SAFARI YA ZANZIBAR Sehemu ya 03
Page Bahari ya simulizi
Tusonge mbele ......
Sawa shangaz asante aaah Tumaini kua hulu maana kazi yako inaitaji uhulu
Baada ya muda aliingia hb wa maana yani kama muhindi kama kama mwalabu yani jamani huyu mkaka ni mzuli yani na maanisha ni muhendsam balaa kwanza kaenda hewani mungu mungu ana jua kuumba kaaaah
Oooh Mwanangu umeludi kalibu yani ata akuitikia alipita tu
Mala na kaka hasani anaingia
Aka tusalimia pale wakaongea mambo yao alafu kaka aniaga na kuondoka zake
Muda wakupata chakula cha usiku ulifika lakini tuli kula wawili tu
Shangazi ina maana Abdul ato kuja kula na sisi
Ndiyo Tumaini huwa ali mezani tangia tangia baba yake atu telekeze
Mmmh ina maana uyu mama yuko na mume pia jamani iitabia yangu ya kuongea kimya kimya naona kama inataka kuota mizizi
Una jua nini Tumaini mume wangu amewa na iyo imetokea baada ya uvumi ulio enea kwa kasi kua mwanawe ni shoga ndo akaamua kutuacha akidai ety awezi kukaa nyumba moja na shoga na kunikashfu yakua sijui kulea na ndomaana mtoto wangu amealibika
Pole sana shangazi
Usjali Tumaini nimambo ya muda aya wezi kuniumiza kwa sasa
Tulipata chakula na baada ya kumaliza nilimtaka shangazi akapumzike mimi nita malizia kazi zilizo baki
Nilitoa vyombo na kuanza kuosha maana huwa sipendi kulala na vyombo vichafu
Wakati naosha vyombo ndo akaja sasa Abdul kajili ya kuchukua chakula aliingia aka pasha chakula kilikua kwenye oven alipo maliza aka toka
Kaaah jamani kazi kwangu kuna kazi yani iimisheni yangu ata salam akuna
Nilimaliza na kulud chumani kupumzika na mimi
Asubuh ya siku ya pili ilikua ni j mos niliamka nitafanya usafi fast fast
Nilitoka nje kwenye bostani ili kumwagilia lakini niliwakuta watu wanafanya kazi hiyo nilisalimiana nao na kuludi ndani
Tumaini umeamka mda gani mbona kama ndani kusafi tayali
Nimeamka saa kumi shangazi
Yanini yote hayo chukua muda wako kupumzika uwa kuna watu wa usafi wana kuja wewe ni
Kwajili ya Abdul Kwajili ya jikoni na mambo madogo madogo sawa
Sawa shangaz aya jiandae kama una toka maana ni wikiendi leo
Nilienda kujiaandaa na kumpgia wifi sim anifate baada ya muda Wifi alinielekeza alipo nikaenda
Tulifika nyumban kwa kaka tukamkuta kaka yupo nje yani kama alikua ana tusubili
Tumaini abee kaka njoo apa
Nilisogea mpaka alipo na kukaa kando yake
Ivi unatamani kujua kwanini nimekuchagua wewe kwenye kazi hii ngumu
Ndiyo kaka unajua mpaka sasa ata sijaelewa kwanini kazi ika ii
Sawa kwanza sababu kuu moja ni pesa maana mie nimeanza kufanya kazi na uyu mama ni miezi kama mitatu tu na kazi yangu ilikua ni kumchunguza na ili nifanye kazi hiyo ilinibidi nisimame kama bodyguard na ananilipa pesa nzuli tu yani nzuli sana Lakini dogo sijafanikiwa kujua kama ni kweli au laa kwa miezi yote iyo na ndomaana nikaamua kumpa wazo madam la kumpa kazi hii mwanamke iyo itakua laisi kwa zaid na madam alilikubali wazo langu na kunipa jukumu la kumtafuta mwanamke na mie nikaona siyo mbaya nikuite wewe maana naamini unaweza dogo usiache fulsa ya pesa tafadhal
Saw kaka nitafanya iyo kazi usijali
Basi nilishinda na kulala siku ya pili mchana nilimumba kaka aniludishe
Saw nitakupeleka Lakini inabidi tusijioneshe kama ni ndugu kwa sasa Umeelewa
Ndiyo kaka
Basi alinifikisha kalibu na maeneo hayo na kuniacha nimalizie kwa miguu
Ina maana kaka hassan ni bodyguard haa yani uyu mtu achagui kazi nilifika na kugonga get nikafunguliwa na kuingia
Unajua mpaka sasa sijajua get anafungua nani kwa maana akuna mrinzi
Niliingia na kuwakuta sebleni Tumaini mbona mapema sana amna shangazi sikua na chakufanya zaidi nikaona bola nilejee
Saw kalibu tupo
Alafu Abdul huyu ni msaidizi wetu mpya anaitwa Tumaini sawa Tumaini uyu ni mwanangu anaitwa Abdul
Niliingia chumbani baada ya utambulisho mfupi ili kutuliza kishwa ili nijue pakuanzia
Jamani kwani uyu kaka sijui dada ni bubu yani ata kuongea tu anaona tabu khaaa lakini mbona anaongea na wanaume wenzi mmmh kweli lisemwalo lipo
Nilijituliza kidogo uku nikipanga mipango nianzie wapi
Je nini KITAENDELEAAA
OFAAAA FULL MPK MWISHO KWA 1000 TU
WAHI WHATSAPP 0755090082
Comments
Post a Comment