwa na mshawasha wa kutosha baada ya kusikia sauti ya
Recho akilalamika kwenye simu kwa raha alizokua anazipata. Alijikuta
dunguso yake
ikienda mnara na kuanza kuishika shika..
"Beiby
hivi ni lini ukija kwetu utaingia mpaka ndani maana kila siku unaishia nje tu
kama sio kwenu vile.
Ilikua ni
sauti laini ya Recho akimlalamikia
mpenzi wake..
Usijali my
love, ipo siku tu nitaingia mpaka ndani maana kila siku nikija nakua nina
haraka sana ya kuondoka.
Basi weekend
hii nataka uje na uingie mpaka ndani maana keshokutwa Alhamisi mama anasafiri
anaenda Dodoma pamoja na wafanyakazi wenzake kuna mashindano ya netball wanaenda
kushiriki atarudi kati ya Jumatatu au Jumanne.
Sawa beiby
wangu me sipendi wewe ukose raha, nitafanya kila jambo linalowezekana ilimradi
nikufanye uwe
mtu mwenye
furaha muda wote.. Nakuahidi hiyo weekend nitakuja na kuingia mpaka ndani
kwenu...
Basi Recho
kusikia hivyo alifurahi sana na
kumshukuru
sana Ally kwa kumbadilisha maisha yake kumfanya awe mwenye furaha muda wote.
Waliongea mambo mengi mpaka usiku mwingi sana kisha wakaagana na kila mmoja
akalala..
***** *****
***** *****
Kesho yake
Ally baada ya kurudi chuo aliamua kupumzika maana alikua amechoka sana..Jioni
akaamka na Kufanya usafi pamoja na kujisomea.. Alijisomea sana mpaka ilipofika
mida ya saa mbili akaamue kwenda sebuleni akapumzishe akili kwa kuangalia TV.
Sarah alikuja
na kuanza kupiga nae story tofauti tofauti..Sarah alionekana waziwazi
kuifurahia sana ile nafasi ya kukaa na kuongea na Ally kwani alihisi wapo
wasichana wengine wanatamani hata kupata nafasi ya kusalimiwa tu lakini
wanaikosa..Waliangalia TV hadi Mzee Mohammed aliporudi kutoka kazini kisha wote
wakapata chakula cha usiku na walipomaliza kila mmoja akaingia chumbani kwake..
Alikaa chumbani kwake juu ya kitanda akiwa anachat na mpenzi wake Recho huku
akisikiliza mziki laini..
Usiku wa kama
saa tano akasikia mlango wa chumbani kwake ukiwa unagongwa.. Aliamka na kwenda
kuufungua na hakuyaamini macho yake alipomkuta Sarah akiwa na kivazi ambacho
kilimuacha hoi sana na kutoyaamini macho yake.......
Ilibidi Ally
aanze kumuangalia Sarah kuanzia juu mpaka chini na asipate majibu kwanini siku
ile alivaa vile mbele yake..
Sarah alikua
amevaa night dress ambayo
ilichora
vilivyo maungo yake na kuyafanya
maziwa yake
makubwa wastani yaliyosimama na kutokeza kwa juu kuwa kama anavyoyaweka
mwanamuziki wa Marekani Nick Minaj.
Heeh! Sarah
vipi, kuna tatizo? Mbona muda huu?
Hapana hakuna
tatizo lolote Ally ila nilikua naomba uniazime charger yako nikacharg simu
maana ya kwangu imeharibika..
Aliongea Sarah
huku akimuangalia Ally usoni na macho yake makubwa yaliyolegea utadhani amekula
kungu..
Ally hakujibu
kitu akaingia ndani kisha akatoka na charger na kumkabidhi Sarah..
Asante
nashukuru, usiku mwema.
Ok! nawe pia
ulale salama..
Asantee..
Alijibu Sarah
huku akiondoka na
mwendo wake
kama anajitingisha na kuyaacha makalio yake makubwa yakihesabu hatua
anazotembea..Ally alimuangalia vizuri mpaka anafungua mlango wa chumba chake na
kuingia ndani..
"Mmmhh!
mbona Sarah amekua hivi siku hizi? Haya mambo anayofanya ni bahati mbaya au
makusudi? Usiku huu huu wakati tunaangalia TV alikua anachaji simu sasa hivi
tena anasema anataka akachaji na charger yake imeharibika,
mmhh! Anyway
ngoja nisiumize kichwa changu labda inaweza ikawa ni kweli!"
Ally alijikuta
akijiuliza maswali peke yake bila ya kupata majibu..Akaendelea kuchat na Recho
kisha wakaagana, akazima taa na kulala..
***** *****
*****
Kesho yake
chuoni Ally alikua yupo na rafiki yake Allan wakijisomea baada ya muda wa
vipindi vya kawaida kuisha.. Mara akasikia simu inaita kucheki alikua mpenzi
wake Recho ndio anapiga..
Ally...Hello!
Recho...hellow
my hubby, I miss you so much (hello mume wangu, nimekukumbuka sana) yani mpaka
naumwa.
Ally...ooh! I
miss you more my love(oh! nimekukumbuka zaidi mpenzi wangu) uko wapi?
Recho...Mimi
bado nipo chuo, vipi wewe
ushaondoka?
Ally...Hapana
bado nipo..Nipo huku forest karibu na stationary najisomea..Vipi unaweza kuja?
Recho....Usijali
Ally wangu, nitakua hapo baada ya dakika 10..
Baada ya
kumaliza kuongea na mpenzi wake, Recho alikata simu na kuwashtua Tayana na
Najma ili wakamsalimie
shemeji
yao..Kweli wote wakainuka na kuanza kuelekea alipokua Ally..Walifika na kumkuta
akiwa amekaa na mwenzake ambaye wote hawakumfahamu..
Tayana na
Najma walimsalimia shemeji yao kwa kumkumbatia kisha wakamsalimia na
Allan..Baada ya hapo Ally akamtambulisha Allan kwa Recho,Najma na Tayana kisha
wote
wakakaa chini
na kuanza kupiga story..
Muda mwingi
Allan alikua akimkodolea macho Tayana lakini Tayana alipomtazama yeye haraka
haraka aliyakwepesha macho yake.. Waliendelea
kupiga story
mpaka ilipofika saa 10 wote wakaanza kuondoka huku watu wakiwakodolea macho
Ally na Recho kwa jinsi walivyokua na mapenzi ya waziwazi hata muda mwengine
wakikiss midomoni mbele ya macho ya watu..
"Aaahh
ushamba tu ule.Wanajiona kama wao ndio wa kwanza kupendana dunia
nzima"
Aliongea dada
mmoja aliyepishana na wakina Ally..
"Mmmhh!
Acha wivu shosti au kwa sababu wewe na Danny mapenzi yenu mshazoea chumbani tu
ndio ya wenzenu ya hadharani unayaona mageni..Hebu waache wajiachie wanapendana
wale"
Alijibu
mwenzake aliyekua anatembea
nae..
Ally na Allan
wakawasindikiza wakina Recho mpaka kituoni wakapanda gari kisha Ally na Allen
wakabaki Wao wawili kituoni na baadhi ya watu wengine.
Oya mwanangu
mimi yule Tayana nimemuelewa sana sijui utanisaidiaje kumpata..
Aliongea Allan
huku akitoa leso mfukoni kujifuta jasho..
Daah! hiyo
kesi nyengine tena ambayo haina hata hakimu. Hata sijui tunaanzia wapi maana
mimi mwenyewe sina mazoea nae kiviile..
Alijibu Ally
huku akiwa kama anacheka..
Daah!Inabidi
tupange plan buddy(rafiki). Sitaki kabisa kumkosa yule mtoto kwa jinsi
alivyokua mzuri..Yani hata kwa miaka kumi nipo tayari kusubiri..
Sawa mwanangu
ngoja siku tukikaa vizuri tutajua jinsi gani ya kumpata au sio?
Nakuaminia
kamanda wangu..
Waliongea
mambo mengi sana haswa kuhusu Recho na Tayana kisha kila mmoja akapanda basi
linaloelekea kwao na kuondoka..
***** *****
*****
Siku ya
Alhamisi jioni Recho alimpigia simu Ally na kumtaarifu kuwa mama yake
amekwishaondoka
kuelekea Dodoma.
Wakakubaliana
kuwa Jumamosi ndio ingekua siku nzuri ya Ally kwenda nyumbani kwao..Baada ya
hapo wakaagana kisha Recho akakata simu..
Kila siku
zilivyozidi kwenda mbele Ally alizidi kumshangaa Sarah kwa jinsi
alivyobadilika.Siku nyengine anaweza akashinda kavaa kanga moja tu au skin
jeans kuanzia asubuhi mpaka jioni..Lakini
akahisi labda
mwanzo hakuwa hajawazoea hivyo alikua anaona aibu kuvaa mavazi hayo..Ilibidi
abaki kimya na kujiridhisha na majibu hayo..
***** *****
*****
Siku ya
Jumamosi Recho aliamka mapema na kuanza kufanya usafi wa ndani mwenyewe wakati
haikua kawaida yake..Ilipofika saa nne akaanza kuandaa vyakula vya kila aina
kwa ajili ya mgeni wake muhimu anayekuja siku
hiyo...Mpaka
inafika saa 7 alikua ameshaandaa kila kitu pamoja na kutengeneza juisi ya
parachichi iliyochanganywa na passion kwa
mbali...Akaingia
bafuni kuoga kisha akajiandaa kwa kujifukiza udi,ubani na vitu vyengine
vinavyonukia vizuri kwa ajili ya mgeni wake wa siku hiyo ili atakapokuja
amsikie ananukia vizuri kisha akavaa kigauni kifupi na kilaini ambacho
kiliyaacha mapaja yake wazi kwa kiasi
kikubwa..
Mpaka saa nane na nusu wakati yupo chumbani kwake akasikia kengele ya getini
inapiga kelele. Akainuka na kutoka haraka haraka nje na kukutana na
mfanyakazi wao
akienda kufungua geti..
"Hapana
usiende kufungua Vero, we endelea na kazi zako naenda kufungua mimi
mwenyewe"
Aliongea Recho
kisha Vero akaondoka na kuelekea chumbani kwake kupumzika..
Kwa mwendo wa
taratibu Recho alitoka nje na kuanza kuelekea getini.Moyo wake ulimuenda mbio
na furaha yake iliongezeka baada ya kufikiria kuwa mtu anayeenda kumfungulia
geti ni mwanaume anayempenda kuliko kitu
chochote duniani..Akalishika
geti na alipofungua akamkuta Ally akiwa amependeza zaidi ya alivyomuona Sea
Cliff..Akamrukia na kumkumbatia na kupeana mabusu motomoto...........
Recho
hakuyaamini macho yake kumuona Ally wake akiwa amekuja mpaka nyumbani kwao
kwani kwa mara mbili alizoenda alikua anaiishia nyumba ya tano kutoka ilipo
nyumba yao.Wakashikana mikono kisha Recho akamkaribisha Ally mpaka
sebuleni.Baada ya kuketi Recho alimuuliza mpenzi wake amletee kinywaji gani ili
apoze koo lake kwani alikua
ametoka kutembea
kwenye jua kali..
Niletee maji
tu yatanitosha kwa sasa kwani nina kiu sana..
Recho alienda
kwenye fridge akachukua chupa ya maji na glass iliyokua kabatini kisha akaenda
kummiminia mpenzi wake..
Karibu my
sweety.
Aliongea Recho
huku akimpa Ally ile glass mkononi.
Thank you so
much beiby.(Asante sana
mpenzi.)
Ally alikunywa
maji yote kisha akaongeza mengine..Alipomaliza alimshukuru
mpenzi wake
kisha wakakaa pamoja kwenye kiti na kuanza kuongea. Waliongea mambo mengi sana
hususani mahusiano yao huku wote wakionyesha waziwazi kuwa wanapendana sana..
Ilipofika saa 9 na robo Recho alimuomba mpenzi wake wakale chakula pamoja na
Ally bila kipingamizi akainuka na wote wakaelekea mezani. Akiwa ni mwenye
furaha kubwa sana Recho akafungua hotpot na kuanza kumtilia chakula
mpenzi wake
huku akimtazama sana usoni kisha akamtilia na mboga. Alivyomaliza akajitilia na
yeye size yake na baada ya hapo akaleta matunda yaliyokua ndani ya fridge..
Walianza kula
taratibu huku wakiendelea na maongezi yao..
Huwezi amini
Recho,yani hapa tunavyokula na jinsi tulivyokua wawili napata hisia kama tayari
umeshakua mke wangu na hapa ndio tupo nyumbani
kwetu..
Aliongea Ally
huku akijimiminia juisi iliyokua kwenye jagi..
Hata mimi
pia..Nahisi kama leo hatujaenda kazini na tupo nyumbani tunapata lunch.Ila
usijali amini kuwa kila kitu kinakwenda kwa mipango na wakati.Amini kuwa mimi
ni wako na
ipo siku
tutahalalishwa tuwe pamoja.
Ally
alifarijika sana kusikia maneno matamu kutoka kwa mpenzi wake..
Aisee hiki
chakula kitamu. Yani hapa nimeshashiba lakini kwa jinsi kilivyo kitanifanya
nivimbiwe. Unajua sana kupika mke wangu yani nyumbani kwetu tutakua hatuna haja
ya house girl labda aje kufanya usafi tu..
Aliongea Ally
kwa mzaha..
Recho akabaki
anacheka huku mashavu yake yakitengeneza dimpoz zilizofanya mpaka Ally aache
kula na kubaki akimtazama..
Mpenzi wangu
wewe ni mzuri sana. Nimekutana na wazuri wengi sana katika maisha yangu lakini
sidhani kama kuna hata mmoja aliyefikia hata nusu ya uzuri wako..Tafadhali
naomba huo uzuri
uutunze kwa
ajili yangu tu na sio mtu
mwengine..
Usijali na
nashukuru sana kusikia hivyo honey wangu..Huu uzuri wote unaouona ni wa kwako
na kile kilichokua changu basi ni cha kwako..Lakini hata wewe mume wangu ni
handsome sana mpaka inafika kipindi nakuonea wivu haswa kwa pale
chuoni..Nakuomba usinisaliti hata siku moja maana pale chuo kuna wasichana
wajanja sana na wana kila mbinu kuiba waume za watu..
Ally
alimhakikishia Recho kuwa yeye ni wake peke yake na hakuna atakayekuja
kuingilia mapenzi yao..
Waliendelea
kuongea mpaka walipomaliza kula kisha Ally alimshukuru sana Recho kwa chakula
chake kitamu..
Alirudi
sebuleni na kuendelea kuangalia movie aliyoikuta imewekwa tangu wakati
anakuja. Baada
ya kama dakika 8 Recho alikuja na kukaa karibu ya mpenzi wake.
Samahani kwa
kukuacha peke yako kuna kazi nilikua namalizia.
Hata usijali
mke wangu yani kuondoka dakika mbili tu?
Recho alibaki
akitabasamu huku moyoni
akishukuru kwa
kumpata mwanaume
anayempenda,
anayemjali, mcheshi na
mnyenyekevu.
Pia alijivunia kuwa na mwanaume handsome kwani akitembea nae njiani huwa
anajiamini sana..
Waliendelea
kuangalia ile movie huku wakipiga story mpaka ilipokwisha ndipo Recho
alipoinuka na kwenda kuleta CD ili Ally achague kisha waangalie..Kile kigauni
alichokivaa kilianza kuamsha hisia za Ally kwani mapaja yake meupe na
yaliyojaza nyama yalionekana vizuri wakati
anainuka..Ally
alizidi kumtazama Recho vizuri kuanzia juu mpaka chini wakati anatafuta zilipo
CD na kuuona vizuri uzuri wake wa asili aliokua nao..
"Kweli
hapa mke nimepata.Ana upendo wa
dhati kwangu,
ananijali na kuniheshimu na pia ni mkarimu sana.Sasa kwanini nisije kumuoa?
Lazima nimuoe Mungu akipenda ili awe mama wa watoto wangu..
Ally
alijisemea peke yake kimoyoni..Recho alizipata CD alizokua anazitafuta na
kurudi nazo mpaka kwenye sofa alipokaa na Ally..
Eehh! haya
chagua sasa tuangalie movie gani?
Uvumilivu
ulimshinda Ally kwani safari hii Recho alikaa upande kwenye sofa na kile
kigauni chake kilizidi kupanda juu na kuyafanya mapaja yake yazidi kuonekana.
Yani ilibaki sentimita chache tu ili kufuli la Recho lionekane..Ally alianza
kuchagua
zile CD ambazo
nyengine Recho aliziweka
kwenye mapaja
yake.Ally aliendelea kuchagua na kuanza kuchukua zile CD zilizokua kwenye
mapaja ya Recho.. Wakati anachukua CD ya tatu iliyoandikwa "Love Don't
Cost A Thing" akajikuta amelishika paja la Recho.. Mwili wa Recho ulikua
kama umepigwa shoti ya umeme kwa kitendo kile na wakaanza kuangaliana usoni kwa
macho ya kila mmoja kumtamani mwenzake..Mara wakajikuta
midomo yao
ikianza kusogeleana kwa mwendo wa taratibu kama kobe anavyotembea..
Kilichofuata baada ya hapo ni kubadilishana mate tu huku Ally akiishika shingo
laini ya Recho ambayo joto lake lilipanda kama mgonjwa
anayeumwa homa
ya Dengue.Waliendelea kula denda kwa muda kama wa dakika mbili kisha
wakaachiana taratibu. Waliendelea kuangaliana usoni huku macho ya Recho yakiwa
yamelegea
utadhani mtu
mwenye usingizi.. Mara wakajikuta tena wakianza kula denda ila
safari hii
ilikua ni kwa kasi kidogo tofauti na ilivyokua mara ya kwanza.Huku wakiendelea
kula denda mikono ya Ally ikaanza kutalii taratibu kwenye mwili nyororo wa
Recho juu ya kale kagauni alikokavaa na kuyafikia matiti yake madogo wastani
yaliyosimama kama ndizi
mshale
inayotolewa mgombani ikiwa bado mbichi kabisa.Recho alishtuka sana na mwili
wake ukaanza kutetemeka kama mgonjwa wa degedege..Ally akayaminya kidogo yale
matiti na kumsikia Recho akitoa mguno wa taratibu.. Mikono ya Ally iliendelea
taratibu kutalii na kushuka kwenye mwili wa Recho na kufika
maeneo ya
nyonga na akawa anafanya kama mikono yake anaipandisha juu na kuishusha
taratibu yani kama mtu anayetekenya huku kale kagauni kakizidi kupanda juu..
Baada ya hapo
wakaachiana midomo na ndipo Ally alipoliona kufuli jeupe la Recho likiwa
waziwazi huku kitumbua chake kikiwa kimetuna na kutengeneza kama alama ya
mstari katikati..Dunguso lake likazidi kusimama vilivyo hadi akahisi kuumia kwa
lile jeans alilolivaa..
Hapana Ally
twende chumbani kwangu hapa sio mahala pake maana mfanyakazi anaweza akatoka
muda wowote akatukuta..
ilikua ni
sauti iliyolegea kama mgonjwa anayekata roho huku akimshika mikono yote miwili
mpenzi wake na kuanza kumuinua pale kwenye sofa..
Waliondoka na
TV waliiacha vilevile bila ya
kuizima.Walipofika
chumbani kwake Recho alifunga mlango na funguo kisha wakaanza tena kula denda
palepale waliposimama.Waliendelea kubadilishana mate huku taratibu wakisogea
kitandani na kujimwaga taratibu..Recho akaanza kumfungua Ally vifungo vya shati
alilolivaa kisha alivyomaliza akamvua na kuliweka pembeni kisha akamvua na
vesti nayo
akaiweka
pembeni..
Akaanza
kukishika shika kifua cha Ally
kilichogawanyika
kwa mazoezi aliyokuwa
akiyafanya
zamani..Alijisikia raha sana
kukichezea
kile kifua huku Ally akianza kusikia raha kwa kupapaswa na mikono laini ya
Recho kifuani kwake.Taratibu akakishika kifungo cha jeans na kuanza kukifungua
lakini akashindwa
hadi Ally
alipojifungua mwenyewe na kulivua jeans na kubaki na boxer tu huku dunguso yake
ikionekana imetuna vilivyo..
Mwili wa Recho
ulisisimka sana alipomuona Ally akiwa katika hali ile. Akamsogelea na kuanza
kumshika dunguso yake ikiwa ipo mule mule
ndani ya
boxer..Ally alizidi kujisikia raha kwa kitendo kile nae akakishika kile kigauni
cha Recho na kukipandisha juu pole pole kama jinsi mayai yanavyowekwa
sakafuni..Alimvua gauni lote na akabaki na ch*p* tu.Alipoyaona yale maziwa ya
Recho jinsi yalivyokua mazuri akayashika na kuanza kuyachezea kiufundi.Recho
alianza kutoa miguno kwa sauti
ya juu kidogo
huku macho yake akiwa ameyafumba..Ally hakua na haraka, aliendelea kuyachezea
matiti ya Recho taratibu kisha akaanza kuyanyonya kwa ufundi na kufanya kama
anazivuta chuchu kwa kutumia meno yake..
Aa..aah..aaahh.
Mmhhh..mmhhhh.
Recho
aliendelea kutoa miguno safari hii kwa sauti ya juu zaidi..Ally aliendelea
kuyanyonya maziwa ya Recho mpaka machozi yakaanza kumtoka bila kupewa taarifa
ya msiba..
Katika maisha
yake tangu abaleghe, alikua
hajawahi
kukutana na mwanamke wa aina hii kwenye uwanja wa fundi seremala.Mwili wake
ulikua wa moto sana huku akitetemeka kama mtu aliyepandwa na kifafa..Wakati huo
ukimya ulitawala huku miguno tu na sauti ya kilio kwa
mbali ndio
iliyotawala katika chumba
hiko..Recho
alikua hajielewi kabisa na wala alikua hajui nini kinaendelea duniani..
Ally alizidi
kumpagawisha Recho kwa michezo yake huku akianza kushuka taratibu kwa
kulinyonya tumbo la Recho kisha akahamia kwenye kitovu. Alikinyonya taratibu na
kukibusu
huku
akiendelea kushuka chini.Alipofika kwenye naniliu akaanza kumtanua miguu ili
amvue ch*p*.Akashangaa alipoona Recho anabana miguu kwa nguvu huku akianza
kulia.........
Recho
aliongeza zaidi kilio huku mwili wake ukiwa unatetemeka kuliko kawaida. Hali
ile ilimuogopesha sana Ally na kuanza kuhisi labda mpenzi wake atakua ana
mashetani..Mzuka wote ukaanza kumuisha huku dungusho nayo taratibu ikianza
kusinyaa...
Vipi mpenzi
wangu mbona hivyo? una tatizo gani?
Ally
alimuuliza mpenzi wake huku akimuinua pale kitandani alipokua amelala. Recho
hakujibu kitu zaidi ya kuongeza kilio mpaka Ally akazidi kupatwa na wasiwasi..
Tafadhali
Recho naomba uniambie umepatwa na nini maana muda mchache uliopita ulikua na
furaha lakini ghafla unaanza kulia..Hivi unategemea mimi nitakua kwenye hali
gani kama usiponiambia kitu?
Ally
alimwambia Recho huku akimfuta machozi yaliyokua yakitiririka kama mvua kwa
kutumia leso yake. Recho akaacha kulia na kubaki kimya akitafakari namna ya
kumwambia Ally hali aliyokua nayo..
Please my
love,talk to me(Tafadhali mpenzi wangu, ongea na mimi) unaniweka kwenye wakati
mgumu sana unavyokua kwenye hali hiyo, hebu jaribu kunionea huruma.
Ally alikua
anaongea yote hayo huku akiwa na boxer tu wakati Recho akiwa amebaki na kufuli
tu..
Hivi Ally
unanipenda kweli.?
Ilikua ni
sauti laini na ya upole ya Recho..
Ally alibaki
kimya kidogo huku akionyesha
kushangazwa na
lile swali.
Ina maana
mpenzi
wangu haya
yote tuliyokua tunayafanya ulikua unaona ni maigizo? Mambo yote niliyofanya na
upendo wangu wote ninaokuonyesha bado hujaniamini tu?Tafadhali Recho,kama
ulikua haujaukabidhi moyo wako kwangu kwa asilimia mia moja naomba sasa hivi
unikabidhi..You are
my end and my
begining(wewe ndo mwanzo na mwisho wangu).Nakupenda zaidi ya
unavyofikiria..Mimi sio aina ya wanaume kama ambao unaweza
kuwafikiria..Nakupenda wewe tu katika maisha yangu..Tafadhali naomba uniamini'
Aliongea Ally
maneno ambayo yalikua na hisia sana na kuugusa vilivyo moyo wa Recho..
Nakupenda sana
Ally. Katika maisha yangu sijawahi kupenda kwa kiasi hiki mpaka nahisi
kuchanganyikiwa. Sikuwahi kufikiria kumpa mwili wangu mwanaume yoyote auchezee
mpaka pale nitakapoolewa. Lakini tangu nimekutana na wewe imekua tofauti
kabisa. Umebadilisha sana mawazo yangu pamoja na maisha yangu. I love you from
the bottom of my heart (Nakupenda kutoka ndani ya moyo wangu) Tafadhali naomba
usiniache..
Ina maana
Recho wewe ni bikra?
Ndio Ally,
tangu nizaliwe hakuna mwanaume hata mmoja aliyewahi kuliona hata tumbo langu
tu. Niliwahi kuwa na boyfriend lakini alikua malaya sana. Mara nyingi sana
kwenye simu yake nilikua nakuta message za wanawake wake
na wakati
mwengine wanampigia simu mbele yangu..Niliumia sana kwenye mapenzi na niliapa
sitapenda tena ila wewe umeyabadilisha mawazo yangu..
Ally
alimuangalia Recho huku akiwa haamini kwa yale aliyoyasikia. Kwa furaha ya
ajabu aliinuka na kumkumbatia Recho..
Kile kitendo
cha kukumbatiana kilianza kuamsha upya hisia za Ally kwani maziwa mazuri ya
Recho yaliyosimama na kuchongoka kama kichuguu yalikua yanamchoma choma kifuani
kwake. Recho naye alianza kuhisi joto linapanda
kwa kasi huku
pumzi zake zikianza kubadilika.
Wakaachiana
kisha wakawa wanaangaliana machoni kwa hisia kali huku Recho akiwa kama anataka
kuongea kitu lakini ana kigugumizi..
I love you
Recho wangu.(Nakupenda Recho wangu)
I love you too
Ally wangu.(Nakupenda pia
Ally wangu).
Nimekuchagua wewe ndio uwe mwanaume wa kuitoa bikra yangu kwa sababu najua unanipenda
na hautoniumiza..Naomba tuiweke hii ahadi mpaka mwisho wa maisha yetu..
Ally hakusema
kitu zaidi ya kumsogelea Recho na kumbusu midomoni. Walitazamana sana huku
macho yao yakionyesha waziwazi kuwa wanapendana.. Wakaanza tena kula denda huku
safari hii ikiwa ni kwa hisia zaidi kiasi kwamba hata Ally nae alianza
kutoa miguno
kwa mbali..Walikula sana denda kisha Ally akamlaza tena Recho pale kitandani na
kuanza kumnyonya maziwa kama mtoto mdogo anavyonyonya kwa mama yake..Recho
alitoa miguno
ya raha huku akijipinda pinda mwili wake.Ally aliendelea kuyanyonya maziwa ya
Recho kwa ufundi mkubwa huku mkono wake wa kulia akiushusha chini na kukishika
kitumbua laini cha Recho ambacho hakijawahi
kuingia
mchanga hata mara moja..
Aa..aah...mmmm..mmm...aassshhh...aaa!!
Recho
aliendelea kutoa miguno ya raha kwa sauti kubwa kiasi kwamba kama kuna mtu
atapita nje ya chumba chake anaweza kumsikia..
I...Lo..ve...you
Ally!!
Ally hakujibu
kitu akaendelea kuwajibikika.
Akamuweka
vizuri kisha akaanza kumvua
ch*p*
taratibu. Safari hii Recho hakuleta kipingamizi kama mwanzo na kumuacha mpenzi
wake afanye kila analotaka kufanya..Alipomaliza kumvua akachukua kidole chake
cha kati na kuanza kukichezea k*s*m* cha Recho kwa
uangalifu
mkubwa..Kitendo cha kuguswa naniliu yake kilimfanya Recho arudi nyuma kidogo
huku akiendelea kuugulia kwa raha..Alipomaliza akamtanua miguu vizuri na kuzama
uvinza (chumvini) huku kidole chake kikiendelea kuichezea naniliu yake
inayobana na yenye nyama laini..Akili ya Recho kwa muda huo ilikua kwenye
mbingu ya saba akiota yupo kwenye
pepo nzuri
iliyozungukwa na malaika wa kila aina..Safari hii alitoa miguno kwa sauti ya
juu sana mpaka Ally akamziba mdomo kwa kuhofia mtu aliyekuwepo
nje anaweza
akawasikia... Aliendelea kuinyonya naniliu ya Recho huku ulimi wake
akiuzungusha vizuri kama mtu
anayechora
herufi O.. Alikinyonya k*s*m* mpaka akahakikisha Recho ameiva kabisa na
anangojea kuliwa tu..Akamuacha na kuvua boxer yake na kuanza kuichezea chezea
dunguso yake ambayo
ilikua
imesimama imara kama msumari. Alimuweka Recho vizuri kwa ajili ya mkao wa
maalum wa kumtengeneza..Akaipaka mate mashine yake na taratibu akaanza
kuipeleka kwenye naniliu ya Recho iliyokua inabana sana..Akaanza kuiingiza
taratibu huku
Recho akiwa anatetemeka kwa uoga..Alipotaka kuisukuma kwa nguvu ili aitoe
bikra, Recho alipiga kelele kwa nguvu kwa uoga aliokua nao..
Ally akaanza
kumpa maneno mazuri na kumtia moyo kuwa hataumia sana na ni kawaida kwa
msichana kujisikia vile siku yake ya kwanza kufanya mapenzi..
Recho akamuelewa
na kutulia akisubiria
kutolewa bikra
yake..Ally akaipaka tena mate mashine yake kisha akaanza tena kuiingiza
taratibu kwenye naniliu ya Recho. Akaanza kama anaisugua kwa juu juu taratibu
kisha kwa haraka akaiingiza
yote..Recho
alipiga kekele kwa sauti kubwa sana huku Ally akizidi kuiingiza ndani dunguso
yake.......
Recho alipiga
kelele kwa maumivu makali
aliyokua
anayoyasikia huku damu ikianza
kumtoka kwenye
naniliu yake na kutapakaa kwenye shuka.Mwili wake ulikua unamtetemeka kama mtu
anayesikia baridi wakati wa mvua za
masika huku
macho yake akiwa
ameyafumba.Ally
aliigandisha mashine yake kwa muda kama wa dakika moja huku kilio cha Recho
kikiaanza kukata taratibu.Akaanza kuichomoa mashine kwa mwendo ule ule wa pole
pole huku yote ikiwa imetapakaa damu..Akambusu mpenzi wake huku akichukua leso
yake na kuanza kuzifuta damu zilizokua zinamtoka na kisha akajifuta damu
zilizotapakaa kwenye dungusho yake. Alipomaliza akalala ubavuni mwa Recho kisha
akaanza
kumuuliza jinsi anavyojisikia..
Najisikia maumivu
kiasi ila yanaanza kupoa taratibu..
Pole sana
mpenzi wangu. Hiyo ni kawaida kwa msichana yeyote kujisikia hali kama hiyo
uliyokua nayo siku ambayo anatolewa usichana wake..Hautasikia tena maumivu
wakati mwengine utakapofanya kitendo hiki..
Aliongea maneno
mengi yenye kumpa moyo na kumfariji mpenzi wake ili ajisikie vizuri..Recho
alimuelewa vizuri na baada ya muda kama wa dakika ishirini akaanza tena
kufurahi na kucheka pamoja na mpenzi wake..
Sasa mke wangu
naweza nikaendelea? maana hii hali niliyokua nayo sidhani kama leo nitalala
vizuri..Naomba uniruhusu nitoe hata kimoja tu..
Recho
akatabasamu kisha akamruhusu mpenzi wake aendelee kwani alihofia anaweza
akaanza kufikiria mwanamke mwengine ili akamalize shida zake..
Ally Akaanza
tena upya kuamsha hisia za mpenzi wake kwa michezo tofauti tofauti huku
akiyanyonya tena yale matiti yake yenye kutia mshawasha.Alimnyonya sana huku
kidole chake kimoja akikiingiza kwenye naniliu ya Recho huku kwa taratibu
akikiingiza ndani na kukichomoa ili atakapomuingilia asihisi maumivu
sana..Recho alikua anaugulia kwa sauti laini sana iliyofanya dunguso ya Ally
kusimama huku safari hii ikiwa hata haitikisiki..Baada ya kuhakikisha kuwa
Recho
ameshaiva kwa ajili ya kuliwa akamgeuza upande huku mguu wake mmoja akiuinua
kwa juu na kuanza kuiingiza mashine yake taratibu..Aliingiza nusu kwa kuhofia
kumuumiza mrembo wake na kuanza mchezo wa kuiingiza na kuitoa kwa speed ile ile
ya taratibu..Kadri
muda ulipozidi
kwenda Recho hakuwa akihisi tena maumivu bali raha zilizochanganyikana na
utamu..
Ally akaanza
kuongeza speed yake taratibu huku mkono wake mmoja ukichezea na kukisugua
k*s*m* cha Recho..Hali ile ilizidi kumpagawisha Recho na kuanza kuongea maneno
ambayo Ally hakuyajua kuwa ni kichina
au kijapan..
Akachomoa mashine yake kisha akamwomba mpenzi wake wabadilishe style na kumueka
mkao wa mtaka cha uvunguni.Akaichomeka
tena mashine
yake kwenye naniliu ya Recho huku safari hii akiwa anaizamisha yote na kuanza
kumsikia Recho akitoa kilio kilichochanganyikana na raha alizokua
anapewa.Aliendelea kuisugua mashine yake kwenye kuta zote za naniliu na kumuona
Recho kama anapatwa na kwikwi kisha maji mengi yakatoka kwa kasi yakaruka
kutoka kwenye naniliu ya Recho na kumrukia Ally tumboni
ambaye
aliichomoa mashine huku mengine yakiangukia kitandani.Kitendo hiki wenzetu
wazungu wanakiita 'squirting' ila kwa kiswahili bado sijalipata jina
lake..Hutokea pale mwanaume anapomsugua vizuri mwanamke
kwenye kuta za
uke wake na kumfanya asikie raha kwa hali ya juu sana (climax)..
Akaichomeka
tena mashine yake na kuanza kuipeleka kwa mwendo wa kasi na baada ya dakika
mbili Recho akarudia tena kile kitendo cha kutoa yale maji yanayoruka kwa kasi
na kuufanya mwili wake ukose nguvu kabisa na kujilaza kitandani huku akiwa anatetemeka
sana
na mapaja yake
ameyabana..Ally akimpanua yale mapaja na kumuweka mkao wa chura kafa unaopendwa
sana na wanandoa wengi katika harakati za kutafuta watoto..Akaiingiza mashine
yake huku na
yeye utamu ukizidi kumkolea na kuhisi goli lipo njiani..Hakutaka afike peke
yake mwisho wa safari huku mrembo wake akiwa bado yupo njiani hivyo aliongeza
kasi huku akikisugua vizuri kile k*s*m* na kumfanya Recho ajinyonge nyonge kwa
raha..Baada ya
muda mfupi
Ally alifanikiwa kumfikisha Recho mwisho wa reli kisha na yeye aliendelea
akaanza kuhisi vitu visivyoeleweka vikitembea ndani ya mwili wake na kumfanya
ajisikie raha za ajabu
na baada ya
muda mfupi alifanikiwa kulivunja dafu..Hakutaka kummwagia mpenzi wake ndani
yale maji ya dafu
kwa kuogopa
kumpa mimba kwani wote
hawahua tayari
na majukumu ya kuitwa baba na mama..Aliyamwaga maji yake yote kwenye kile
kitambaa alichomfutia Recho damu kisha akajilaza kitandani wote wakiwa wanahema
kwa shughuli nzito waliyotoka kuifanya..
Walikaa kimya
kwa muda kisha Ally akampa pole mrembo wake na kumwambia maneno mengi
ya kumfariji..
''Nakupenda
sana Recho wangu.Hiki kitendo sio kwamba nimekidhamiria sana au nimetaka kuwa
na wewe kwa ajili ya uzuri wako ili nikutumie,Hapana. Hata wewe mwenyewe umeona
jinsi mazingira yalivyokua,ilikua ngumu sana sisi kujizuia kutokufanya kitu
hiki''...
Hauna haja ya
kuongea maneno mengi,najua kama unanipenda sana kwa dhati hata kama mdomo wako
hautaniambia ila macho yako yanatosha kuniambia kila kitu..Hata mimi nakupenda
sana na ndio
maana nimekuchagua kuwa
mwanaume wa
kuitoa bikra yangu kwani wengi sana walishanifata kwa vishawishi tofauti
tofauti hata kutaka kunifungulia account bank na kuniwekea pesa nyingi
sana..Lakini hiyo yote ni kwa sababu sikuwapenda ila wewe bila ya kuniahidi
kunipa kitu chochote nimekukabidhi
moyo
wangu..Nakupenda sana Ally"
Recho aliongea
maneno hayo yenye hisia huku akijisogeza kifuani kwa Ally na kumlalia..Ally
alifarijika sana na maneno ya mpenzi wake na kuona kuwa amepata mwanamke sahihi
wa maisha yake na kujuta alipomkabidhi moyo wake girlfriend wake wa zamani
Husna ambaye alimfanyia mambo mengi sana ya kumuumiza ikiwa ni pamoja na kukuta
picha za uchi kwenye simu yake akiwa amepiga na mwanaume mwengine..
Waliongea
mambo mengi sana hadi Ally
alipoangalia
simu yake na kuona ilikua imefika saa 3 na dakika 18 usiku..
Mmhh!baby,mda
umeenda sana.Acha mimi nijiandae ili niondoke..
Aaahh!
jamani,me nilidhani leo unalala
kwetu,usiondoke
bwana utaniacha mpweke sana si unaona jinsi nilivyokua peke yangu hapa..
Alilalamika
Recho..
Sawa naelewa
lakini nyumbani sikumuaga
kabisa baba
wakati naondoka maana alikua hayupo hivyo kama nisiporudi nitamtia wasiwasi
sana...
Mmmhh! kwa
hilo tu, sawa nimekuelewa baby wangu..Basi Tujiandae ili nikusindikize..
Baada ya hapo
wakainuka na kuingia bafuni kuoga na kucheza michezo mbalimbali ya mapenzi
kisha wakatoka na kujiaandaa..Walivyomaliza wakatoka hadi sebuleni kisha Ally
akasalimiana na Vero, mfanyakazi wakina Recho na kuondoka. Walitembea njiani
wakitaniana mpaka walipofika kituo cha daladala cha Bima. Wakaagana kisha Ally
akaingia kwenye
daladala na
kuondoka huku Recho nae akikodi bajaji na kurudi kwao..
***** *****
*****
Siku ya
Jumatatu asubuhi na mapema Ally
aliamka na
kujiandaa ili aende chuo..Alipomaliza akatoka sebuleni kama kawaida ili akapate
breakfast.Alikutana na Sarah wakasalimiana kisha akaenda mezani.Alipata
kifungua kinywa na baada ya hapo akakaa sebuleni akimsubiri
baba yake ili
waondoke huku akichezea chezea simu yake..
Ally juzi
ulienda wapi mbona ulichelewa sana kurudi wakati sio kawaida yako?
Aliuliza Sarah
ambaye alikua anafanya usafi..
Nilikua mahali
fulani na rafiki zangu tukifurahia maisha..
Mmhh na wifi
nae alikuwepo nini?
Ally alicheka
kidogo kisha akamjibu.
Sasa
nitafurahia vipi maisha bila ya yeye
kuwepo, lazima
mke wangu awepo ndio bata likamilike'..
Mmhh!haya
mwaya hongera yako.Ila wifi yangu itakua anajisikia raha sana kuwa na boyfriend
kama wewe.!
Kwanini
unasema hivyo?
Kwa jinsi
ulivyokuwa handsome na
mkarimu,nahisi
anajivunia sana na hataki
akupoteze
maana siku hizi wanaume wa aina yenu mpo wachache sana..
Eti eehh!haya
bwana Sarah nashukuru sana kwa kunisifia..
Waliendelea na
maongezi mara kidogo mzee Mohammed alitoka kisha akasalimiana na mwanaye na
Sarah kisha akamtaka waondoke maana walikua wamechelewa sana.. Wakaagana na
Sarah kisha wakaondoka..
***** *****
*****
Siku hiyo
wakati yupo chuoni na rafiki
zake,Recho
alikuwa na furaha sana hadi Najma akamuuliza..
Mbona mwenzetu
leo una furaha sana kama umekabidhiwa dunia yote uiongoze wewe.?
Guess
what?(Otea)
What?(Nini)
I'm not a
virgin anymore.(Mimi sio bikra tena)
Wewee Recho!
haah..Yani unafurahi kutolewa bikra yako wakati wenzako tuliozipoteza bikra
zetu tunaombea kama tuzaliwe upya..
Sio kwamba
nafurahi kutolewa bikra,ila
nafurahi kuwa
mtu aliyeitoa bikra yangu ni
mwanaume
ninayempenda kuliko kitu
chochote..Hata
sijutii yani kwa sababu na yeye ananipenda sana..
Mmhh!sisi
hatuna usemi,njia ishakuwa wazi hiyo sasa kuwa makini siyo kila anayetaka
kupita na wewe umruhusu tu apite,, youtake care my dear.
(kuwa
mwangalifu mpendwa wangu)
Aliongea
Tayana..
Yani huu mwili
wangu ni maalumu kwa
mwanaume mmoja
tu,Ally peke yake.Yeye ndio mwenye uhuru wa kuufanya anavyotaka..Ila nashukuru
sana kwa ushauri wako rafiki yangu.. Waliongea mambo mengi sana mpaka muda wa
kuondoka
ulivyofika wote wakarudi nyumbani...
***** *****
*****
Darasani kwao
kikundi cha Ally pamoja na rafiki yake Allan kilianza kupata umaarufu kutokana
na kufanya vizuri sana kwenye test na assignment mbalimbali walizokuwa
wanapewa.Wanafunzi wengi walihitaji msaada kutoka kwao hivyo kuwafanya
kutengeneza urafiki karibu na darasa zima..
Sasa mshikaji
wangu kama tulivyopanga,inabidi leo ukaongee na Recho ili weekend tutoke out
twende sehemu yoyote tulivu haswa ufukweni
kisha yeye aje
na marafiki zake wote.Nafikiri itakua nafasi nzuri sana ya kuongea na yule
mtoto..
Alikua ni
Allan akiongea na Ally wakati
wanaondoka
chuo..
Poa nitafanya
hivyo..Furaha yako ndio furaha yangu..Lazima umpate Tayana.
Walizungumza
mambo mengi sana kisha wakaagana na kurudi nyumbani..
Ally alikuwa
ndio kwanza anaingia nyumbani kwao akitokea chuo.Akafungua
geti kubwa la
nje na kuingia mpaka ndani na kuanza kutembea akielekea sebuleni. Akashika
kitasa na kufungua mlango ila kile alichokikuta kilimfanya abaki mdomo
wazi.....
Sarah alikua
amelala kwenye sofa huku upande wa kanga aliojifunga ukiwa umepanda juu hivyo
kuliacha kufuli lake likiwa wazi kabisa..Ally alimtazama kwa sekunde kadhaa
kisha akaufunga mlango taratibu na kuanza kutembea kwa kunyata akielekea
chumbani kwake.. Hakutaka Sarah amuone kwani alihisi anaweza akajisikia fedheha
kutokana na yeye
kumkuta katika
hali ile..Aliingia ndani kwake kisha akafunga mlango na funguo..
Muda mfupi
baada ya Ally kujifungia ndani
kwake,Sarah
alifumbua macho na kukaa vizuri pale kwenye kiti kisha akaanza kujiuliza.
"Hivi
huyu mwanaume atakua mzima kweli? yani mitego yote hii ninayomtega lakini hata
hashtuki..Hivi ananichukuliaje mimi au kwa sababu nacheka cheka nae kila
siku..Ila dawa yake ndogo sana lazima atanasa tu hapa..mimi ndio Sarah mtoto wa
mjini"
Alijisemea
maneno hayo huku akiinuka na kuelekea chumbani kwake.. Ally alizidi kujiuliza
mambo mengi sana kuhusu
Sarah. Alihisi
labda ilikua bahati mbaya tu kumkuta katika hali ile..
"Mh!
lakini mbona siku hizi naona amebadilika sana? Hata mavazi yake kiujumla pia
amebadilika.Ina maana mwanzo alikua anaficha makucha yake au alikua hajatuzoea?
Inabidi niwe nae makini sana maana nishaanza kuhisi taa ya kijani ikinimulika
machoni..Nahisi Sarah ana siri nzito sana kwenye maisha yake. Ngoja nianze
kumdadisi ili nijue dhamira yake ya kubadilika hivi"
Aliwaza hadi
usingizi ukampitia pale pale
kitandani.
***** *****
*****
Maisha ya
Recho yalizidi kuwa na furaha kila siku kwani mpenzi wake alikua anafanya vitu
vya kumfurahisha kila siku..Alijihisi ni mwenye amani na furaha kuliko wakati
wowote ule katika maisha yake..Popote alipokua na Ally alijitahidi
kumuonyesha ni
kiasi gani anavyompenda ili kuzidi kuimarisha mapenzi yao..
Wanaume wengi
walikua wanamfata ili wapate nafasi moyoni kwake lakini wote aliishia kuwapiga
chini.Wengine walidiriki kutaka kuwekwa hata spair tyre ili tu wapate nafasi ya
kuutumia uzuri wake lakini aliwatolea mbavuni huku wale wengine waliokua
wasumbufu sana
aliamua kuwapa
maneno makali sana hata kuwatukana ili tu waachane nae..Hakika Recho alikua
mpofu kwenye mapenzi ya Ally. Alikua hasikii wala kuambiwa chochote kuhusu
Ally.
Siku moja
usiku alimpigia simu rafiki yake Najma ili kumjulisha safari ya kwenda ufukweni
pamoja na Ally na Allan..Najma hakuleta kipingamizi na baada ya kumaliza
wakaagana. Baada ya hapo akampigia simu na Tayana ambaye alisema kuwa siku hiyo
atatoka out na boyfriend wake..Recho hakuwa na jinsi na ilibidi akubaliane
nae...Baada ya kumaliza kuongea na marafiki zake akampigia
simu mpenzi
wake na kumtaarifu kila kitu..Ally alimuelewa kisha wakaagana na Recho akaenda
kujisomea..
***** *****
*****
Allan alikua
mnyonge sana darasani baada ya kupewa taarifa na rafiki yake kuwa Tayana hatajumuika
nao na atatoka out na boyfriend wake..Aliumia sana kwani moyo wake ulishaanza
kuzama kwenye mapenzi na Tayana..Ally ilibidi
amfariji
rafiki yake na kumuahidi kuwa
watapanga siku
nyengine ili watoke nae
out..Allan
ilibidi akubali na kuendelea
kujisomea..
Mwalimu wa
Commercial Arthmetic aliingia na kuanza kugawa mitihani ya test
waliyoifanya..Kama ilivyozoeleka Ally aliendelea kuwakimbiza wanafunzi wenzake
huku safari hii rafiki yake Allan akishuka hadi nafasi ya tano..
"Naona
mzee Tayana ameshauteka ubongo wako, safari hii kwa mara ya kwanza umekua wa
tano!!"
Ally aliongea
kwa mzaha akimtania rafiki
yake. Allan
alicheka kidogo kisha akamwambia.
"Daah! we
acha tu mwanangu.Sometime nahisi kuchanganyikiwa, sijielewi elewi yani kama
akili yangu anaiendesha mtu mwengine"
I know my
buddy(Najua rafiki yangu), siku
zote mapenzi
ya dhati ndivyo yalivyo..Ila
nakushauri
kitu kimoja. Punguza kuwaza sana na uko'concentrate sana kwenye masomo. Kama
imeandikwa atakua wako basi hata iweje ni lazima atakua wako tu. Be patient
man.(kuwa mvumilivu mwanangu.)
Allan
alimuelewa rafiki yake kisha wakaendelea na ratiba za darasani kama kawaida..
Muda wa
kuondoka ulipofika waliinuka na
kuanza
kuondoka..Walipofika nje walishangaa kumuona msichana mmoja anayeitwa Zuwena
akiwa anawaita..Walisimama na kumsikiliza
shida yake..
"I'm very
sorry(samahani sana) kwa
kuwasimamisha
safari yenu..Ally nilikua nakuomba private kuna kitu nataka tuongee".
Mhh! sasa hivi
au wakati mwengine?
Ally aliuliza
kana kwamba hakuelewa vizuri alichoambiwa.
Right
now.(sasa hivi)
Ally ilibidi
akubali na kumwambia rafiki yake amsubiri kisha akaenda pembeni kidogo na yule
msichana..
"Samahani
kama nitakua nimekutisha sana ila hakuna jambo lolote baya..Nina rafiki anaitwa
Nusrat yupo mule mule darasani..Sasa anahitaji ajiunge kwenye kundi lenu wewe
na Allan ili mumsaidie katika masomo.Tafadhali naomba
mumkubalie
kwani ni muda mrefu sana amekua anatamani kuwa pamoja na nyinyi ila anaona aibu
kuwaambia"
Ally aligeuka
na kumtazama rafiki yake kule aliposimama kisha akarudisha shingo na kumtazama
Zuwena.
Tupe muda mimi
na Allan tujadiliane kwa sababu siwezi kufanya maamuzi kama haya peke
yangu"
Zuwena
alimuelewa Ally kisha akamuaga na kuondoka.
Ally alimfuata
Allan na kumweleza kila kitu.Allan hakuwa mzito kuelewa na wote wawili
wakakubaliana kumruhusu Nusrat ili ajiunge na kikundi chao kwani hawakuona
ubaya wowote ikiwa kama watamsaidia katika masomo yake. Walienda kituoni kisha
kila mmoja
akapanda basi
linaloenda kwao..
**** *****
*****
ITAENDELEA
