Simulizi: Jina La Urithi 04.

SEHEMU YA NNE(04) ⚪⚪⚪ILIPOISHIA⚪⚪⚪ hatimae baba Laula akazaliwa,,,lakini aliishi na kufanikiwa kuoa Lakini akaanza kuota magome ya miti katika mwili wake akapelekwa hospitali lakini haikufahamika anaumwa ugonjwa gani,,,ndugu zake wakaamua kumpeleka kwenye tiba mbadala wakampeleka kwa mganga wa kienyeji....mganga akasema,,mkitaka mtu huyu apone,,ni lazima akafukue kaburi la muanzilishi wa ukoo wake,,achukue jino la mbele katika fuvu la muanzilishi wa ukoo wake...ikalazimika afanye hivyo! siku hiyo akadamka usiku wa saa sita akaelekea makaburini! alipolikaribia kaburi hilo mara ghafla!!!!! ⚪⚪⚪ENDELEA⚪⚪⚪ akahisi miguu yake imekuwa mizito kupiga hatua,,lakini akajipa moyo,,akalisogelea kaburi hilo,,punde si punde kaburi likafunguka akafanikiwa kuona mabaki ya mifupa ya muanzilishi wa ukoo wake,,akatumbukia ndani ya kaburi hilo,akachuk...