MADAM WA TUTION - ,Sehemu ya 09 na 10



😘😘😜🥰😍
Page Bahari ya simulizi
WhatsApp 0755090082


Nikashangaa vinaingia viemoj, kana kwamba alikuwa anacheka, kisha akatuma sms nyingine akisema “ una vituko….

‘ samahan kaka yangu, sikufahamu nab ado sijakufahamu, ila kuanzia nimefiwa na mume wangu sijawah kutabasamu hata mara moja, asante sana bilal angalau nimeongea na wewe na najisikia vzr, akatuma sms nyingine madam dhahara, sio siri alinifanya nijisikie vzr sana, nikajikuta mpaka naibusu simu yangu, nikaanza kuona muangaza mpya wa penzi langu, maana angalau hanijui ndio maana ananijibu vzr, nikaona ni kheri asinifahamu tu, kwa maana akinijua hu nenda akanichukia, na hakuna kitu nilikuwa naogopa kama hicho…..

“ hizi namba za simu mbona kama sio za tanzania, kwani upon chi gani?...
Sijui ni kwanini nilishtuka sna na hili swali lake, kwa maana sikuwa nimejipanga hata nchi ya kudanganyia, kwa maana najua kabisa madam dhahara anajua kuwa nipo sudan kimasomo, so niliamin kuwa nikisema nipo sudan kama atashtuka kuwa ni mimi, na huenda akachukia kuendelea kuwasiliana namimi, na wakat nilikuwa nataka kumtengeneza anipende sana, ili hata akija kuujua ukweli awe tayar kanipenda, kweli atalalamika ila walau hatoniacha…
Alipoona sijajibu akauliza tena “ upo nchi gani bilali….

Nikaona kama sipaswi kumjibu, ili wakat akiujua ukweli asije kunilaumu na kuniona muongo, nikaanza kuandika sms inasema “ unaponiuliza nipo nchi gani ni kama umekataa kabisa kuniamin mimi kama rafiki bora kwako, maana naamin sehemu yoyote niliyopo haina maana kama urafiki wetu hautakuwepo, labda nikujibu jibu moja kuwa, nipo nchi za watu, na nipo huku kwa sababu ya kuhakikisha nakuwa connection nzuri sana kwa wote wanaonifahamu ikiwa pamoja na wewe dhahara, nipo nchi ya mihangaiko ambayo inanifanya nihakikishe mimi na niwapendao kuwa wanaishi vzr hata kidogo, nipo nchi yenye kiza kinene ambayo sina ninaemjua zaidi ya miti na mawingu ambayo ndio vitu pekee ambavyo hata Tanzania kwetu vipo, naomba usiendelee kuniumiza kwa kuniuliza swali la wapi nilipo,naomba dua zako kuwa nirudi salama na niondoke kwenye hizi nchi za watu dhahara, kwa maana hakuna hata raha kama kwetu Tanzania, na naomba hata kwa bahat mbaya usije kuukata urafiki wetu kwani angalau nikiwasiliana na watu wa nchini kwetu najihisi kama nipo nyumban, naomba usijaribu kuninyima haki hio dhahara, nikatuma hio sms…

Dhahara akaifungua kisha akatuma viemoj vya kuuzunika kisha akasema “ samahan kwa swali langu nakuahidi sitokuuliza tena…
Nikajikuta nimeshusha pumzi, kwa maana sikuwa nataka kumdhanga kabisa dhahara, maana niliogopa kutengeneza mazingira yoyote yale ya madam wangu wa tution wa zaman kunichukia ki namna yoyote ile…

Nikiwa bado natafakar mara simu yangu ikaanza kuita…
Alikuwa ni dhahara, nilishtuka sana na kuanza kutengeneza sauti yangu, ili nisije nikapunguza maksi zangu kwa dhahara, na kwa hofu kubwa nikapokea simu…..

“ samahan sana bilali ila sms yako imenikumbusha sana kuhusu marehemu mume wangu, najua nay eye alikuwa anapitia upweke kama ambao huenda unaupitia wewe, kwa maana alifia kwenye nchi za watu, yaan sms yako imenifanya nihisi kama nawasiliana na mume wangu, najua bado sijakujua vzr, maana hata picha yako siijui, ila naomba uwe karibu yangu, walau nisiendelee kuuhisi huu upweke ambao nauhisi sasa, na kama umeoa au unamahusiano yako naomba unambie, na nakuahidi kuwa nitayaheshimu, na kama haujaoa ukitaka kuoa nambie nitaacha kukutafuta, ila nashkuru sana kwa kuja kwenye maisha yangu…..
Nilijisikia vizuri mpaka nikatabasamu na kusema angalau mungu amesikia kilio change, kama dhahara wangu ameanza kutaka kampani yangu basis afar ya mafanikio ya penzi langu imeanza …
NAKUJA

MADAM WA TUTION 10
Page bahari ya simulizi
WhatsApp 0755090082

Ndio nikakumbuka amesema “ ety kama nataka kuoa, kama nitataka kuoa si nitamuoa yeye, nikawaza…
“ mbona upo kimya sasa bilal, akasema madam dhahara, hapo naogopa hata kuongea, asije akashtuka kama anaongea na Shakti , Yule kijana anaemuona kama mtoto…

Nikakohoa kidogo kisha nikasem “ nipo natafakari maneno yako dhahara, so nakuahidi pia nitakuwa rafiki mwema sana kwako, na siku zote kwenye maisha yako ukitaka msaada, jua nitakuwa pemben yako, nakuhakikishia kuwa sitakaa nikutoe machozi hata kama tutakuwa marafiki na sitakaa nikutie huzun, nitapambana kuhakikisha unapata kila unachokitaka ambacho kipo ndani yua uwezo wangu, na unafuraha kila unapozungumza na mimi, nikasema nikasikia madam dhahara kashusha pumzi kisha kwa sauti ya chini kidogo akasema asante sana, asante sana bilal kwa kuwa nguzo yangu, asante sana kwa kunitia moyo…

Sasa kama mnavyojua ukishampenda mtu, yaan akifanya chochote kile, kinaweza kukupa hisia za kufa mtu, ndio hivyuo hivyo ikawa kwa upande wangu, kwa maana vile alivyoshusha pumzi, akaharibu kabisa mambo yangu, yaan nikajikuta naanza kuteseka sana, kwa maana mtalimbo wangu ukaanza kusumbua, na kutaman aendelee kuhema tena huenda nikamaliza kabisa, kwa maana kwa hisia ambaz nilikuwa nazo juu yake, hata akinikumbatia tu naweza nikamaliza kila kitu…..

“ naona muda umeenda naomba nikutakie usiku mwema, akasema madam dhahara na kile kisauti chake, yaan hakuwa anajua ni kiasi gani alikuwa ananitoa kwenye reli, kwa maana hio sauti na ule muhemo, aiseee sikuwa na hali kabisa, kwa maana nikajikuta namtaman mno…………..

“ no dhahara kesho sina ninapoenda, au wewe unaenda kazin, nikajifanya nauliza…
“ ndio naingia kazin saa moja kamili, si unajua tena maisha ya sisi walimu..
Nikajifanya nashtuka, yaan najistua kuwa sijui kama yeye ni mwalimu, na wakat najua mpaka shule anayofundisha na najua mpaka namna anavyofundisha, kumbe hata na mimi alinifundisha nikaanza kumpenda, ila hizi akili zangu zilianza kuwaza ngono kuanzia nikiwa mdogo sana, hivi nitajenga kweli, yaan kakijana cha miaka 12 nikaanza kuwaza kumiliki pisi ya maana ila mimi, acha mapenzi yaniuwe jaman na naomba nisiokolewe..
“ kumbe nilikuwa naongea na ticha, nikasema …

“ ndio bilal naomba nipumzike, akajibu na sikuona haja ya kulazimisha kuongea na mtu alieniomba kupumzika, lakin aliniacha kwenye hali mbaya sana, kwa maana sauti yake na ule muhemo wake, ulikuwa tayar kwenye akili yangu, na picha pamoja na harufu yake nilikuwa navyo, so sikuwa na namna zaidi ya kwenda kujimaliza, sasa hata kama ni wewe ungefanyaje, mtu unampenda, hisia zako zipo kwake tu, yupo mbali, na hata kama angekuwa karibu asingekukubali kutokana na namna anavyokuona mdogo, utafanya nn zaidi ya kukusanya vitendea kazi vya kujimaliza, so naomba nisilaumiwe jaman….
Nilichukua picha ya dhahara na kuiweka mbele yangu, na baada ya hapo nikachukua gauni moja na nguo moja ya ndani ambayo nilikuwa naipulizia ile pafymu ya dhahara alafu naanza kufanya kazi, yaan kwa kuinusa na kuangalia ile picha mimi sikuwa na hali kabisa, ukichanganya na ule mhemo ndio kabisa, basi nikafanya yangu pale mwisho nikamaliza, kisha nikasema “ asante sana dhahara kwa penzi lako, na hapo hata mtu hajui kama natumia picha yake na harufu yake kujichukulia sharia mkononi

……JE NINI KITAENDELEAAA!! "
FULL SEASON 1000 TU
WAHI WHATSAPP 0755090082

Comments

Popular posts from this blog

Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Pili (2)

Leyla binti bikra -01

SEHEMU YA 06---10