SAFARI YA ZANZIBAR - Sehemu ya 23

Page Bahari ya simulizi WhatsApp 0755090082 Tusonge mbele...... Nilianza kupga chafya jamani uyu mtoto ana mashaazi ya baba ake kabsa Oooh naona itakua ni pafim yangu iyo Aliongea mama yake wakambo Abdul Kama niivo njoo na mimi nikupe nguo ya kubadili bas walitoka pamoja yani mama Abdul ni mzungu wa loho Baada ya muda wali ludi na kukaa wanaongea ongea Mlango uligogwa we nyamtumbo njoo basi ufungue jamani nitaziweka chini izi chocolate alafu duli junia akupige mangumi na mateke Waliokua ndani walicheka hao niliinuka talatibu na kwenda kufungua Kalibu Aah ulikua wapi kutupa macho pembeni ana muona baba yake loho yake yani Abdul ana mpenda baba yake k fa unajua alisahau kabisa kama ana ugovi na baba yake Baba upo apa Ndiyo mwanangu unaitaji kunisamehe baba yako niliteleza mimi Apana baba mkubwa akosei yani kitendo cha wewe kuja apa tu baada ya miaka mingi basi mimi sina kinyongo na wewe baba angu Walikumbatiana nakwambia fulaha tupu uku mama na mke mwenzie nao waliombana msamaha Mke wang...